Maishamapya
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,279
- 375
Kama kuna mtu ameongea kwa manufaa ya Taifa hili Mh Hashim Runge ni Mtanzania kamimili asiye mwoga aliye mzalendo wa kweli ,
Ameongea nini? Unakimbilia kujaza post tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kuna mtu ameongea kwa manufaa ya Taifa hili Mh Hashim Runge ni Mtanzania kamimili asiye mwoga aliye mzalendo wa kweli ,
Kwangu mimi wanaotaka serikali MOJA ndiyo WAZALENDO
"Wacangiaji wengi tu ameliona". Kwa wataalamu wa lugha adhimu ya kiswahili wanisaidie mnyumbuliko wa hiyo quoted sentens kabla sijamjibu.
Steven Wassira awataka wajumbe watumie nguvu ya hoja kuleta ushawishi kwa wajumbe na siyo vijembe,na kama huna hoja ni vyema ukanyamaza kimya na kuhamasisha kuwa kura ni uamuzi wa mwisho baada ya mazungumzo.
Pia anazungumzia maadili ya bunge na taratibu za nchi zifuatwe mathalani wako DOM kwa lengo mahususi la KATIBA.
KUHUSU KURA:Yeye amependekeza kura ya wazi na kuhamasisha watu waache uwoga wa kuongea kweupeeee kwa kutolea U.S.A kama mfano wa kupiga kura ya wazi!
Mheshimiwa Stephen Wasira anasema wanaosema CCM imekwenda na msimamo wa serikali mbili ni wanafiki kwa vile hakuna kundi ambalo halina msimamo wake na ndiyo maana CUF kupitia Kwa Habib Mnyaa walikwenda kwa Maandamano, CHADEMA wana msimamo wao ndiyo maana walizunguka kwa HELIKOPTA nchni nzima kuinadi serikali tatu. Makundi mengine kama ya wakulima, wavuvi, akina mama n.k nao wamekwenda na misimamo yao.
Huyu mzee ni kichwa sana. Bunge zima tulii, mzee anamwaga sera.
Hakuna link yoyote tunayoweza kusikiliza bunge la katiba online? Kama yupo mwenye link kama hiyo nisaidieni tafadhari
Wassira!
Wasira Kichwa sana.
Ikiwa kutokuwa Mwoga ni uzalendo, basi majambazi ni wazalendo namba 1. Haujatuambia kaongea kitu gani, unaleta porojo za kukamilisha posts ulizopangiwa kwa siku na wakuu wako tu.Kama kuna mtu ameongea kwa manufaa ya Taifa hili Mh Hashim Runge ni Mtanzania kamimili asiye mwoga aliye mzalendo wa kweli ,
Na huyu Selina anaongea nini jamani???
Mzee Rungwe kweli kaongea mpaka hapa nimesisimkwa pamoja na Mh Esther Bulaya....real patriotic na Kapuya pia....!!