Bunge la Dkt. Tulia lenye Paul Makonda na David Kafulila ndani yake litawaka moto na kuteka mioyo ya watanzania hapo mwakani

Bunge la Dkt. Tulia lenye Paul Makonda na David Kafulila ndani yake litawaka moto na kuteka mioyo ya watanzania hapo mwakani

lakini hao wabunge machachari wazamani ambao waliwafanya raia hadiwakaenda kibanda umiza kuwaaangalia hujawataja kwenye andiko lako naomba niwajue
Sijui kama Mwashambwa alikuwepo enzi zile lakini kuliwahi kuwa na Mkinga mmoja msomi sana wa kuitwa Tuntemeke Sanga na miamba mengine (Alcardo Ntagazwa, Philip Marmo...) aisee bunge lilikuwa bunge kweli. Au kipindi kile wabunge 59 walipokiwasha kudai serikali ya Tanganyika mpaka Nyerere akawatungia kitabu cha Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania; na kuwatukana. Ndiyo. Ilikuwa lazima watu mkusanyike kusikiliza mirindimo ya majibu ba maswali bungeni....
 
Sijui kama Mwashambwa alikuwepo enzi zile lakini kuliwahi kuwa na Mkinga mmoja msomi sana wa kuitwa Tuntemeke Sanga na miamba mengine (Alcardo Ntagazwa, Philip Marmo...) aisee bunge lilikuwa bunge kweli. Au kipindi kile wabunge 59 walipokiwasha kudai serikali ya Tanganyika mpaka Nyerere akawatungia kitabu cha Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania; na kuwatukana. Ndiyo. Ilikuwa lazima watu mkusanyike kusikiliza mirindimo ya majibu ba maswali bungeni....
Umekosea hapo uliposema wabunge 59. Ukweli ni kuwa wabunge walikuwa ni 55 na walijiita G55 na miongoni mwao ni Njelu Kasaka.
 
Kafulila Yuko njema sana hata hivyo Makonda anakuja vizuri pia
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati nilishuhudia kwa macho yangu Mwenyewe watu wakiacha na kusimamisha kazi ili wafuatilie mijadala ya Bunge, nilishuhudia watu wakiwa vikundi vikundi vibanda umiza wakiwa wanafuatilia kwa ukaribu sana bunge na kujuwa kabisa akitoka fulani kuchangia anafuata fulani. Nilishuhudia watu wakiwa na hamasa na kiu ya kusikia Mbunge Fulani Zamu yake ifike ili wasikie mawazo yake.

Nilishuhudia Hata magazeti yenyewe yalikuwa yakipambwa kwa picha na matukio ya kutoka Bungeni.Wabunge wenyewe walikuwa na morali na kujisomea sana ili asiachwe nyuma ya mijadala inayoendelea Bungeni,kwa kuwa ndani ya Bunge zilikuwa zinashushwa hoja nzito nzito kwelikweli zinazoambatana na vifungu vya kisheria,nyaraka na matamko,ambapo kama hujasoma utaishia kuburuzwa na kupewa taarifa muda wote.Hii ndio sababu Bunge lilikuwa na mvuto wa kipekee kabisa.

Mimi mwenyewe nilikuwa nikitoka shuleni nilikuwa nakwenda maeneo ya Mwanjelwa au Kabwe pale Mbeya mjini kununua magazeti hata mawili kwa hela ambayo ilikuwa ni ya mboga.nilikuwa najibana hela nayopewa kwa matumizi shuleni ili ninunue magazeti.na kwa kweli nilikuwa nafahamika sana shuleni kuwa ni Nguli wa Siasa shule nzima.

Unajuwa kwanini Bunge liliteka hisia za watu? Jibu ni kuwa lilikuwa na wabunge machachali sanaa ,wengine walikuwa wakizungumza unaweza ukafikiri ni kutoka Upinzani kumbe ni wabunge wa CCM. Mawaziri walikuwa wanapata joto na kazi kwelikweli katika kuomba na kushawishi bajeti zao zipitishwe, maana wabunge walikuwa wanajenga hoja Nzito sana.wabunge walikuwa wanapambana kwa kujuwa kuwa ukizembee tu kidogo basi unapigwa mueleka jimboni katika sanduku la kura.

Sasa basi naamini hapo Mwakani pamoja na uzuri wa wabunge wetu waliopo Bungeni kwa sasa,pamoja na ujenzi wao mzuri wa hoja,pamoja na utetezi wao wa hoja zinazogusa maslahi ya watanzania,pamoja na uchungu wao wanapojadili hoja .

Naamini kwa dhati ya Moyo wangu kuwa kuingia Bungeni kwa Miamba hii miwili hapo Mwakani kutateka hisia na mioyo ya watu, kutafanya bunge liwe kivutio cha watu, kutafanya watu washinde kutwa nzima wakifuatilia uwasilishaji wa Bajeti za wizara mbalimbali Bungeni .

Embu fikiria Upande mmoja yupo Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na upande Mwingine kipo Chuma David Kafulila Msomi wa BBA , halafu mbele yao Yupo Dada wa Taifa na Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini Mheshimiwa Dkt Tulia Rais wa IPU. Mnafikiri hali itakuwaje huko Bungeni? Mnafikiri nani atapanga kukosa kufuatilia Bunge hilo?

Ikumbukwe kuwa hata mashabiki wa mpira huenda kwa wingi uwanjani kutokana na Nyota waliopo katika vikosi vya timu zote. Unafikiri kwanini wakati fulani El classico ilikuwa na mvuto sana Duniani? Jibu ni kwa kuwa upande mmoja wa Madrid alikuwepo Mwamba Christiano Ronaldo na upande Mwingine wa Barcelona alikuwepo Mwamba Lionel Messi.

Mnafikiri kwanini uchaguzi wa 2015 ulikuwa na mvuto sana? Jibu ni kwa kuwa kulikuwa na Miamba miwili kutoka vyama viwili shindani. Yaani huku Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Magufuli na upande wa pili kulikuwepo na Mwamba wa kasikazini Hayati Edward Ngoyai Lowassa. Huku Helkopta inapita juu halafu upande wa pili magari yanapita chini na Helikopta inapaa angani ikiwa na Rangi ya kijana kuashiria chama Tawala kikitawala anga la siasa . Ilikuwa ni raha juu ya rahaaa. Utamu juu ya utamuu.

Mwisho niseme kuwa sijamaanisha na wala nisinukuliwe vibaya kuwa nimesema kuwa bunge la Awamu hii kuwa halifuatiliwi au haina mvuto,bali namaanisha kuongezeka kwa Miamba hiyo kutaongeza chachu namvuto wa kipekee kabisa.

Ni kama ambavyo Yanga ilivyobeba Ubingwa na Mayelle, msimu uliokujaa ikaongeza usajili mkali kwa kuwaleta watu kama Pacome Zouzou , yao yao, Zengeli, Guede na wengine ambao wameleta uhondo wa kipekee ambapo kama siyo hujuma ya Refa ,basi Yanga ilikuwa inakwenda Nusu fainali klabu Bingwa Afrika katika Historia ya soka letu kwa kuiondosha Mamelodsundown ya Afrika kusini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kafulila ni kweli yuko vizuri katika utendaji Hilo nakubaliana na wewe
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati nilishuhudia kwa macho yangu Mwenyewe watu wakiacha na kusimamisha kazi ili wafuatilie mijadala ya Bunge, nilishuhudia watu wakiwa vikundi vikundi vibanda umiza wakiwa wanafuatilia kwa ukaribu sana bunge na kujuwa kabisa akitoka fulani kuchangia anafuata fulani. Nilishuhudia watu wakiwa na hamasa na kiu ya kusikia Mbunge Fulani Zamu yake ifike ili wasikie mawazo yake.

Nilishuhudia Hata magazeti yenyewe yalikuwa yakipambwa kwa picha na matukio ya kutoka Bungeni.Wabunge wenyewe walikuwa na morali na kujisomea sana ili asiachwe nyuma ya mijadala inayoendelea Bungeni,kwa kuwa ndani ya Bunge zilikuwa zinashushwa hoja nzito nzito kwelikweli zinazoambatana na vifungu vya kisheria,nyaraka na matamko,ambapo kama hujasoma utaishia kuburuzwa na kupewa taarifa muda wote.Hii ndio sababu Bunge lilikuwa na mvuto wa kipekee kabisa.

Mimi mwenyewe nilikuwa nikitoka shuleni nilikuwa nakwenda maeneo ya Mwanjelwa au Kabwe pale Mbeya mjini kununua magazeti hata mawili kwa hela ambayo ilikuwa ni ya mboga.nilikuwa najibana hela nayopewa kwa matumizi shuleni ili ninunue magazeti.na kwa kweli nilikuwa nafahamika sana shuleni kuwa ni Nguli wa Siasa shule nzima.

Unajuwa kwanini Bunge liliteka hisia za watu? Jibu ni kuwa lilikuwa na wabunge machachali sanaa ,wengine walikuwa wakizungumza unaweza ukafikiri ni kutoka Upinzani kumbe ni wabunge wa CCM. Mawaziri walikuwa wanapata joto na kazi kwelikweli katika kuomba na kushawishi bajeti zao zipitishwe, maana wabunge walikuwa wanajenga hoja Nzito sana.wabunge walikuwa wanapambana kwa kujuwa kuwa ukizembee tu kidogo basi unapigwa mueleka jimboni katika sanduku la kura.

Sasa basi naamini hapo Mwakani pamoja na uzuri wa wabunge wetu waliopo Bungeni kwa sasa,pamoja na ujenzi wao mzuri wa hoja,pamoja na utetezi wao wa hoja zinazogusa maslahi ya watanzania,pamoja na uchungu wao wanapojadili hoja .

Naamini kwa dhati ya Moyo wangu kuwa kuingia Bungeni kwa Miamba hii miwili hapo Mwakani kutateka hisia na mioyo ya watu, kutafanya bunge liwe kivutio cha watu, kutafanya watu washinde kutwa nzima wakifuatilia uwasilishaji wa Bajeti za wizara mbalimbali Bungeni .

Embu fikiria Upande mmoja yupo Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na upande Mwingine kipo Chuma David Kafulila Msomi wa BBA , halafu mbele yao Yupo Dada wa Taifa na Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini Mheshimiwa Dkt Tulia Rais wa IPU. Mnafikiri hali itakuwaje huko Bungeni? Mnafikiri nani atapanga kukosa kufuatilia Bunge hilo?

Ikumbukwe kuwa hata mashabiki wa mpira huenda kwa wingi uwanjani kutokana na Nyota waliopo katika vikosi vya timu zote. Unafikiri kwanini wakati fulani El classico ilikuwa na mvuto sana Duniani? Jibu ni kwa kuwa upande mmoja wa Madrid alikuwepo Mwamba Christiano Ronaldo na upande Mwingine wa Barcelona alikuwepo Mwamba Lionel Messi.

Mnafikiri kwanini uchaguzi wa 2015 ulikuwa na mvuto sana? Jibu ni kwa kuwa kulikuwa na Miamba miwili kutoka vyama viwili shindani. Yaani huku Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Magufuli na upande wa pili kulikuwepo na Mwamba wa kasikazini Hayati Edward Ngoyai Lowassa. Huku Helkopta inapita juu halafu upande wa pili magari yanapita chini na Helikopta inapaa angani ikiwa na Rangi ya kijana kuashiria chama Tawala kikitawala anga la siasa . Ilikuwa ni raha juu ya rahaaa. Utamu juu ya utamuu.

Mwisho niseme kuwa sijamaanisha na wala nisinukuliwe vibaya kuwa nimesema kuwa bunge la Awamu hii kuwa halifuatiliwi au haina mvuto,bali namaanisha kuongezeka kwa Miamba hiyo kutaongeza chachu namvuto wa kipekee kabisa.

Ni kama ambavyo Yanga ilivyobeba Ubingwa na Mayelle, msimu uliokujaa ikaongeza usajili mkali kwa kuwaleta watu kama Pacome Zouzou , yao yao, Zengeli, Guede na wengine ambao wameleta uhondo wa kipekee ambapo kama siyo hujuma ya Refa ,basi Yanga ilikuwa inakwenda Nusu fainali klabu Bingwa Afrika katika Historia ya soka letu kwa kuiondosha Mamelodsundown ya Afrika kusini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kazi na iendelee
 
Bunge lilikuwa ni lile la 9 (6) na 10 (Anna)! Bunge haliwezi kuchangamka bila vyama vya upinzani.
Labda kama Makonda na Kafulila wataingia upinzani.
 
Bunge lilikuwa ni lile la 9 (6) na 10 (Anna)! Bunge haliwezi kuchangamka bila vyama vya upinzani.
Labda kama Makonda na Kafulila wataingia upinzani.
Wataingia kupitia CCM na watafanya vizuri sana
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati nilishuhudia kwa macho yangu Mwenyewe watu wakiacha na kusimamisha kazi ili wafuatilie mijadala ya Bunge, nilishuhudia watu wakiwa vikundi vikundi vibanda umiza wakiwa wanafuatilia kwa ukaribu sana bunge na kujuwa kabisa akitoka fulani kuchangia anafuata fulani. Nilishuhudia watu wakiwa na hamasa na kiu ya kusikia Mbunge Fulani Zamu yake ifike ili wasikie mawazo yake.

Nilishuhudia Hata magazeti yenyewe yalikuwa yakipambwa kwa picha na matukio ya kutoka Bungeni.Wabunge wenyewe walikuwa na morali na kujisomea sana ili asiachwe nyuma ya mijadala inayoendelea Bungeni,kwa kuwa ndani ya Bunge zilikuwa zinashushwa hoja nzito nzito kwelikweli zinazoambatana na vifungu vya kisheria,nyaraka na matamko,ambapo kama hujasoma utaishia kuburuzwa na kupewa taarifa muda wote.Hii ndio sababu Bunge lilikuwa na mvuto wa kipekee kabisa.

Mimi mwenyewe nilikuwa nikitoka shuleni nilikuwa nakwenda maeneo ya Mwanjelwa au Kabwe pale Mbeya mjini kununua magazeti hata mawili kwa hela ambayo ilikuwa ni ya mboga.nilikuwa najibana hela nayopewa kwa matumizi shuleni ili ninunue magazeti.na kwa kweli nilikuwa nafahamika sana shuleni kuwa ni Nguli wa Siasa shule nzima.

Unajuwa kwanini Bunge liliteka hisia za watu? Jibu ni kuwa lilikuwa na wabunge machachali sanaa ,wengine walikuwa wakizungumza unaweza ukafikiri ni kutoka Upinzani kumbe ni wabunge wa CCM. Mawaziri walikuwa wanapata joto na kazi kwelikweli katika kuomba na kushawishi bajeti zao zipitishwe, maana wabunge walikuwa wanajenga hoja Nzito sana.wabunge walikuwa wanapambana kwa kujuwa kuwa ukizembee tu kidogo basi unapigwa mueleka jimboni katika sanduku la kura.

Sasa basi naamini hapo Mwakani pamoja na uzuri wa wabunge wetu waliopo Bungeni kwa sasa,pamoja na ujenzi wao mzuri wa hoja,pamoja na utetezi wao wa hoja zinazogusa maslahi ya watanzania,pamoja na uchungu wao wanapojadili hoja .

Naamini kwa dhati ya Moyo wangu kuwa kuingia Bungeni kwa Miamba hii miwili hapo Mwakani kutateka hisia na mioyo ya watu, kutafanya bunge liwe kivutio cha watu, kutafanya watu washinde kutwa nzima wakifuatilia uwasilishaji wa Bajeti za wizara mbalimbali Bungeni .

Embu fikiria Upande mmoja yupo Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na upande Mwingine kipo Chuma David Kafulila Msomi wa BBA , halafu mbele yao Yupo Dada wa Taifa na Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini Mheshimiwa Dkt Tulia Rais wa IPU. Mnafikiri hali itakuwaje huko Bungeni? Mnafikiri nani atapanga kukosa kufuatilia Bunge hilo?

Ikumbukwe kuwa hata mashabiki wa mpira huenda kwa wingi uwanjani kutokana na Nyota waliopo katika vikosi vya timu zote. Unafikiri kwanini wakati fulani El classico ilikuwa na mvuto sana Duniani? Jibu ni kwa kuwa upande mmoja wa Madrid alikuwepo Mwamba Christiano Ronaldo na upande Mwingine wa Barcelona alikuwepo Mwamba Lionel Messi.

Mnafikiri kwanini uchaguzi wa 2015 ulikuwa na mvuto sana? Jibu ni kwa kuwa kulikuwa na Miamba miwili kutoka vyama viwili shindani. Yaani huku Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Magufuli na upande wa pili kulikuwepo na Mwamba wa kasikazini Hayati Edward Ngoyai Lowassa. Huku Helkopta inapita juu halafu upande wa pili magari yanapita chini na Helikopta inapaa angani ikiwa na Rangi ya kijana kuashiria chama Tawala kikitawala anga la siasa . Ilikuwa ni raha juu ya rahaaa. Utamu juu ya utamuu.

Mwisho niseme kuwa sijamaanisha na wala nisinukuliwe vibaya kuwa nimesema kuwa bunge la Awamu hii kuwa halifuatiliwi au haina mvuto,bali namaanisha kuongezeka kwa Miamba hiyo kutaongeza chachu namvuto wa kipekee kabisa.

Ni kama ambavyo Yanga ilivyobeba Ubingwa na Mayelle, msimu uliokujaa ikaongeza usajili mkali kwa kuwaleta watu kama Pacome Zouzou , yao yao, Zengeli, Guede na wengine ambao wameleta uhondo wa kipekee ambapo kama siyo hujuma ya Refa ,basi Yanga ilikuwa inakwenda Nusu fainali klabu Bingwa Afrika katika Historia ya soka letu kwa kuiondosha Mamelodsundown ya Afrika kusini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
"Kuteka mioyo ya wa Tanzania" Kuipeleka wapi?
We are already at the bottom, Ccm fuckers, can't take our hearts deeper than we are already are! Can't go deeper than this,
Kuiteka mioyo kunaleta vipi ugari mezani?afya Bora, balaa LA, kikokotoo,
Watz hawahitaji comedy kwenye maisha, afya, elimu, maisha Bora, nafuu, wake zetu wanatosha kuiteka
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati nilishuhudia kwa macho yangu Mwenyewe watu wakiacha na kusimamisha kazi ili wafuatilie mijadala ya Bunge, nilishuhudia watu wakiwa vikundi vikundi vibanda umiza wakiwa wanafuatilia kwa ukaribu sana bunge na kujuwa kabisa akitoka fulani kuchangia anafuata fulani. Nilishuhudia watu wakiwa na hamasa na kiu ya kusikia Mbunge Fulani Zamu yake ifike ili wasikie mawazo yake.

Nilishuhudia Hata magazeti yenyewe yalikuwa yakipambwa kwa picha na matukio ya kutoka Bungeni.Wabunge wenyewe walikuwa na morali na kujisomea sana ili asiachwe nyuma ya mijadala inayoendelea Bungeni,kwa kuwa ndani ya Bunge zilikuwa zinashushwa hoja nzito nzito kwelikweli zinazoambatana na vifungu vya kisheria,nyaraka na matamko,ambapo kama hujasoma utaishia kuburuzwa na kupewa taarifa muda wote.Hii ndio sababu Bunge lilikuwa na mvuto wa kipekee kabisa.

Mimi mwenyewe nilikuwa nikitoka shuleni nilikuwa nakwenda maeneo ya Mwanjelwa au Kabwe pale Mbeya mjini kununua magazeti hata mawili kwa hela ambayo ilikuwa ni ya mboga.nilikuwa najibana hela nayopewa kwa matumizi shuleni ili ninunue magazeti.na kwa kweli nilikuwa nafahamika sana shuleni kuwa ni Nguli wa Siasa shule nzima.

Unajuwa kwanini Bunge liliteka hisia za watu? Jibu ni kuwa lilikuwa na wabunge machachali sanaa ,wengine walikuwa wakizungumza unaweza ukafikiri ni kutoka Upinzani kumbe ni wabunge wa CCM. Mawaziri walikuwa wanapata joto na kazi kwelikweli katika kuomba na kushawishi bajeti zao zipitishwe, maana wabunge walikuwa wanajenga hoja Nzito sana.wabunge walikuwa wanapambana kwa kujuwa kuwa ukizembee tu kidogo basi unapigwa mueleka jimboni katika sanduku la kura.

Sasa basi naamini hapo Mwakani pamoja na uzuri wa wabunge wetu waliopo Bungeni kwa sasa,pamoja na ujenzi wao mzuri wa hoja,pamoja na utetezi wao wa hoja zinazogusa maslahi ya watanzania,pamoja na uchungu wao wanapojadili hoja .

Naamini kwa dhati ya Moyo wangu kuwa kuingia Bungeni kwa Miamba hii miwili hapo Mwakani kutateka hisia na mioyo ya watu, kutafanya bunge liwe kivutio cha watu, kutafanya watu washinde kutwa nzima wakifuatilia uwasilishaji wa Bajeti za wizara mbalimbali Bungeni .

Embu fikiria Upande mmoja yupo Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na upande Mwingine kipo Chuma David Kafulila Msomi wa BBA , halafu mbele yao Yupo Dada wa Taifa na Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini Mheshimiwa Dkt Tulia Rais wa IPU. Mnafikiri hali itakuwaje huko Bungeni? Mnafikiri nani atapanga kukosa kufuatilia Bunge hilo?

Ikumbukwe kuwa hata mashabiki wa mpira huenda kwa wingi uwanjani kutokana na Nyota waliopo katika vikosi vya timu zote. Unafikiri kwanini wakati fulani El classico ilikuwa na mvuto sana Duniani? Jibu ni kwa kuwa upande mmoja wa Madrid alikuwepo Mwamba Christiano Ronaldo na upande Mwingine wa Barcelona alikuwepo Mwamba Lionel Messi.

Mnafikiri kwanini uchaguzi wa 2015 ulikuwa na mvuto sana? Jibu ni kwa kuwa kulikuwa na Miamba miwili kutoka vyama viwili shindani. Yaani huku Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Magufuli na upande wa pili kulikuwepo na Mwamba wa kasikazini Hayati Edward Ngoyai Lowassa. Huku Helkopta inapita juu halafu upande wa pili magari yanapita chini na Helikopta inapaa angani ikiwa na Rangi ya kijana kuashiria chama Tawala kikitawala anga la siasa . Ilikuwa ni raha juu ya rahaaa. Utamu juu ya utamuu.

Mwisho niseme kuwa sijamaanisha na wala nisinukuliwe vibaya kuwa nimesema kuwa bunge la Awamu hii kuwa halifuatiliwi au haina mvuto,bali namaanisha kuongezeka kwa Miamba hiyo kutaongeza chachu namvuto wa kipekee kabisa.

Ni kama ambavyo Yanga ilivyobeba Ubingwa na Mayelle, msimu uliokujaa ikaongeza usajili mkali kwa kuwaleta watu kama Pacome Zouzou , yao yao, Zengeli, Guede na wengine ambao wameleta uhondo wa kipekee ambapo kama siyo hujuma ya Refa ,basi Yanga ilikuwa inakwenda Nusu fainali klabu Bingwa Afrika katika Historia ya soka letu kwa kuiondosha Mamelodsundown ya Afrika kusini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kuna watu Wana like upuuzi wako??
 
Huwezi kumuweka Kafurila na Makonda kundi moja, Kafurila ni binadamu aliyemeza theory za shule bila kujua uhalisia wa mambo na nchi hasa inataka nini.

Makonda ni mtoto wa mjini anayejua Tanzania na watanzania wanataka nini na tatizo la nchi liko wapi hasa.
Mbowe hujajiweka ndani..na wewe ukiwa mbunge ndani..
 
Back
Top Bottom