In my humble view, Warioba na Shivji, aidha wote wanatafsiriwa vibaya au hawakujieleza vya kutosha, if not both:
Ukweli unabakia kuwa - Bunge la katiba linatakiwa ku-base its discussions kutokana na rasimu ya katiba iliyoandaliwa na tume ya katiba na sio vinginevyo. Suala la bunge la katiba kuondoa yaliyopendekezwa ndani ya rasimu iliyowasilishwa na tume ya katiba ni suala ambalo sio black and white kama makada wa CCM na wengine of the same political persuasion wanapenda iwe. In order for the constituent assembly kuondoa au kufuta kipengele au vipengele vyovyote ndani ya rasimu iliyowasilishwa na tume ya katiba, inatakiwa zipatikane two thirds ya kura za wajumbe wa bunge la katiba, vinginevyo yaliyowasilishwa na tume ya warioba yanatakiwa kubakia kama yalivyo au kuboreshwa zaidi. Hali hii ndio inatoa uhalali, haja na umuhimu wa tume ya katiba na bunge la katiba.Kumezuka mjadala mkubwa sana juu ya umuhimu wa tume ya katiba vis a vis bunge la katiba huku wengi wakihoji iwapo kulikuwa na maana ya kuwa na tume ya katiba in the first place na wengine wakihoji iwapo basi kulikuwa na maana ya bunge la katiba kuketi baada ya kazi ya tume ya katiba. Nadhani ufafanuzi huo hapo juu utasaidi to shed some light katika sula hili unfolding before us;
Kwa kuongezea, kwa mtazamo wangu ambao pengine ni finyu, confusion iliyojitokeza ni kwamba baina ya jaji warioba na shivji is a matter of practice versus theory and principle, lakini vyovyote vile, nilichojadili hapo juu kinasimama kama kilivyo.
* Wote wawili, yani Jaji warioba na Professor Shivji hawajafafanua the fact above - kwamba discussions zote za bunge hili ni lazima zitokane na rasimu iliyopo mbele ya wajumbe wa bunge la katiba na kazi yao ikiwa ni kujadili kwa nia ya kuboresha yaliyomo kwenye rasimu na baadae to draft and enact the constitution. Lakini iwapo kutatokea maamuzi ya KUFUTA au KUBADILI kitu chochote, basi ni lazima maamuzi hayo yatokane na "TWO THIRDS" ya kura za wajumbe wa bunge hili. Kura hizi zisipotimia, basi yaliyomo kwenye rasimu ya katiba yanabaki kama yalivyo; both warioba and shivji fell short of explaining this fact.
*Hoja ya Jaji Warioba inaondeshwa zaidi na practice kuliko theory kwani Jaji wariona amejikita zaidi on "practice" za siasa za CCM katika hoja yake, hasa ikizingatiwa kwamba tayari tume yake ilishapata mashambulizi makali kutoka kwa makada wa CCM. Kwa jaji warioba na wengine wenye mtazamo kama wake wanajua fika kwamba CCM itatumia "theory and principle" behind bunge la katiba "to practice" siasa za chama katika upatikanaji wa katiba itakayoendana na matakwa ya CCM.
*Professor Shivji as a constitutional lawyer, yeye hoja zake (tofauti na jaji warioba) zinaendeshwa zaidi na maelezo juu ya majukumu ya bunge la katiba in "theory" kuliko in "practice"; Lakini tukumbuke kwamba practice behind mabunge ya katiba hazifanani world wide, kwa maana nyingine, "one size doesn't fit all". Isitoshe, professor shivji kwa muda mrefu sana alikuwa akipingana na hali ya taifa kukosa katiba inayotokana na wananchi ambapo hakuwa akiitambua katiba ya 1977 kisheria kuliko alivyotambua mkataba wa muungano (1964); pili, professor shivji amekuwa akielezea sana jinsi gani mchakato wa katiba unavyofanya isivyo; ni kwa mantiki hii, ingawa anapingana na mtazamo wa jaji warioba in principle, in practice anakubaliana nae kwamba katiba mpya haitatokana na matakwa ya wananchi;
*Pia niseme kwamba
Mzee Mwanakijiji (pia
Nguruvi3 na wengineo) - katika suala husika wao wanajikita zaidi katika kuelezea jinsi gani practice had gone wrong from the beginning kutokana na interference ya CCM na pengine weakness kwa upande wa upinzani (hasa chadema). However,
Mzee Mwanakijiji unatuchanganya kidogo pale unapotumia practical failures to justify theory and principle katika suala husika, je should practice justify theory and principle au theory/principle should justify practice in our context?
Cc
Mag3,
EMT,
JokaKuu,
Bongolander,
Pasco,
Zakumi,
MTAZAMO,
zumbemkuu,
Jasusi,
Candid Scope,
gfsonwin,
Zinedine
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums