Ndugu wana Jamvi,
Nimetafakari kwanini Uongozi wa Bunge umeamua kutokuonesha Bunge LIVE sijapata jibu. Katika sheria zetu, ni haki kwa kila mtanzania kupata taarifa, kama hii ya mchakato wa Katiba, Bungeni. Tuishawishi Serikali kupitia Jukwaa hili kuhakikisha Kipndi cha Bunge kinarushwa Live ili tuweze kuona moja kwa moja majadiliano ya wawakilishi wetu Bungeni. Tafakari, paza sauti yako kupitia Jukwaa hili, nafahamu watasikia!
Karibuni
Nimetafakari kwanini Uongozi wa Bunge umeamua kutokuonesha Bunge LIVE sijapata jibu. Katika sheria zetu, ni haki kwa kila mtanzania kupata taarifa, kama hii ya mchakato wa Katiba, Bungeni. Tuishawishi Serikali kupitia Jukwaa hili kuhakikisha Kipndi cha Bunge kinarushwa Live ili tuweze kuona moja kwa moja majadiliano ya wawakilishi wetu Bungeni. Tafakari, paza sauti yako kupitia Jukwaa hili, nafahamu watasikia!
Karibuni