Nakubaliana na wewe .Nakumbuka mwezi April mwaka 2012 nilipinga composition ya Bunge la Katiba.Nadhani nilikua nikichangia kwenye mjadala ulioanzisha na tulikua wachache sana tuliopinga huu mchakato tangu Mwanzo.Miaka 2 baadae tuko hapa
Historia ya Kenya ipo njia kujirudia hapa Tanzania
Historia ya alliance ya chama tawala cha MMD na chama cha UPND dhidi ya hoja za Patriotic Front na wanaharakati pamoja na wananchi wa Zambia kwenye katiba inajirudia na chama tawala wakajichimbia shimo kwenye uchaguzi mkuu uliofuata Upinzani ukashinda
Hofu ya chama tawala ilikua kuogopa reforms za tume ya uchaguzi na pendekezo la mshindi wa urais kupata 50%+1 ya kura zote.
Sasa uchaguzi mkuu uliofuata 2011 upinzani ukashinda ingawa hawakufikisha 50% + 1 .Wangekua na katiba mpya wasingetangazwa washindi
Wananchi waliungana na upinzani kwa kuwa walijua chama tawala hakina nia thabiti ya kushiriki mchakato wa katiba mpya kwa maslahi ya wazambia wote.
CCM hapa hawajifunzi.Nasi tuendelee kuwakumbusha wananchi historia na upinzani tujipange kuonyesha misimamo hata kama tumeshafanya makosa
Nilisema hatuwezi kufanya mazungumzo na watu wasio na nia njema.Wengine wakanikemia kuwa katiba mpya eti haipatikani barabarani
Msimamo wangu ni kuwa wasiotaka kukaa mezani kwa nia njema tukutane nao barabarani kisha turudishane mezani tukiwa na maumivu sasa tujadiliane kwa nidhamu.
Mchakatoo wetu wa kupata KATIBA MPYA umekwendaa kilainii sana!!!
Hii ni kuonyesha kuwa WATANZANIA ni wastaarabu, wasiopenda malumbano, wenye upendo na uvumilivu mkubwaa wa KISIASA NA KIJAMIII.