mswaki mbuyu
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 708
- 445
Another neck supporting an Empty head.Papa Francis keshasema Africa mtaelewa kidogo kidogo mana'ke hapo kifilo kipo pale pale kama sio wewe basi kizazi chako kitafirika...mle kwny mabenchi lazima mkae na mabasha zenu waliobarikiwa...rejea waraka wa Papa Francis kuhusu Africa na ushoga
Iraq ni nchi yenye dini ipi?Sasa hapo uislam umehusika vipi?..hebu rudia kusoma tena hiyo habari...sheria imepitishwa na bunge au uislam?
Ila waraka wa Papa Francis uliusoma vzr tuu ukaona sawa wabarikiwe LGBT sababu yeye aliongea na mungu si ndio?
Iraq ni nchi yenye dini ipi?Weeh bado kabisaa wenye kuichukia uislam walikuwepo wameenda weeh sawa sawa na pimbi tuu...
Sababu kwa nini usimchukie Papa aliyeongea na mungu wabarikiwe wenye ndoa ya jinsia moja? ..tena waraka upo wazi kabisaa na kasema Africa mnabisha sahv lkn mtaelewa tuu kidogo kidogo mana'ke kifilo kipo pale pale...
Jambo wamepitisha wenyewe bungeni huko weeh unasema uislam ndo palivyoandikwa ivo au umesoma kama unavyosoma biblia pembeni upo na Aggrey?
Ndugu yangu wala usiwe mpofu hiyo sheria imepitishwa na bunge...nchi kama Iraq au Iran haziongozwi na viongozi wa dini vitu 2 tofauti kabisaa
na miaka ya hivi karibuni Mashia ndo wameshika hatamu katika serikali mbili zote...
Tuje kwny misingi ya habari anaisoma halafu anachanganya na uislam mara sijui mtume alibaka kivipi..yanii na karne hizo mwanamke alikua anaonekana si mali kitu kiasi kwmb alikua akizaliwa anauliwa?
Hawa huwezi kuwaona hapa kwenye nyuzi za ndugu zao waarabuπππ
Shia na Sunni ni waislamu.Kwhy sharia law ndo ikapitishwa bungeni?
Pili Iraq na sharia zao law zinaendeshwa na bunge au na viongozi wao wadini?..
Kumbuka hapo Iraq na Iran serikali zoo zinaendeshwa na Mashia desturi na utamaduni wao...mfano hapa Tanzania mie muislam naweza kupata mtoto nje ya ndoa lkn baadaye nikamuoa huyo binti mambo yakaenda vzr lkn si kwa desturi za utamaduni wa muarabu kitu hakiwezekani kabisa..sasa usitake kuchanganya mambo ya dini na desturi zao
Hapo huwezi kusema hilo ni tamko la uislam wote ulimwenguni kama tunafuata wito wa Papa Francis unao himiza kanisa litambue LGBT...kwmb kaongea mungu jaribu kupembua siasa za kidini mashariki ya mbali zinavyoenda usije kusema muiraq au muirani muarabu..uislam hauna matamko kamwe kila kitu kipo vile vile na kitabaki hivo hivo
Nchi za kiislamu zote zina utawala sharia (utawala wa kiislamu).Kwhy sharia law ndo ikapitishwa bungeni?
Pili Iraq na sharia zao law zinaendeshwa na bunge au na viongozi wao wadini?..
Kumbuka hapo Iraq na Iran serikali zoo zinaendeshwa na Mashia desturi na utamaduni wao...mfano hapa Tanzania mie muislam naweza kupata mtoto nje ya ndoa lkn baadaye nikamuoa huyo binti mambo yakaenda vzr lkn si kwa desturi za utamaduni wa muarabu kitu hakiwezekani kabisa..sasa usitake kuchanganya mambo ya dini na desturi zao
Hapo huwezi kusema hilo ni tamko la uislam wote ulimwenguni kama tunafuata wito wa Papa Francis unao himiza kanisa litambue LGBT...kwmb kaongea mungu jaribu kupembua siasa za kidini mashariki ya mbali zinavyoenda usije kusema muiraq au muirani muarabu..uislam hauna matamko kamwe kila kitu kipo vile vile na kitabaki hivo hivo
Kunywa maji bro, umepanikiSasa hapo uislam umehusika vipi?..hebu rudia kusoma tena hiyo habari...sheria imepitishwa na bunge au uislam?
Ila waraka wa Papa Francis uliusoma vzr tuu ukaona sawa wabarikiwe LGBT sababu yeye aliongea na mungu si ndio?
Usichanganye mambo weeh mgalatia hapo kuna kiongozi wa dini aliyekataza au serikali?..wapitishe sheria hiyo baraza la mapinduzi kwny bunge lao kwa matakwa yao wananchi unataka kuwapangia?Nchi za kiislamu zote zina utawala sharia (utawala wa kiislamu).
Jambo litakalopitishwa limetoka kwenye viongozi wa dini. Pale Zanzibar, wewe kula hadharani kipindi cha ramadhani uone kichapo utakachochezea halafu uje hapa useme uislamu haujaruhusu hivyo.
Wenye dini wamesema hivyo halafu ww unapinga nacho? Ni sawa na papa na ushoga
Mnasema dini ya uislamu ni moja hakuna mgawanyiko kwenye imani yaani hakuna mshia au msuni wote ni dini moja. Hao mashia na wasuni wanatoka wapi?Waislam na raia wake wamegawanyika kimadhebu ya Shia na Sunni..kama sahv serikali inaendeshwa na Shia na ni maadui kiimani na kisiasa...
Sasa hilo tamko la bunge linahusiana vipi na taratibu za ndoa za uislam na zipo wazi tuu na ndo mana'ke uislam kama uislam unawapinga kwa matendo yao hayapo kiimani za kidini ni utaratibu wao wenyewe tokea yupo Saddam Husseni mbn haikuwepo hiyo sheria kwani hakua muislam?
Ndo mana'ke Netanyahu kawaambia nyie mashia ndo mnafanya hili eneo lisiwe na utulivu...na huwezi kuta muarabu anaye waunga mkono hao mashia jaribu kupembua siasa za mashariki ya mbali usiwe mpumbavu wa ushabiki wa kidini wa ovyo ovyo
Nikuulize weeh waraka wa Papa Francis hukuupinga?..tena mkasema hiyo ni huko huko wadhungu...!Shia na Sunni ni waislamu.
Wairan ni waislam.
Wairaq ni waislamu.
Shia, Sunni, Iran na Iraq dini yao ni Uislamu.
Sasa unachopinga ni nini?
Kunywa maji mengi mvaa kobaziUsichanganye mambo weeh mgalatia hapo kuna kiongozi wa dini aliyekataza au serikali?..wapitishe sheria hiyo baraza la mapinduzi kwny bunge lao kwa matakwa yao wananchi unataka kuwapangia?
Ushafika Senegal Dakar changudoa akisikia adhana anatandika kirago anasali si taratibu na desturi ya nchi yao?...