Bunge la Iraq limepitsha rasmi sheria ya kuhalalisha ndoa za wasichana wenye umri wa miaka 9

Na wewe utakwenda jela maisha.

Usiishi Kwa hisia
Wacha iwe hivyo natetea watoto. Likud ukiacha wanaume tuendekeze ushetani hawa watoto wetu watapata shida sana.tuwalinde watoto bila kujali watenda makosa ni ndugu zetu au jamaa zetu. Wewe una binti wa miaka 9 nakuja posa. Unanioza?kweli toka moyoni mwako Mola akuona.
 
Lkn wewe si hauna dini?watoto umeona ni hawa wa Iraq tuu ndo ujitie vidole mpk uwaonee huruma?..shawaha tena hutaki sahv?
 
Wote ni MASHETANI WOTE NAWAKATA KATA MAPANGA HAKUNA MWENYE AFADHALI.

WEWE NIKIJA KUPOSA BINTU YAKO WA MIAKA 9 UNANIPA?NIJE HATA NEXT WEEK. KAWE TU KAZURI.
Don't take life that serious bro.
 
Habari ipo clear kabisaa inasema bunge la Iraq limeshusha umri wa kuoa kutoka 15-9..sasa uislam hapo umekuja je?..au wairaq ndo wanarun uislam ulimwenguni?..kwhy sheria za bunge za nchi nyngn tufuate sisi huku waislam?...
Mbn bunge la Uingereza limepitisha ndoa za jinsia moja weeh mgalatia huku unafuata?..hapo bado hujamgusa Papa Francis ambaye waraka wa kukubali upo practice kasro nyie wagalatia wa Njombe ndo mnajifanya kuukataa
 
Yesu Kristo ndio mfano wa kuigwa Kwa wakristo,kwahiyo kwakuwa hakuna mahali Yesu aliruhusu ndoa za jinsia Moja wala hakuna sehem Biblia imeruhusu ndoa hizo,basi ni wazi ukristo unapinga ushoga,na kama wapo wanaojiita wakristo halafu wanafanya hivyo hao ni waongo ni wapinga kristo au wapagani wanaojiita wakristo,lakini Kwa suala la waislam wao ni wazi wanaamini hivyo kwakuwa mfano wao bora ambae ni Muhammad alifanya hivyo, kwaiyo ni wazi uislam unaruhusu huo ushenzi
 
Katika vitu nimekataa ni kuwa mlevi wa dini.

Eti atakuwa nae karibu ili amzoee.. Mpeleke binti yako akawazoee kama unaona ni sahihi.
 
Unatafuta nafuu gani katika mambo ya kipumbavu ? Wewe zimo kichwani kweli
Ukimsoma vizuri huyo jamaa na ukarelate na zile kesi za Walimu wa Madrasa utapata majibu wanawachuliaje mabinti zetu.

Nyie mnaona watoto wao wanaona mishangazi.
 
Kwa wazee wa miaka 90 kuoa vitoto vya miaka 6 au 9 ni ndoto ya kila Mwislamu.
Kila alicho kifanya Mtume wa
Watu na Majini ni jambo jema kwa kila Mwislamu Jini na Mtu.

Bakwata walisha peleka ombi serikalini ili Muslims waoe vitoto vya kuanzia miaka 6 kama mtume wao wakakataliwa na serikali.

Ashakum, The Religion is a total Cult From Satanic Verses
 
Kuna muda nakubali Dunia kutawaliwa na mzungu laiti ingetawaliwa na mwarabu mambo yangekuwa haya hapa.

Mataifa mengi ya kiislam yanamkandamiza to sana mtoto wa kike
Lengo lao kuu ni kupunguza idadi ya wanawake wanaoenda shule.
 
Sio hivyo tu
Hata pepo ya mtoto ipo chini ya wazazi wake
Ambaye mmoja ni mwanamke
 
Da umeandika kwa hisia sana . Imani yao ya ajabu sana.
 
So
 
Miaka 9? Hawako serious hawa, miaka hiyo ni mtoto ambaye hata hajavunja ungo, waache bangi
 
Hakuna mnato kwa kitoto kam icho hata nyama za ndani zinakua hazijanawiri bwan ni mifupa tu.
Achana na wapumbavu hawa

Ukatili ndio asili yao
Ugaidi ndio pumzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…