BUNGE LA KATIBA: Yanayojiri leo tarehe 27/02/2014

Samahani Mkuu hapo kwenye rangi nyekundu pasomeke 'wachangiaji'. Yalikuwa makosa ya uchapaji. Sasa unaweza kunijibu. Asante kwa kusoma mchango wangu.
"Wacangiaji wengi tu ameliona". Kwa wataalamu wa lugha adhimu ya kiswahili wanisaidie mnyumbuliko wa hiyo quoted sentens kabla sijamjibu.
 

Wasira Kichwa sana.
 
Mzee Rungwe kweli kaongea mpaka hapa nimesisimkwa pamoja na Mh Esther Bulaya....real patriotic na Kapuya pia....!!
 
Yaaa ameongea vizuri sana, kura ya siri ni must!!! SSM wanataka kumalizana baada ya pale!!! Wakafanyiane vikao na kuondoana katik auongozi ifikapo 2015. Ndiyo maana Anna Kilango amelikoroga, anaogopa atawekwa tena kiti cha moto. Mnafiki sana huyu.
 
kwenye maslai ya chama mnafananisha Tanzani na U.S.A, ila kwenye maslahi ya wananchi mnasema haya ni mambo ya ndani.

Wassira acha kuwatisha wanaccm huru.!
 

Kichwa sana, kichwa cha nazi!
 
kwani katiba ina kipengere kimoja tu cha muungano wa serikali na muundo wake?
 
Licha kulilia posho Shibuda amehoji akiitwa Askofu na kuulizwa na Mkiti akasema hapana halafu Sheikh akaitwa kwa hoja hiyohiyo na Mkiti na kusema ndio nini hatima ya nchi yetu. Hataki kura ya WAZI
 
Sijaona point ya maana ya wasira.ni pumba tu.anatetea msimamo wa ccm
 
Kama kuna mtu ameongea kwa manufaa ya Taifa hili Mh Hashim Runge ni Mtanzania kamimili asiye mwoga aliye mzalendo wa kweli ,
Ikiwa kutokuwa Mwoga ni uzalendo, basi majambazi ni wazalendo namba 1. Haujatuambia kaongea kitu gani, unaleta porojo za kukamilisha posts ulizopangiwa kwa siku na wakuu wako tu.

Achane kukurupa, leteni issue kamili na za maana. Wewe unasema kaongea kwa maufaa ya Taifa, unataka sisi tuote huyu ndugu Rungwe kaongea kitu gani. Na unaposema manufaa ya Taifa unamaanisha kitu gani, maana mvuta BANGI akisikia mtu anaongelea kuharalisha Bangi atasema MANUFAA YA TAIFA, au shoga akisikia mbunge anatetea ushoga atasema ameongelea manufaa ya Taifa
 
Na huyu Selina anaongea nini jamani???

Aunt amenihuzunisha sana....kanifanya niwe down sana leo.....ni kweli alipinga ujio wa Katiba akiwa pale Sheria 2011 lakini sikutaraji kumuona anashindwa kuwa na msimamo huru. Nway....nitamuandikia private maoni yetu wana Ulanga
 
Mzee Rungwe kweli kaongea mpaka hapa nimesisimkwa pamoja na Mh Esther Bulaya....real patriotic na Kapuya pia....!!

Sasa ndugu, umepost ili kututaarifu jinsi ulivyosisimka. Maana hamleti walichoongea ili nasi tusisimke ama tusinyae.
 
Aache kuwarubuni wananchi, wakati yeye ndiye mshirika mkubwa wa kuipnga rasimu ya walioba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…