Bunge la Katiba Haliko Kwa Ajili ya Kuboresha Rasimu ya Kina Warioba!

Bunge la Katiba Haliko Kwa Ajili ya Kuboresha Rasimu ya Kina Warioba!

Kama mliwezwa kugeuzwa boya na nyerere kwa kuufuta utanganyika wenu basi si ubaya kugeuzwa boya kwa utanzania wenu,zanzibar kwanza.

Hivi unaakili timamu kweli jombaa?
 
Kuna kundi dogo jasiri lilipinga sana rasimu ya mchakato wa kutengeneza katiba mpya. Wananchi tulikaa kimya tukawaona kama viherehere.
ila wa likuwa na point na sie tulikuwa nyuma yao kimya kimya kama kawaida yetu. (wapole)
Sasa ndio ilipitishwa, na inatumika sasa!!

Anyway, maji yameshamwagika.

Kuanzia hapa nani mwenye wazo?
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji,

This is in reference to post #133. Ningependa kupingana na (utabiri?) wako kwamba kutakuwa na "voice vote" article by article", kwa hoja ifuatayo:

Kimsingi, rasimu ya katiba has to be debated, 'article by article' na kila article lazima iwe adopted by consensus. Lakini kwa vile upo uwezekano wa hili suala la "consensus" kutotokea katika articles kadhaa, hapa ndipo umuhimu wa utaratibu wa "two-thirds majority" unapojitokeza. Katika kanuni zinazoendelea kusomwa/kupitiwa na wajumbe ili wazielewe (na iwapo kuna haja, kushauri zirekebishwe?), ni lazima hii "rule of procedure" (two thirds vote) itakuwa considered vinginevyo bunge hili litaishia katikati kwa wajumbe kususa n.k. Nadhani moja ya sababu ya bunge hili kuhairishwa kwa siku nne has to do with this very same issue;

Nina imani kubwa sana kwamba suala hili tayari linafanyiwa kazi na litakuwa elaborated kwenye rules of procedure, vinginevyo iwapo bunge litaanza kazi ya kupitia rasimu ya katiba bila kuweka kanuni hii mahala pake, basi bunge hili litamalizika bila ya kukamilisha kazi yake kwani litavunjika na kulipeleka taifa kwenye scenario(s) Nguruvi3 alizojadili elsewhere;

I stand to be corrected.

Cc JokaKuu, Candid Scope, EMT, Pasco, MTAZAMO, Bongolander, Zakumi, Jasusi


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Wakuu kwa sasa issue sio jina la rasimu ya katiba, issue ni contents za rasimu ya katiba. Tatizo ni kuwa bado serikali na CCM wanataka katiba iwe yao iwe kwa mfano wao na isireflect maoni ya watanzania.


Ukiangalia wanachofanya sasa ni kuwa wanalalamikia kipengele ambacho watanzania wengine wamekitolea maoni, nacho ni muundo wa serikali.

Hoja ya serikali na CCM kwa sasa ni kuwa maoni yao yaani ya serikali mbili, na maoni ya wale wanaotaka serikali moja yahajawekwa kwenye rasimu ya katiba. Kwa hiyo wao wanaona kuwa kuna haja ya kuwepo kwa options tatu ili zijadiliwe kwenye bunge la katiba.

Kuna baadhi ya watu ndani ya serikali maoni ya serikali ni kuwa tunatakiwa kuwa na serikali moja, lakini maoni hayo hayajawekwa kwenye rasimu ya katiba. Mimi huwa nasema siku zote ni Muumini wa muugano huu, huu wa sasa naona ni usanii fulani. Muungano wa kweli ni wa serikali moja. lakini my view is not represented in the draft constitution. Kwa hiyo kwa upande fulani naona kama maoni yangu kwa upande fulani yamepuuzwa kabisa kwenye rasimu. Ningependa maoni yangu yajadiliwe na nijue ni kwanini hayafai.

CCM wao maoni yao ni serikali mbili, kwa kuwa kwao inalipa na wanaweza kuplay politics vizuri kwenye issue hii. Ingawa maoni yao sio popular kama yalivyo sa serikali moja kwa watu wa Zanzibar, lakini ni maoni yanayotuka kwa influential lobby. Also worthy discussing na yapanguliwe kwa hoja na sio just to sweep them under the rug.

Believe me, serikali itatumia excuse hiyo ya kusema hawajawekewa options za kujadili, kumbomoa Mzee Warioba. Watasema bunge la katiba linatakiwa kujadili options na sio suggestion moja.

And if that will be the case, kama wakishinikiza kujadili options zote, basi kitakachofanyika ni kupitisha will ya CCM. In otherwords tujiandae kuona kazi ya mzee warioba kukusanya maoni ya watu in regard to Muungano itafutwa.

CC: Mag3, EMT, JokaKuu, Pasco, Zakumi, MTAZAMO, zumbemkuu, Jasusi, Candid Scope, gfsonwin, Zinedine
 
Wakuu kwa sasa issue sio jina la rasimu ya katiba, issue ni contents za rasimu ya katiba. Tatizo ni kuwa bado serikali na CCM wanataka katiba iwe yao iwe kwa mfano wao na isireflect maoni ya watanzania.


Ukiangalia wanachofanya sasa ni kuwa wanalalamikia kipengele ambacho watanzania wengine wamekitolea maoni, nacho ni muundo wa serikali.

Hoja ya serikali na CCM kwa sasa ni kuwa maoni yao yaani ya serikali mbili, na maoni ya wale wanaotaka serikali moja yahajawekwa kwenye rasimu ya katiba. Kwa hiyo wao wanaona kuwa kuna haja ya kuwepo kwa options tatu ili zijadiliwe kwenye bunge la katiba.

Kuna baadhi ya watu ndani ya serikali maoni ya serikali ni kuwa tunatakiwa kuwa na serikali moja, lakini maoni hayo hayajawekwa kwenye rasimu ya katiba. Mimi huwa nasema siku zote ni Muumini wa muugano huu, huu wa sasa naona ni usanii fulani. Muungano wa kweli ni wa serikali moja. lakini my view is not represented in the draft constitution. Kwa hiyo kwa upande fulani naona kama maoni yangu kwa upande fulani yamepuuzwa kabisa kwenye rasimu. Ningependa maoni yangu yajadiliwe na nijue ni kwanini hayafai.

CCM wao maoni yao ni serikali mbili, kwa kuwa kwao inalipa na wanaweza kuplay politics vizuri kwenye issue hii. Ingawa maoni yao sio popular kama yalivyo sa serikali moja kwa watu wa Zanzibar, lakini ni maoni yanayotuka kwa influential lobby. Also worthy discussing na yapanguliwe kwa hoja na sio just to sweep them under the rug.

Believe me, serikali itatumia excuse hiyo ya kusema hawajawekewa options za kujadili, kumbomoa Mzee Warioba. Watasema bunge la katiba linatakiwa kujadili options na sio suggestion moja.

And if that will be the case, kama wakishinikiza kujadili options zote, basi kitakachofanyika ni kupitisha will ya CCM. In otherwords tujiandae kuona kazi ya mzee warioba kukusanya maoni ya watu in regard to Muungano itafutwa.

CC: Mag3, EMT, JokaKuu, Pasco, Zakumi, MTAZAMO, zumbemkuu, Jasusi, Candid Scope, gfsonwin, Zinedine

Mkuu Bongolander,

Iwapo nia ni kuboresha muungano, na hizo ndio hadidu rejea za sheria ya mabadiliko ya katiba ambazo tume ya warioba walipewa wazifanyie kazi, the "in practice", hasa given mgogoro wa muungano kwa miaka 50, baina ya serikali moja na serikali tatu, zipi zitaboresha muungano? Ni wazi kwamba ni serikali tatu, if we are to be pragmatic.

Nakubaliana na hoja za wadau wengine kwamba awali ya yote, wananchi wangeulizwa iwapo wanautaka muungano au hawautaki, lakini hili halikufanyika, so till then and as things stand, migogoro husika itapunguzwa na serikali tatu, kwani serikali mbili zimeshindwa, na serikali moja haijawahi kupewa nafasi na hii ni kwa sababu hoja kuu ya wazanzibari dhidi ya mfumo wa muungano ni mfumo ambao unawameza kama moja ya nchi washirika wa muungano, na katiba yao ya 2010 imelenga kuhakikisha kwamba hili halitokei; katika hali hii, hoja ya serikali moja inakuwa na mashiko gani? Isitoshe, hata mkataba wa muungano (1964) haukulenga kuwa na mfumo wa aina hii;

Kuhusu ccm na mkakati wake wa serikali mbili, I will keep on repeating myself kwamba "even a magician runs out of tricks";



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Nina imani kubwa sana kwamba suala hili tayari linafanyiwa kazi na litakuwa elaborated kwenye rules of procedure, vinginevyo iwapo bunge litaanza kazi ya kupitia rasimu ya katiba bila kuweka kanuni hii mahala pake, basi bunge hili litamalizika bila ya kukamilisha kazi yake kwani litavunjika na kulipeleka taifa kwenye scenario(s) Nguruvi3 alizojadili elsewhere;

I stand to be corrected.

Cc JokaKuu, Candid Scope, EMT, Pasco, MTAZAMO, Bongolander, Zakumi, Jasusi


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mchambuzi,
Naam! Hata mimi nasubiri hasa kuona kanuni zitakuwa vipi kuhusiana na kipengele kwa kipengele kwa sababu ile 25(2) inahusiana na kupitisha Katiba nzima kwamba inahitaji 2/3 majority. Kiutendaji sioni kama kuna uwezekano wa kupiga kura kwa kila article moja moja. Naona utaratibu utakuwa ni Mwenyekiti kuuliza kama kunahitajika kufanyika mabadiliko au la na kama "kifungu kipite kitapita". Unless pale ambapo itaonekana sauti haiko wazi nani kashinda ndio kura itabidi ipigwe na hapa ndio utaratibu wa kura ya kielektroniki ambao utatumika kwenye BLK unaweza kuokoa muda kidogo.

Tusubiri tuone kanuni watakazopitisha zinasema vipi.
 
Hivyo, ni muhimu process ya kutengeneza ya katiba mpya iongozwe na some normative principles. Vinginevyo, ni sawa na kuwa na sheria ambayo haina policy backing. Hizo normative principles ni pamoja na

  • Process ya kutengeneza katiba lazima ifanywe na bunge la katiba lililochaguliwa na wananchi moja kwa moja.
  • Hili bunge la katiba lazima liwe na unlimted power in the constitutional making. Litakuwa na unlimited power kwa sababu ilitakuwa limechaguliwa directly na wananchi ambao ndiyo wenye mamlaka ya mwisho na nchi yao.
  • Mchakato mzima wa kutengeneza katiba mpya lazima uwe inclusive and participatory.
Mkuu EMT, hapa umetisha na kumaliza kila kitu!, bahati mbaya hapa tulipofikia, its too little too late!.
Pasco
 
Hivyo unataka kutuambia bunge la katiba,muhimu kwa ni maoni yao eti kwa sababu ni wawakilishi wa wananchi,
hivyo mawzo yao ni sahihi kuliko maoni na mawzo yaliyotoka moja kwa moja kwa wananchi???

kwani wananchi walitoa maoni kupitia nani ?Hayakuja moja kwa moja bali yamepitia kwa tume ya Walioba vivyo hivyo kwa mlango mwingine maoni yao yamechukuliwa kupitia wawakilishi wao tena halali waliowachagua kwa kura kwa lengo la kuwaongoza majimboni lakini pia wengine 200 ni wawakilishi wa asasi zenye malengo yanayofafana ambazo zipo kila siku na wananchi,hivyo kwangu mimi mkusanyiko huo ni muhimu kuliko hata ule wa walioba
 
Mkuu Bongolander,

Iwapo nia ni kuboresha muungano, na hizo ndio hadidu rejea za sheria ya mabadiliko ya katiba ambazo tume ya warioba walipewa wazifanyie kazi, the "in practice", hasa given mgogoro wa muungano kwa miaka 50, baina ya serikali moja na serikali tatu, zipi zitaboresha muungano? Ni wazi kwamba ni serikali tatu, if we are to be pragmatic.

Nakubaliana na hoja za wadau wengine kwamba awali ya yote, wananchi wangeulizwa iwapo wanautaka muungano au hawautaki, lakini hili halikufanyika, so till then and as things stand, migogoro husika itapunguzwa na serikali tatu, kwani serikali mbili zimeshindwa, na serikali moja haijawahi kupewa nafasi na hii ni kwa sababu hoja kuu ya wazanzibari dhidi ya mfumo wa muungano ni mfumo ambao unawameza kama moja ya nchi washirika wa muungano, na katiba yao ya 2010 imelenga kuhakikisha kwamba hili halitokei; katika hali hii, hoja ya serikali moja inakuwa na mashiko gani? Isitoshe, hata mkataba wa muungano (1964) haukulenga kuwa na mfumo wa aina hii;

Kuhusu ccm na mkakati wake wa serikali mbili, I will keep on repeating myself kwamba "even a magician runs out of tricks";



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mchambuzi i beg to differ. Sioni kama serikali tatu zinaweza kuimairisha muungano, kwa kuwa sioni kama serikali ya Muungano itakuwa na maana yoyote. Serikali ya Zanzibar itakuwa ina qualify kuwa serikali, in sense that it will have land, people with identity na mipaka yake na hata raslimali zake, ya Tanganyika pia itakuwa hivyo hivyo, ya Muungano itakuwa inaelea tu, it will be a useless thing. Kwa hiyo serikali tatu ni kutandika njia ya kuua muungano. Unless tutangaze kuwa jamhuri ya muungano wa Tanzania iwe United Kingdom of Tanzania, na rais awe Monarchy, which in other words itakuwa ni kuifufua Tanganyika na kuwa serikali mbili za kweli, yaani nchi mbili tofauti kabisa.

The only way kama kweli tunataka Muungano ni serikali moja ya Tanzania. Serikali mbili ni current form ni kudanganyana, na serikali tatu as stipulated in the draft constitution is a way towards killing union.

So it is either one government or die. Kurudi kwenye serikali kama zilivyopendekezwa na Mwalimu na Mzee Karume ni kudanganyana, serikali tatu bado ni sarakasi tu za kisiasa. Kama serikali moja haitawezekana, let the marriage break, we keep being friends.

If Zanzibaris do care much about their identity as they put in their 2010 constitution, they should well understand what that means in terms of union, they should also understand that we mainlanders know a thing or two about identity, not that we do not like it or we do not know it. We chose to rise above identity politics and be Tanzanians, not Tanganyikans, some of us do not want to go that low just because some demagogue politician in Zanzibar wants so.

When articles of union were written, economic and political realities were not like they are now. Sidhani kama ni msahafu ambao hauwezi kubadilishwa.

Let us be honest mchambuzi, serikali tatu italeta serikali nyingine ambayo itakuwa kwenye mkaratasi tu, itakuwa ni serikali ya kisanii.
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji,

This is in reference to post #133. Ningependa kupingana na (utabiri?) wako kwamba kutakuwa na "voice vote" article by article", kwa hoja ifuatayo:

Kimsingi, rasimu ya katiba has to be debated, 'article by article' na kila article lazima iwe adopted by consensus. Lakini kwa vile upo uwezekano wa hili suala la "consensus" kutotokea katika articles kadhaa, hapa ndipo umuhimu wa utaratibu wa "two-thirds majority" unapojitokeza. Katika kanuni zinazoendelea kusomwa/kupitiwa na wajumbe ili wazielewe (na iwapo kuna haja, kushauri zirekebishwe?), ni lazima hii "rule of procedure" (two thirds vote) itakuwa considered vinginevyo bunge hili litaishia katikati kwa wajumbe kususa n.k. Nadhani moja ya sababu ya bunge hili kuhairishwa kwa siku nne has to do with this very same issue;

Nina imani kubwa sana kwamba suala hili tayari linafanyiwa kazi na litakuwa elaborated kwenye rules of procedure, vinginevyo iwapo bunge litaanza kazi ya kupitia rasimu ya katiba bila kuweka kanuni hii mahala pake, basi bunge hili litamalizika bila ya kukamilisha kazi yake kwani litavunjika na kulipeleka taifa kwenye scenario(s) Nguruvi3 alizojadili elsewhere;

I stand to be corrected.

Cc JokaKuu, Candid Scope, EMT, Pasco, MTAZAMO, Zakumi, Jasusi


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mchambuzi mark my words. Serikali yetu ina tabia ya kupuuza mapendekezo ya tume, hasa yanapo-reflect maoni ya watu ambayo yanaonesha kuikosoa CCM. Kumbuka mapendekezo ya tume ya Nyalali, Tume ya Robert Kisanga, tume ya Warioba kuhusu ufisadi....so we have precedence already, kama mtu atashangaa kupigwa chini mapendekezo ya serikali tatu, labda atakuwa ni mtu asiyejua track record ya CCM na serikali zake kutupilia mbali mapendekezo ya kitaalamu ya tume mbalimbali.

Article one ya katiba haitajadiliwa na haitapitishwa. Usitegemee kama hiyo approach unayoitaja, ambayo mimi naona kimsingi ndio sahihi, ndio itafuatwa. Article I itafumuliwa yote kisanii, na itaingiza options tatu, na option itakayopendwa na CCM ndio itapitishwa. Whether we like it or not, and the reason behind this is CCM already has numbers to manage that 2/3 majority. Hapo ndio walipomchezea mzee Warioba.
 
Kwaiyo pesa zote za mchakato wa maoni ya katiba za kodi za watanzania ni bure kumbuka maoni aliyo andika waryoba ndiyo hitaji la watanzania wengi waliotoa maoni yao sasa hayo yakipigwa chini hii katiba ni ya wananchi au viongozi??
 
Kuhusu ccm na mkakati wake wa serikali mbili, I will keep on repeating myself kwamba "even a magician runs out of tricks";



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mchambuzi, a great magician ALWAYS has an extra trick up his sleeves; vinginevyo, a great magician is not. LOL
 
Out of curiosity, do magicians run out of time as well?


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Well... a good magician never worry about time... by the time you notice time is out mwanamizangaombwe wetu atakuwa ameshakuchuklia saa uliyovaa!
 
Mimi process ilivyoanza kwa kuundwa kwa ile tume ya kukusanya mawazo ya wananchi ndipo nikagundua kuwa tumeingia boya kabisa.. Katiba haitungwi kwa kukusanya mawazo ya wananchi, siyo uchaguzi wa wengi wape ule, bali ni sheria na kanuni ya kuendesha nchi. Ni sheria ambayo inatawakiwa iandaliwr na watu wenye mtizamo mpana zaidi ya mtizamo wetu wa kila siku. Ni pamoja na kupitia katiba za nchi nyingine na kujifunza kuna nini huko kwao na ni yapi kati ya hayo yanafaa kutumika kwetu. Siyo tunaandika Lijitabu la kurasa mia mbili eti ni Katiba ya nchi, NO. Katiba iliyoandikwa vizuri haiwezi kuzidi kurasa hamsini za A5 kwa font ya 10 points hata siku moja.

Hata hiyo rasimu nilipoiona nikaangalia kama vile ni viraka viraka tu, na mwisho wa yote itatushinda hata kuitekeleza, wakati tumeteketeza fedha nyingi sana katika kuiandaa. Tume na Bunge watakula pesa nyingi sana kutokana na dudumizi hili liitwalo Katiba.
 
Mchambuzi i beg to differ. Sioni kama serikali tatu zinaweza kuimairisha muungano, kwa kuwa sioni kama serikali ya Muungano itakuwa na maana yoyote. Serikali ya Zanzibar itakuwa ina qualify kuwa serikali, in sense that it will have land, people with identity na mipaka yake na hata raslimali zake, ya Tanganyika pia itakuwa hivyo hivyo, ya Muungano itakuwa inaelea tu, it will be a useless thing. Kwa hiyo serikali tatu ni kutandika njia ya kuua muungano. Unless tutangaze kuwa jamhuri ya muungano wa Tanzania iwe United Kingdom of Tanzania, na rais awe Monarchy, which in other words itakuwa ni kuifufua Tanganyika na kuwa serikali mbili za kweli, yaani nchi mbili tofauti kabisa.

The only way kama kweli tunataka Muungano ni serikali moja ya Tanzania. Serikali mbili ni current form ni kudanganyana, na serikali tatu as stipulated in the draft constitution is a way towards killing union.

So it is either one government or die. Kurudi kwenye serikali kama zilivyopendekezwa na Mwalimu na Mzee Karume ni kudanganyana, serikali tatu bado ni sarakasi tu za kisiasa. Kama serikali moja haitawezekana, let the marriage break, we keep being friends.

If Zanzibaris do care much about their identity as they put in their 2010 constitution, they should well understand what that means in terms of union, they should also understand that we mainlanders know a thing or two about identity, not that we do not like it or we do not know it. We chose to rise above identity politics and be Tanzanians, not Tanganyikans, some of us do not want to go that low just because some demagogue politician in Zanzibar wants so.

When articles of union were written, economic and political realities were not like they are now. Sidhani kama ni msahafu ambao hauwezi kubadilishwa.

Let us be honest mchambuzi, serikali tatu italeta serikali nyingine ambayo itakuwa kwenye mkaratasi tu, itakuwa ni serikali ya kisanii.

Kwa hiyo mkuu wewe unaona bora identity ibaki Zanzibar tu? Huku Tanganyika nao ni binadamu, wana mioyo wana kinyongo wanapoona mshirika mwenzake ana Identity, wanaona hamna jinsi nao wapate Identity, na hapo ndo ukweli wa kuwepo kwa serikali 3 inapolazimu kuwepo. Kimsingi hili la 3 limekuja tu kutokana na hali ilivyo kwa sasa. Kama Znz wakikubali kujivua Identity naona mjadala huu mkali utajifunga automatically, zaidi ya hapo ni kupoozesha tu kwa muda ambapo baadae mijadala inaanza tena
 
Mchambuzi i beg to differ. Sioni kama serikali tatu zinaweza kuimairisha muungano, kwa kuwa sioni kama serikali ya Muungano itakuwa na maana yoyote. Serikali ya Zanzibar itakuwa ina qualify kuwa serikali, in sense that it will have land, people with identity na mipaka yake na hata raslimali zake, ya Tanganyika pia itakuwa hivyo hivyo, ya Muungano itakuwa inaelea tu, it will be a useless thing. Kwa hiyo serikali tatu ni kutandika njia ya kuua muungano. Unless tutangaze kuwa jamhuri ya muungano wa Tanzania iwe United Kingdom of Tanzania, na rais awe Monarchy, which in other words itakuwa ni kuifufua Tanganyika na kuwa serikali mbili za kweli, yaani nchi mbili tofauti kabisa.
The only way kama kweli tunataka Muungano ni serikali moja ya Tanzania. Serikali mbili ni current form ni kudanganyana, na serikali tatu as stipulated in the draft constitution is a way towards killing union.

So it is either one government or die. Kurudi kwenye serikali kama zilivyopendekezwa na Mwalimu na Mzee Karume ni kudanganyana, serikali tatu bado ni sarakasi tu za kisiasa. Kama serikali moja haitawezekana, let the marriage break, we keep being friends.

If Zanzibaris do care much about their identity as they put in their 2010 constitution, they should well understand what that means in terms of union, they should also understand that we mainlanders know a thing or two about identity, not that we do not like it or we do not know it. We chose to rise above identity politics and be Tanzanians, not Tanganyikans, some of us do not want to go that low just because some demagogue politician in Zanzibar wants so.

When articles of union were written, economic and political realities were not like they are now. Sidhani kama ni msahafu ambao hauwezi kubadilishwa.

Let us be honest mchambuzi, serikali tatu italeta serikali nyingine ambayo itakuwa kwenye mkaratasi tu, itakuwa ni serikali ya kisanii.
Kabla sijachangia hoja zako naomba nimuulize Mzee Mwanakijiji kuhusu mfumo wa elektroniki katika kupiga kura.

MM amesema mfumo huo utarahisha na kuokoa muda. Apparently ndivyo inavyotakiwa iwe lakini ukweli ndio ulivyo?
I mean kutakuwa na uhakiki gani kuhusu mfumo huo kutoingiliwa ili kuharibu matokeo?
Kama pesa zinatoka Hazina na kwenda kununu ndege bila mtu kuhusika, IT ya BLK itakuwa salama?Kama tembo na Twiga wanaingia katika ndege ya jeshi wakitokea porini na kupenya milango ya KIA bila nchi kujua, huo mfumo tuna uhakika gani hautaingiliwa?

@Bongolander
Naomba nikukumbushe kuwa hadi sasa hakuna muungano.
Katiba ya znz ya mwaka 2010 ilishavunja muungano.
SMZ inaweza kufanya jambo lolote lile bila kuulizwa na JMT.
Wamekiuka katiba ya JMT mara zaidi ya 10 kiasi cha kuifanya katiba hiyo isiwe na maana kwao.

Lakini pia wamekuwa juu ya katiba ya JMT pale wanapoweza kuwapangia Watanganyika nini wafanye nini wasifanye kupitia BLW.

Hakuna uamuzi wa bunge la JMT lenye wznz pia utakaopitishwa bila ridhaa ya BLW.
Kwamba watu milioni 1.2 ambao nusu wanaishi Tanganyika wanaweza kuamua Tanganyika isifanye au ifanye ABCD.

Wakati huo huo watu 40 Milioni hawawezi kuamua wznz wafanye nini bali wao wanaamua wafanye nini kwa idhini yao.Hadi hapo hakuna muungano ab initio.

Umesema serikali 3 zitaua muungano, hapa nashangaa zitaua vipi muungano ambao tayari umekufa kwasababu nilizozisema hapo juu!!

Kwanini rejeo la Tanganyika lionekane kuua muungano na si katiba ya znz ya mwaka 2010 iliyopigilia msumari wa mwisho katika jeneza la muungano.
Kwanini ionekane sasa isionekane mwaka 2010.

Kuhusu serikali 1, hilo haliwezekani kwasababu ya narcissism ya wazanziabar.
Watanganyika wamekUbali kupoteza ID kwa miaka 50 bila manung'uniko, vipi leo uone ni watovu na si wale wenye ID tayari ambao hawataki ID ya Utanzania?

Lakini pia naungana nawe kuwa serikali 2 ni njozi za mchana.
Hakuna dawa itakayotibu majeraha ya maiaka 50.
Option iliyobaki ni kuvunja jahazi tugawane mbao.

Mkuu, wanaodai serikali ya Tanganyika siyo Moron, ni watu wanaotaka kuachana na malalamiko na tuhuma za ki moron.
 
Back
Top Bottom