Unajidanganya tuu, makali yake yakata kama upangaHili Bunge halinaga meno yoyote yale,ndio shida yake ilipo hapo.Litapiga kelele weeeeh na keshokutwa utasikia limetoa msaada wa mabilioni ya fedha.Wait&see.
Kwani lazima umtaje Jiwe?Bichwa tulimuonya akasema hapangiwi, mwisho wa siku akang'olewa roho kwa aibu.
Beelzebub anakwenda vizuri ila kuna mambo hayako fair, tunamuonya pia.
Hakuna uhuru hapaKwani Tanzania ni koloni la mataifa ya ulaya inaingiliwaje mambo yake ya ndani au sio nchi huru?
Kweli tupuHili Bunge halinaga meno yoyote yale,ndio shida yake ilipo hapo.Litapiga kelele weeeeh na keshokutwa utasikia limetoa msaada wa mabilioni ya fedha.Wait&see.
Nani amekudanganya Tanzania au Africa ipo huru?Tanzania ni nchi huru ,,,,,,,,
Tangu lini ombaomba anakuwa huru..!? Uhuru wa ombaomba anao anayemuomba...Halafu mjinga mmoja anakuja Eti sisi ni nchi huru
Uhuru wa wapi kila kukicha kukopa na kuomba misaada, huo uhuru akupe nani na wewe ni omba omba
Kamwe huwezi kuwa huru kama unaishi kwa misaada na mikopoTangu lini ombaomba anakuwa huru..!? Uhuru wa ombaomba anao anayemuomba...
[emoji23][emoji23][emoji23]Lisu hadi leo anasubiri tz ipigwe ban toka 2010Good Tanzania ipigwe ban haraka
Hata Zimbabwe walianza hivyo hivyo[emoji23][emoji23][emoji23]Lisu hadi leo anasubiri tz ipigwe ban toka 2010
Kwani chama si mnasema kimetoka mikononi mwa washamba?Wasipomwachia watakula kichwa cha mama kama walivyokula cha Meko??
Achukue hatua haraka kunusuru Tabaka la wanaolengwa na watawala kila uchao?Umoja wa Ulaya(EU) wamwambia Rais wa Tanzania mama Samia Suluhu amwachie huru kutoka jela kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA mheshimiwa Freeman Mbowe.
View attachment 2030182
Mwenyekiti wa kamati wa mambo ya nje kwenye Bunge la Ulaya, David James McAllister amesema anawasiliana na watu wengi nchini Tanzania ambapo amesema wapo kwenye hali ambayo viongozi, wanachama na wafuasi wa upinzani wanakumbana na udhalilishaji, kushikiliwa kinyume cha sheria na vitisho.
hakuna kitu mkuuEti Hangaya anapanua nchi
Mwambie Samia amwachie Mbowe[emoji23][emoji23][emoji23]Lisu hadi leo anasubiri tz ipigwe ban toka 2010