Bunge la Katiba Haliko Kwa Ajili ya Kuboresha Rasimu ya Kina Warioba!

Bunge la Katiba Haliko Kwa Ajili ya Kuboresha Rasimu ya Kina Warioba!

Kwa hiyo mkuu wewe unaona bora identity ibaki Zanzibar tu? Huku Tanganyika nao ni binadamu, wana mioyo wana kinyongo wanapoona mshirika mwenzake ana Identity, wanaona hamna jinsi nao wapate Identity, na hapo ndo ukweli wa kuwepo kwa serikali 3 inapolazimu kuwepo. Kimsingi hili la 3 limekuja tu kutokana na hali ilivyo kwa sasa. Kama Znz wakikubali kujivua Identity naona mjadala huu mkali utajifunga automatically, zaidi ya hapo ni kupoozesha tu kwa muda ambapo baadae mijadala inaanza tena

Mkuu kama utakuwa umenielewa vizuri mimi ni muumini wa Muungano wa serikali moja ya Tanzania. Kama wazanzibar wakitakaa kuutangaza uzanzibar wao ndani ya serikali moja let them do so.

Huku bara si kama watu hawajui identity, i think we have risen above that, wenzetu visiwani bado wako na akili za idenity.
 
Kabla sijachangia hoja zako naomba nimuulize Mzee Mwanakijiji kuhusu mfumo wa elektroniki katika kupiga kura.

MM amesema mfumo huo utarahisha na kuokoa muda. Apparently ndivyo inavyotakiwa iwe lakini ukweli ndio ulivyo?
I mean kutakuwa na uhakiki gani kuhusu mfumo huo kutoingiliwa ili kuharibu matokeo?

Mkuu wangu Nguruvi, kusema ukweli uthibitisho au uhakika wa kuwa na tamper-proof electronic system haupo. Hatujui unafanyaje kazi, nani yuko nyuma yake na uhuru wake kutoka katika siasa. Kimsingi, Watanzania watatakiwa wakubali kwa imani tu kuwa kura zilizopigwa ndivyo zilivyo.
 
Mkuu wangu Nguruvi, kusema ukweli uthibitisho au uhakika wa kuwa na tamper-proof electronic system haupo. Hatujui unafanyaje kazi, nani yuko nyuma yake na uhuru wake kutoka katika siasa. Kimsingi, Watanzania watatakiwa wakubali kwa imani tu kuwa kura zilizopigwa ndivyo zilivyo.

More tricks in the Hat.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
More tricks in the Hat.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Exactly; sasa mwananchi atabishana vipi na 'kura' zilizopigwa 'wazi'? Angalia tu kura ya makaratasi ya kumchagua mtu mmoja ilivyokuwa ngumu.. sasa wakiambiwa wabonyeze tu mara moja sijui itakuwaje... I hope matokeo yatakuwa yanaonekana moja kwa moja kwenye screen.. maana si hazihitaji kuhesabiwa tena?
 
Mchambuzi i beg to differ. Sioni kama serikali tatu zinaweza kuimairisha muungano, kwa kuwa sioni kama serikali ya Muungano itakuwa na maana yoyote. Serikali ya Zanzibar itakuwa ina qualify kuwa serikali, in sense that it will have land, people with identity na mipaka yake na hata raslimali zake, ya Tanganyika pia itakuwa hivyo hivyo, ya Muungano itakuwa inaelea tu, it will be a useless thing. Kwa hiyo serikali tatu ni kutandika njia ya kuua muungano. Unless tutangaze kuwa jamhuri ya muungano wa Tanzania iwe United Kingdom of Tanzania, na rais awe Monarchy, which in other words itakuwa ni kuifufua Tanganyika na kuwa serikali mbili za kweli, yaani nchi mbili tofauti kabisa.

The only way kama kweli tunataka Muungano ni serikali moja ya Tanzania. Serikali mbili ni current form ni kudanganyana, na serikali tatu as stipulated in the draft constitution is a way towards killing union.

So it is either one government or die. Kurudi kwenye serikali kama zilivyopendekezwa na Mwalimu na Mzee Karume ni kudanganyana, serikali tatu bado ni sarakasi tu za kisiasa. Kama serikali moja haitawezekana, let the marriage break, we keep being friends.

If Zanzibaris do care much about their identity as they put in their 2010 constitution, they should well understand what that means in terms of union, they should also understand that we mainlanders know a thing or two about identity, not that we do not like it or we do not know it. We chose to rise above identity politics and be Tanzanians, not Tanganyikans, some of us do not want to go that low just because some demagogue politician in Zanzibar wants so.

When articles of union were written, economic and political realities were not like they are now. Sidhani kama ni msahafu ambao hauwezi kubadilishwa.

Let us be honest mchambuzi, serikali tatu italeta serikali nyingine ambayo itakuwa kwenye mkaratasi tu, itakuwa ni serikali ya kisanii.


Mkuu Bongolander,

Hoja yangu kwamba serikali tatu zitatatua mgogoro wa muungano ipo based on the following background:
*Muungano wa 1964 ulilenga serikali ngapi? Jibu ni tatu;
*Je nini kilitokea? Uchakachauji kwa vile serikali ya TANU na baadae CCM gave priority to control "people" kuliko to control "territory", utamadanu ambao bado unaendelea leo.
*Je, iwapo serikali tatu zingetekelezwa from the get go, muungano ungekumbwa na migogoro? Jibu ni ndio lakini not absolute stability kwani hakuna muungano duniani (federal or unitary wenye absolute stability). Suala la msingi ni kwamba grievances za wazanzibari zisingekuwa kubwa kama zile zilizoanzia miaka 30 iliyopita chini ya Jumbe. Walichokuwa wanadai ni simply "serikali tatu".
*Je, kuirudisha Tanganyika baada ya matukio ya zanzibar ya kikatiba aliyojadili Nguruvi3 hapo juu kutakuwa ni suluhisho la muungano? Jibu ni kwamba kwa vile tume ya warioba ilielekezwa kuja na mfumo wa kulinda na kuboresha muungano, hapakuwa na option zaidi ya serikali tatu kwani source ya grievances za wazanzibari ni lost of autonomy and right to self determination, vitu ambavyo viliheshimiwa ndani ya mkataba wa muungano kabla ya sarakasi za uchakachuaji kuanza.

Mengi yameshafanyika znz (rejea hoja za Nguruvi3 hapo juu) na hii ni baada ya CCM kupuuza vilio vya wazanzibari for over 30 years kwamba tuheshimu mkataba wa muungano. Wazanzibari walifanikiwa kurudisha uzanzibari kupitia katiba yao ya kwanza tangia mapinduzi kuelekea 1980s (sikumbuki tarehe kamili) kwani bila ya kushtuka mapema, zanzibar ingefanywa kuwa Tanzania Visiwani for good kama vile Tanganyika ilivyofanywa kuwa Tanzania Bara kupitia sheria namba 22 ya serikali ya 1965.

Mkuu, hivyo ndivyo serikali moja ingewezekana kwa kulazimishwa na ccm, sio kwa matakwa ya wananchi; all in all, wa kulaumu kwa yote kuanzia mgogoro wa muungano hadi hatua za kikatiba zanzibar 2010 ni CCM (Dodoma), sio wazanzibari. Na kwa vile CCM imeshaharibu kwa kulazimisha mfumo kwa wananchi, na kwa vile zanzibar wamesha respond kupitia katiba yao ya 2010, inachotakiwa ni watanganyika pia kufanya hivyo kupitia katiba yao ya Tanganyika kama tume ya warioba inavyopendekeza. Baada ya hapo sasa tutarudi kwenye meza ya majadiliano as two sovereign entities ambapo umma utaamua iwapo tunautaka muungano na uwe wa aina gani. Ni dhahiri kwamba wananchi wengi toka pande zote watataka muungano uendelee lakini unaohusisha masuala kadhaa tu kuwa ni ya ushirikiano hence serikali tatu kama mkataba wa 1964 ulivyoweka wazi. Kwa maana nyingine, the contentious issues kwa pande zote za muungano hazitakuwa juu ya uwepo wa muungano bali muungano katika masuala gani.

Mkuu Bongolander, pengine nikuulize, hizo sarakasi za serikali tatu zitarukwa na nani, wananchi au watawala?




Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
The issue hapa ni Tanganyika, sio kingine. Is Tanganyika being held to ransom? Held by who? What needs to be paid in order to release her from the shattered union? Paid by, and to whom?


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
The issue hapa ni Tanganyika, sio kingine. Is Tanganyika being held to ransom? Held by who? What needs to be paid in order to release her from the shattered union? Paid by, and to whom?


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mchambuzi, mojawapo ya mambo ambayo yananisumbua sana ni kuwa kuna kila dalili kwamba wapo watu wetu hawapendi kuzama katika kufikiri kitu kwa undani wake. Ukiondoa mambo mengine mengi yaliyonifanya kwa upande wangu niupinge mchakato huu ni suala la Tanganyika. Tanganyika siyo tu kuwa haijapewa umuhimu ambao Zanzibar imepewa kimsingi, tumekubali SErikali ya Muungano kuzungumza kwa niaba ya Tanganyika na kuamini kuwa hilo ni halali. Mchakato huu wa kuelekea Katiba Mpya ya Muungano naamini usingeanza bila kwanza kurejesha SErikali ya Tanganyika na makarabrasha yake yote ili angalau iwe na uwezo wa kusimama sawa katika kujadiliana. Matokeo yake Rais wa Zanzibar anasimama peke yake mbele ya Rais wa Muungano na kuamua hatima ya mambo ya Tanganyika!
 
Mkuu Bongolander,

Hoja yangu kwamba serikali tatu zitatatua mgogoro wa muungano ipo based on the following background:
*Muungano wa 1964 ulilenga serikali ngapi? Jibu ni tatu;
*Je nini kilitokea? Uchakachauji kwa vile serikali ya TANU na baadae CCM gave priority to control "people" kuliko to control "territory", utamadanu ambao bado unaendelea leo.
*Je, iwapo serikali tatu zingetekelezwa from the get go, muungano ungekumbwa na migogoro? Jibu ni ndio lakini not absolute stability kwani hakuna muungano duniani (federal or unitary wenye absolute stability). Suala la msingi ni kwamba grievances za wazanzibari zisingekuwa kubwa kama zile zilizoanzia miaka 30 iliyopita chini ya Jumbe. Walichokuwa wanadai ni simply "serikali tatu".
*Je, kuirudisha Tanganyika baada ya matukio ya zanzibar ya kikatiba aliyojadili Nguruvi3 hapo juu kutakuwa ni suluhisho la muungano? Jibu ni kwamba kwa vile tume ya warioba ilielekezwa kuja na mfumo wa kulinda na kuboresha muungano, hapakuwa na option zaidi ya serikali tatu kwani source ya grievances za wazanzibari ni lost of autonomy and right to self determination, vitu ambavyo viliheshimiwa ndani ya mkataba wa muungano kabla ya sarakasi za uchakachuaji kuanza.

Mengi yameshafanyika znz (rejea hoja za Nguruvi3 hapo juu) na hii ni baada ya CCM kupuuza vilio vya wazanzibari for over 30 years kwamba tuheshimu mkataba wa muungano. Wazanzibari walifanikiwa kurudisha uzanzibari kupitia katiba yao ya kwanza tangia mapinduzi kuelekea 1980s (sikumbuki tarehe kamili) kwani bila ya kushtuka mapema, zanzibar ingefanywa kuwa Tanzania Visiwani for good kama vile Tanganyika ilivyofanywa kuwa Tanzania Bara kupitia sheria namba 22 ya serikali ya 1965.

Mkuu, hivyo ndivyo serikali moja ingewezekana kwa kulazimishwa na ccm, sio kwa matakwa ya wananchi; all in all, wa kulaumu kwa yote kuanzia mgogoro wa muungano hadi hatua za kikatiba zanzibar 2010 ni CCM (Dodoma), sio wazanzibari. Na kwa vile CCM imeshaharibu kwa kulazimisha mfumo kwa wananchi, na kwa vile zanzibar wamesha respond kupitia katiba yao ya 2010, inachotakiwa ni watanganyika pia kufanya hivyo kupitia katiba yao ya Tanganyika kama tume ya warioba inavyopendekeza. Baada ya hapo sasa tutarudi kwenye meza ya majadiliano as two sovereign entities ambapo umma utaamua iwapo tunautaka muungano na uwe wa aina gani. Ni dhahiri kwamba wananchi wengi toka pande zote watataka muungano uendelee lakini unaohusisha masuala kadhaa tu kuwa ni ya ushirikiano hence serikali tatu kama mkataba wa 1964 ulivyoweka wazi. Kwa maana nyingine, the contentious issues kwa pande zote za muungano hazitakuwa juu ya uwepo wa muungano bali muungano katika masuala gani.

Mkuu Bongolander, pengine nikuulize, hizo sarakasi za serikali tatu zitarukwa na nani, wananchi au watawala?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mchambuzi serikali mbili Kimsingi ni making ya CCM yenyewe, kama ulivyosema idea ya zamani ilikuwa serikali tatu lakini somehow haikutekelezwa. Kwa hiyo serikali ya CCM ilichofanya ni kutaka serikali mbili zitekelezwe.

Unajua tukiwa tunajadili suala la muungano kwa mtazamo wa mahesabu ya baadhi ya wazanzibar tutakuwa tunakosea. Baadhi ya watu Zanzibar wanataka muunugano ufe ili waweze kuingia madarakani, hii ya kusema nchi kama ilivyosemwa mwaka 2010 ni siasa tu, ambazo undani wake ni uroho wa madaraka.

Issue ya serikali tatu kama ilivyopendekezwa kwenye rasimu ya katiba ni idea ya wananchi, sio ya watawala. Lakini ni watawala watakaoibananga idea hiyo na kuturudisha kwenye serikali mbili. Yaani hawataka tupige hatua. We have to admit the fact that kukiwa na serikali tatu ,serikali ya Muungano itakuwa obsolete, kwa kuwa itakuwa ina lack basic prerequisites za states. Itakuwa ni serikali yenye wizara tatu au nne lakini haina watu, ardhi wala raslimali. Kwa maana nyingine hiyo itakuwa na maana ya kuua muungano.

Ndio maana nasema way forward ni serikali moja. Serikali mbili, ina whatever form kama inavyopendekezwa na CCM kwenye waraka wanaousambaza kwenye bunge la katiba kwa sasa ni kudanganyana tu, kwani we hv been there before.

So to answer your question, watakaofanya usanii ni hao hao watawala wetu. Sina hakika kama ni kwa maslahi ya CCM, au ya kwao binafsi. Lakini tayari they have numbers to manipulate the draft constitution and the outcome of any polls in bunge la katiba.

Kama unaona Tanganyika ni hostage, aliyeishika ni CCM, lakini ni huo huyo CCM anataka alipe ransom ili Tanganyika asiachiwe aachiwe
 
Back
Top Bottom