Bunge la Kenya laamua nchi kujitoa katika mahakama ya ICC.

Bunge la Kenya laamua nchi kujitoa katika mahakama ya ICC.

Wabunge wanaounga mkono kujitoa ICC wamecheza mchezo rough kama wa CCM na wabunge wa upinzani wamenasa kwenye mtego na wameamua kutoka nje kususia mjadala.

Kenya itakuwa nchi ya kwanza Duniani kujitoa kutoka Mahakama ya Kimataifa (ICC)!
 
Mmmh! Njia mbadala ya kutafuta haki nikutoka tuuuu.... Ndio habar ya sasa.
 
haita saidia kenya maana kesi za kina RUTO na UHURU zitaendele tu
 
kwani wakijitoa mashtaka yatafutwa?hapo mi naona ndo wanarahisisha mambo na ndo watafuatiliwa kwa jicho pevu
 
Mimi naunga mkono kujitoa. ICC ni janga la kimataifa
 
Nimetizama Aljazeera hivi punde documentary ya uhalifu uliokuwa ukifanywa na Makomandoo wa Marekani kwa Mateka wa Kivita wa iraq. Inaonekana Walikuwa wakiwalenga wa-Shia na kuwakamata kama mateka halafu baadae huwauwa wakiwa njiani kupelekwa kwenye kambi na kisha kuwatupa katika viunga vya Baghdada kuenyesha kama watu waliokufa katika majibishano ya silaha. Ni vitu vya aibu, lakini kamwe hatutasikia kiongozi yeyote yule wa mataifa haya makubwa akatiwa hatiani kwani wao bila shaka ndio wafadhili wakubwa wa Mahakama hii na wanaitumia vema kuwaadhibu viongozi ambao walikinzana na mipango yao ya siri ya kupora rasilimali ya nchi zinazoendelea.

Hebu tizameni hapa: Al Jazeera's War in Iraq - BBC Control Room Documentary - YouTube

Bado idadi kubwa ya wahalifu ni viongozi wa nchi zinazoendelea.

cc: only83
 
Wanajifananisha na mataifa yalioendelea eti na wao wanataka kujitoa ICC. Lengo kumuokoa rais wao,kesho na kesho kutwa wakitawaliwa na rais dicteta muuwaji sijui watakimbilia wapi!
 

Source:BBC SWAHILI


Baadhi ya wabunge wa upinzani nchini Kenya wameondoka bungeni wakati mjadala mkali ukiendelea kuhusu kuunga mkono au kupinga nchi hiyo kujiondoa kutoka katika mahakama ya kimataifa ya ICC.


Wabunge hao wameondoka bungeni baada ya kusema kuwa kamwe hawataungana na upande wa serikali kuunga mkono hoja hii ya kujiondoa kutoka katika mahakama ya ICC.Ni kutokana na kuwa kwamba upinzani una idadi ndogo zaidi ya wabunge bungeni.

Mjadala huu unatokana na hatua ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto kukabiliwa na kesi za uhalifu dhidi ya binadamu katika mahakama hiyo wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi mkuu mwaka 2007-2008Naibu kiranja wa wabunge walio wachache bungeni Jakoyo Midiwo, alisema kuwa wabunge wa upande wa serikali wanaotetea hoja hii ya kujondoa Hague watakuja kujuta.
Hatua hii ya wabunge inakuja zaidi ya wiki moja kabla ya kuanza kwa kesi dhidi ya naibu Rais wa Kenya Williiam Ruto kuhusiana na ghasia za baada ya uchaguzi mwaka 2008.
Ruto anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binadamu.
Rais Uhuru Kenyatta pia anatarajiwa kufika katika mahakama hiyo mwezi Novemba kwa kesi dhidi yake.
Wawili hao wanashtakiwa kwa kuhusika na ghasia za baada ya uchaguzi mwishoni mwa mwaka 2007.
Msemaji wa ICC ameambia BBC kuwa kesi hiyo itaendelea hata ikiwa Kenya itajiondoa kwenye mkataba wa Roma uliopelekea kuanzishwa kwa mahakama hiyo.
Bwana Fadi El Abdallah, alisema kuwa itachukua karibu mwaka mmoja kwa mchakato wa nchi yoyote ile kujiondoa kutoka katika mahakama ya ICC na hii bila shaka inaathiri tu kesi zilizokuwa mbele ya mahakama hiyo kwa wakati huo.
Hii ni hatua ya dharura inayochukua serikali kujitoa katika Mkataba wa Roma wa mahakama hiyo ulioidhinishwa na Umoja wa mataifa mnamo tarehe 17 July, mwaka1998.
Kenya inataka kutoa mfano wa kuwa nchi ya kwanza Afrika kuchukua hatua hiyo licha ya kwamba uamuzi huu hautoathiri kwa namna yoyote kesi zinazoendelea sasa katika mahakama ya ICC.
Mahakama hiyo ya kimataifa imesema kwamba kesi hizo zitaendelea hata iwapo Kenya itajitoa.
Imesema itaichukua Kenya kiasi ya mwaka mmoja kabla ya kukubaliwa ombi hilo la kutaka kujiondoa katika mkataba wa Roma na hilo litaathiri tu kesi zitakazozuka baada ya muda huo.
Haya yanajiri wakati makamu wa rais William Ruto anatarajiwa kuondoka Kenya kueleka Hague Uholanzi wiki ijayo kukabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binadaamu katika mahakama hiyo ya ICC, kesi inayoanza tarehe 10 mwezi huu.
Wote wameshtakiwa kwa kuhusika katika ghasia zilizojiri baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007.Kesi dhidi ya rais Uhuru Kenyatta inatarajiwa kuanza tarehe 12 mwezi Novemba.

My take:
Sijui itazuia nini Kenya kujiondoa maana kesi zitaendelea na pia ombi lao la kujitoa inaweza kukubaliwa au kukataliwa baada ya mwaka mmoja.
Naona kama wamerahisisha kazi ya ICC maana sasa watakuwa wanaangaliwa zaidi kwa jicho pevu.












 
Nimetizama Aljazeera hivi punde documentary ya uhalifu uliokuwa ukifanywa na Makomandoo wa Marekani kwa Mateka wa Kivita wa iraq. Inaonekana Walikuwa wakiwalenga wa-Shia na kuwakamata kama mateka halafu baadae huwauwa wakiwa njiani kupelekwa kwenye kambi na kisha kuwatupa katika viunga vya Baghdada kuenyesha kama watu waliokufa katika majibishano ya silaha. Ni vitu vya aibu, lakini kamwe hatutasikia kiongozi yeyote yule wa mataifa haya makubwa akatiwa hatiani kwani wao bila shaka ndio wafadhili wakubwa wa Mahakama hii na wanaitumia vema kuwaadhibu viongozi ambao walikinzana na mipango yao ya siri ya kupora rasilimali ya nchi zinazoendelea.

Hebu tizameni hapa: Al Jazeera's War in Iraq - BBC Control Room Documentary - YouTube

Bado idadi kubwa ya wahalifu ni viongozi wa nchi zinazoendelea.
Ni kweli hutasikia kiongozi mkubwa wa nchi hizo kushtakiwa. Utakachosikia na kukiona ni haki kutendeka kwa kushtakiwa kwa wahusika wa kashfa hiyo. Kiongozi aliyepanga huo uhalifu hatapandishwa cheo kama Kamuhanda ila sheria itamuandama barabara.
Kama si kiongozi mkubwa anahusika utakachosikia ni askari wadogo wanaohusika kukamatwa kisha mkubwa wa kitengo chao kujiuzulu. Hivi wewe unafikiri kila kitu mpaka akamatwe Bush ndio haki imetendeka. Bush hakutuma watu kuua raia, hakutuma wairak kujilipua kwa mabomu na kuangamiza nchi yao huku wakiwa na akili timamu! Aliwatuma wanajeshi kupigana na wanajeshi wa Irak wanaomlinda Sadam na kisha kumkamata Sadam. Kinyume cha malengo hayo ni uhalifu unaoadhiwa na sheria za jeshi la Marekani ambazo zinafanya kazi bila kuangalia sura.
 
na hii itapelekea kesi kupelekwa haraka ndani ya huo mwaka mmoja
 

Source:BBC SWAHILI


Baadhi ya wabunge wa upinzani nchini Kenya wameondoka bungeni wakati mjadala mkali ukiendelea kuhusu kuunga mkono au kupinga nchi hiyo kujiondoa kutoka katika mahakama ya kimataifa ya ICC.


Wabunge hao wameondoka bungeni baada ya kusema kuwa kamwe hawataungana na upande wa serikali kuunga mkono hoja hii ya kujiondoa kutoka katika mahakama ya ICC.Ni kutokana na kuwa kwamba upinzani una idadi ndogo zaidi ya wabunge bungeni.

Mjadala huu unatokana na hatua ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto kukabiliwa na kesi za uhalifu dhidi ya binadamu katika mahakama hiyo wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi mkuu mwaka 2007-2008Naibu kiranja wa wabunge walio wachache bungeni Jakoyo Midiwo, alisema kuwa wabunge wa upande wa serikali wanaotetea hoja hii ya kujondoa Hague watakuja kujuta.
Hatua hii ya wabunge inakuja zaidi ya wiki moja kabla ya kuanza kwa kesi dhidi ya naibu Rais wa Kenya Williiam Ruto kuhusiana na ghasia za baada ya uchaguzi mwaka 2008.
Ruto anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binadamu.
Rais Uhuru Kenyatta pia anatarajiwa kufika katika mahakama hiyo mwezi Novemba kwa kesi dhidi yake.
Wawili hao wanashtakiwa kwa kuhusika na ghasia za baada ya uchaguzi mwishoni mwa mwaka 2007.
Msemaji wa ICC ameambia BBC kuwa kesi hiyo itaendelea hata ikiwa Kenya itajiondoa kwenye mkataba wa Roma uliopelekea kuanzishwa kwa mahakama hiyo.
Bwana Fadi El Abdallah, alisema kuwa itachukua karibu mwaka mmoja kwa mchakato wa nchi yoyote ile kujiondoa kutoka katika mahakama ya ICC na hii bila shaka inaathiri tu kesi zilizokuwa mbele ya mahakama hiyo kwa wakati huo.
Hii ni hatua ya dharura inayochukua serikali kujitoa katika Mkataba wa Roma wa mahakama hiyo ulioidhinishwa na Umoja wa mataifa mnamo tarehe 17 July, mwaka1998.
Kenya inataka kutoa mfano wa kuwa nchi ya kwanza Afrika kuchukua hatua hiyo licha ya kwamba uamuzi huu hautoathiri kwa namna yoyote kesi zinazoendelea sasa katika mahakama ya ICC.
Mahakama hiyo ya kimataifa imesema kwamba kesi hizo zitaendelea hata iwapo Kenya itajitoa.
Imesema itaichukua Kenya kiasi ya mwaka mmoja kabla ya kukubaliwa ombi hilo la kutaka kujiondoa katika mkataba wa Roma na hilo litaathiri tu kesi zitakazozuka baada ya muda huo.
Haya yanajiri wakati makamu wa rais William Ruto anatarajiwa kuondoka Kenya kueleka Hague Uholanzi wiki ijayo kukabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binadaamu katika mahakama hiyo ya ICC, kesi inayoanza tarehe 10 mwezi huu.
Wote wameshtakiwa kwa kuhusika katika ghasia zilizojiri baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007.Kesi dhidi ya rais Uhuru Kenyatta inatarajiwa kuanza tarehe 12 mwezi Novemba.

My take:
Sijui itazuia nini Kenya kujiondoa maana kesi zitaendelea na pia ombi lao la kujitoa inaweza kukubaliwa au kukataliwa baada ya mwaka mmoja.
Naona kama wamerahisisha kazi ya ICC maana sasa watakuwa wanaangaliwa zaidi kwa jicho pevu.


Yes,,majority of the opposition did walk out of the house after finding themselves with nothing
to talk about.

The debate has been one,,,, sided.

The motion has been passed,, overwelmingly,,and now is on the way
waiting for more stages and by the look of things,,,Kenya is about
to move out of the ICC.

As a Kenyan,,i applaude this move for it is the right time to claim back our
country from the hands of the colonialist,,,people who are not,,even
members of that notorious,,,ICC monster.

To hell with it.

Siku zile wa Afrika walichukulia wazungu kama Miungu,,ilipita kitambo.

Lakini,,cha kusitikisha,,,bado wako wachache,,wa Afrika,,,bado wanawaabudu
wazungu,,,simply because of some silly white skins.

Very deplorable.


Who cares if ICC is watching or not,,,they are just,,nobodies elected
to be where they are,,,, by nobodies.

They got no powers to make rain come to Kenya or not.

Useless things.

Wehave the African Union behind us,,what about ICC,,,is it not
America which isn't even a member????????

Double standards???????????





 
leo wale wabunge toka muungano wa jubilee wamefanikiwa kupitisha azimio la kenya kujitoa katika azimio la roma huku wale wa muungano wa cord wakipinga vikali ..

Source; radio salaam - mombasa
 
Watu kama wewe jamu africa bado mna think inside the box..hivi hamuoni kwamba mnaipa Icc sababu za kuwadetain hao wahalifu wawili..hamuoni kwamba mnazidi kulikoroga na kusidi kujiondole uaminifu mliokuwa mmeupata from icc..itafikia hatua uhuru au ruto hatorudi coz mnaonekana kuwa hostile to icc..yaani mnawachimbia wenzenu kaburi hivi hivi..bad timing kwa kweli.
 
CAT06.jpg

Haiya-haiya-haiya.... Gado has illustrated the Parliament of Kenya aka "House" as a monkey business that will further sink the two! Chezea Gado :wave: chaaaa this Guy is genius
 
Civil war in the making in Kenya. The bad guys should not assume that good guys will just sit back and watch their country get f****d. Also Kenya leaving ICC means that now the cases can not be transfered to East Africa and the only option left is that the suspected gangsters, thugs, murderers and rapists will simply skip the Hague trials. Since the good guys will demand for them to go for the trials and even try to arrest the suspects when the warrants are issued by ICC Kenya will be split into two and civil war will begin. Then I will get rich somewhere in the mix of civil war. Ha! ha! then I will run for help to the country that helps its African brothers to gain freedom (we all know it)
 
The ICC is definately upholding a losing battle, if you could have followed proceedings recently at the AU conference, those would have been the first signs to show africans are dissatisfied with a kangaroo court that works unfairly and in favor of the Colonial establishments.

it is not about PEV victims, africa has had many victims of war
 
Civil war in the making in Kenya. The bad guys should not assume that good guys will just sit back and watch their country get f****d. Also Kenya leaving ICC means that now the cases can not be transfered to East Africa and the only option left is that the suspected gangsters, thugs, murderers and rapists will simply skip the Hague trials. Since the good guys will demand for them to go for the trials and even try to arrest the suspects when the warrants are issued by ICC Kenya will be split into two and civil war will begin. Then I will get rich somewhere in the mix of civil war. Ha! ha! then I will run for help to the country that helps its African brothers to gain freedom (we all know it)

you put it so simply, can you give us example which ICC murder thug, and rapist labelled convict has ever been prosecuted. remember even mao-zedong chinses killed over 40 million of chinese, but such people are never labeled murderers, rapist, or thugs on account of the color of their skin..

you need to liberate yourselves from arguments bordering on excessive chauvinisms....your intention is to see the president and his deputy locked but i know you cannot even explain the reason why there are communities still fighting in transmara district of kenya, and yet we have ICC indicted leaders from kenya..the conflict problem is still deeply rooted....it is also not the kikuyuy and the kalenjin fighting over land and resources.....so, a very plain and naive thinking about the ICC as the solution to curb such 'murders' and fighting between communities does not offer a mature solution...

The other problem is that most of TZ here are 'daft', and do not argue according what history dictates....kenya nearly broke into civil war in 2008, but since then there has not been any major incidences apart from tana river and now moyale and transmara!
 
Back
Top Bottom