Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kama hujalogwa itakuwa ulizaliwa na ugonjwa kichwaniHawa mabwana wa lissu naona Wana waya waya,na wamejua bwana yao anaenda kuangukia pua wanaanza kuwashwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hujalogwa itakuwa ulizaliwa na ugonjwa kichwaniHawa mabwana wa lissu naona Wana waya waya,na wamejua bwana yao anaenda kuangukia pua wanaanza kuwashwa
Kuna mshamba aliyebisha? Chama kimetoka kwa mazwazwa kimerudi nyumbani. Kama imekuuma chomoa afu urudi zako usukumani ukalimeKwani chama si mnasema kimetoka mikononi mwa washamba?
Umoja wa Ulaya(EU) wamwambia Rais wa Tanzania mama Samia Suluhu amwachie huru kutoka jela kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA mheshimiwa Freeman Mbowe.
View attachment 2030182
Mwenyekiti wa kamati wa mambo ya nje kwenye Bunge la Ulaya, David James McAllister amesema anawasiliana na watu wengi nchini Tanzania ambapo amesema wapo kwenye hali ambayo viongozi, wanachama na wafuasi wa upinzani wanakumbana na udhalilishaji, kushikiliwa kinyume cha sheria na vitisho.
Kwa upande wake mkurugenzi wa mambo ya Afrika kutoka umoja wa Ulaya, Laranjinha Rita amesema kuna sababu za matumaini Tanzania ambapo miezi ya karibuni kumekuwa na mwanzo mzuri kwa Rais Samia nyumbani na kimataifa ambapo ametambulisha baadhi ya mabadiliko.
Laranjinha amemueleza Rais Samia kwenye uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa vyombo vya habari na mabadiliko hayo yamepokelewa vizuri na jamii ya kimataifa. Pia ameongelea ruhusa ya kurudi shuleni kwa wanafunzi waliopata ujauzito.
Laranjinha amesema pamoja na hatua zilizofikiwa kuna mapungufu machache ikiwemo demokrasia ya vyama vingi ambapo hakuna uwakilishi wa upinzani kwenye bunge, mwenyekiti wa chama cha upinzani kushikiliwa na umoja wa ulaya itaendelea kufatilia kwa karibu.
Nchi huru wakati kutwa kuombaomba kwa hawa mabwana zenu.Bunge la mashoga. Kwani hawajui kwamba tanzania ni nchi huru? Wajadili haki za binadamu ulaya ndio eneo lao. Wana mengi ya kujadili sio kujiingiza mambo ya nchi zingine.
Kwahiyo hujui kwenye hilo bunge kuna kamati inashughulikia mambo ya nje ya Ulaya au kichwa maji?Bunge la mashoga. Kwani hawajui kwamba tanzania ni nchi huru? Wajadili haki za binadamu ulaya ndio eneo lao. Wana mengi ya kujadili sio kujiingiza mambo ya nchi zingine.
Kumbe bado hatupo huru hadi tuwafungulie milango yao waitakayo wao?Hao wataonesha makucha yao Kama hushirikiani nao lakini Kama umefungulia milango yao Wala hawana muda na wew
Jiwe tayari tushamfukiaKwani lazima umtaje Jiwe?
Nchi huru wakati mpaka matundu ya vyoo mnaomba msaada kwa hao mabwana zenu. Uhuru ni pamoja na kujitegemea sio kutwa kuomba omba. Ukitaka usipangiwe mambo basi acha umatonya.Kwani Tanzania ni koloni la mataifa ya ulaya inaingiliwaje mambo yake ya ndani au sio nchi huru?
Kwahiyo bado tu watumwa wa hawa mabwana wakubwa?Wasiofahamu Siasa za kimataifa wanaona jambo kubwa sana na wengine wanahisi Tayari wanachukua Nchi
Magharibi wameishambulia sana Saudia kwny kadhia ya Mwandishi Khashoghi alieuwawa Ubalozi wa Saudia kule Uturuki
Lakin biashara na mambo mengine yanaendelea kama kawaida na hao Wazungu
Wazungu wanakuwa serious na Wewe ukiwakazia kwny mambo yao hizi zingine ni kitchen Talks tu
Sie tunaminya Demokrasia kuliko Rwanda na Uganda?
Tatizo lako unafikiri kila mtu anachomekwa kama wewe!Kuna mshamba aliyebisha? Chama kimetoka kwa mazwazwa kimerudi nyumbani. Kama imekuuma chomoa afu urudi zako usukumani ukalime
EU siyo Taifa mojaSikubaliani na uonevu wowote kwa wapinzani, ila ni upumbavu mkubwa kwa Taifa moja kuingilia uhuru wa Taifa lingine
Ninegefurahi mno kusikia majibu ya Laranjinha kuhusu points za McAllister
UVCCM hata hawajui EU ni kitu gani.EU siyo Taifa moja
Kivyovyote tuu, haikubaliki mkuuEU siyo Taifa moja