Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe

Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe

Wasiofahamu Siasa za kimataifa wanaona jambo kubwa sana na wengine wanahisi Tayari wanachukua Nchi

Magharibi wameishambulia sana Saudia kwny kadhia ya Mwandishi Khashoghi alieuwawa Ubalozi wa Saudia kule Uturuki

Lakin biashara na mambo mengine yanaendelea kama kawaida na hao Wazungu

Wazungu wanakuwa serious na Wewe ukiwakazia kwny mambo yao hizi zingine ni kitchen Talks tu

Sie tunaminya Demokrasia kuliko Rwanda na Uganda?
Kweli kabisa,nikiwaza Kagame anavyowaua wapinzani,hata waliokimbia nchini kwake,na anasifiwa na beberu,nachoka kabisa.
 
Sie ni watembeza Bakuli kama Uganda na Rwanda na Wapinzani wao wanaumizwa zaid ya wa hapa TZ lakin bado ni vipenzi vya wama Magharibi
Kwani Saudia wao ni watembeza bakuli kama nyinyi?
 
Umoja wa Ulaya(EU) wamwambia Rais wa Tanzania mama Samia Suluhu amwachie huru kutoka jela kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA mheshimiwa Freeman Mbowe.

============


View attachment 2030182

Mwenyekiti wa kamati wa mambo ya nje kwenye Bunge la Ulaya, David James McAllister amesema anawasiliana na watu wengi nchini Tanzania ambapo amesema wapo kwenye hali ambayo viongozi, wanachama na wafuasi wa upinzani wanakumbana na udhalilishaji, kushikiliwa kinyume cha sheria na vitisho.

Kwa upande wake mkurugenzi wa mambo ya Afrika kutoka umoja wa Ulaya, Laranjinha Rita amesema kuna sababu za matumaini Tanzania ambapo miezi ya karibuni kumekuwa na mwanzo mzuri kwa Rais Samia nyumbani na kimataifa ambapo ametambulisha baadhi ya mabadiliko.

Laranjinha amemueleza Rais Samia kwenye uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa vyombo vya habari na mabadiliko hayo yamepokelewa vizuri na jamii ya kimataifa. Pia ameongelea ruhusa ya kurudi shuleni kwa wanafunzi waliopata ujauzito.

Laranjinha amesema pamoja na hatua zilizofikiwa kuna mapungufu machache ikiwemo demokrasia ya vyama vingi ambapo hakuna uwakilishi wa upinzani kwenye bunge, mwenyekiti wa chama cha upinzani kushikiliwa na umoja wa ulaya itaendelea kufatilia kwa karibu.


Basi sawa
 
Wameanza kumuandama mama mapema yaaani huko mbeleni sjui itakuwaje
 
Hili Bunge halinaga meno yoyote yale,ndio shida yake ilipo hapo.Litapiga kelele weeeeh na keshokutwa utasikia limetoa msaada wa mabilioni ya fedha.Wait&see.
Sidhani kama itatokea Tena. Kama umemsikiliza hapo ameongelea hapo la maneno matupu halaf misaada inaendelea
 
Sie ni watembeza Bakuli kama Uganda na Rwanda na Wapinzani wao wanaumizwa zaid ya wa hapa TZ lakin bado ni vipenzi vya wama Magharibi
Usijilinganishe na Saudia bro ni sawa na mbingu na ardhi
 
Si tunafanana kwny kuonea Wapinzani kama tunavyowaonea Makamanda wa Chadema, pia Chadema wa Saudia wanalilia Katiba mpya kama Chadema wa kinondoni Makaburini
Usijilinganishe na Saudia bro ni sawa na mbingu na ardhi
 
Umoja wa Ulaya(EU) wamwambia Rais wa Tanzania mama Samia Suluhu amwachie huru kutoka jela kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA mheshimiwa Freeman Mbowe.

============


View attachment 2030182

Mwenyekiti wa kamati wa mambo ya nje kwenye Bunge la Ulaya, David James McAllister amesema anawasiliana na watu wengi nchini Tanzania ambapo amesema wapo kwenye hali ambayo viongozi, wanachama na wafuasi wa upinzani wanakumbana na udhalilishaji, kushikiliwa kinyume cha sheria na vitisho.

Kwa upande wake mkurugenzi wa mambo ya Afrika kutoka umoja wa Ulaya, Laranjinha Rita amesema kuna sababu za matumaini Tanzania ambapo miezi ya karibuni kumekuwa na mwanzo mzuri kwa Rais Samia nyumbani na kimataifa ambapo ametambulisha baadhi ya mabadiliko.

Laranjinha amemueleza Rais Samia kwenye uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa vyombo vya habari na mabadiliko hayo yamepokelewa vizuri na jamii ya kimataifa. Pia ameongelea ruhusa ya kurudi shuleni kwa wanafunzi waliopata ujauzito.

Laranjinha amesema pamoja na hatua zilizofikiwa kuna mapungufu machache ikiwemo demokrasia ya vyama vingi ambapo hakuna uwakilishi wa upinzani kwenye bunge, mwenyekiti wa chama cha upinzani kushikiliwa na umoja wa ulaya itaendelea kufatilia kwa karibu.

Hii kesi iendelee hivi hivi hadi tufike Mahakama ya Rufaa ili CCM na Serikali yake dhalim wazidi kuumbuka

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Si tunafanana kwny kuonea Wapinzani kama tunavyowaonea Makamanda wa Chadema, pia Chadema wa Saudia wanalilia Katiba mpya kama Chadema wa kinondoni Makaburini
Pia ujeu kuwa Saudia hakuna kiongozi aliyewahi kujenga uwanja wa ndege kijinini kwao
 
Kwa ssbabu wamekuwa Viongozi wakati tayari Chato yao ina Airport!

Kwani tukimpa Nchi mwana chato mwingine atajenga Airport nyingine chato?
Pia ujeu kuwa Saudia hakuna kiongozi aliyewahi kujenga uwanja wa ndege kijinini kwao
 
Mungu ni mkubwa na yupo kazini siku zote
Kuna mambo mengi sana yamefanywa na yanafanywa na Serikali hii na hakuna sehemu ya kuyasemea kwani hata vyombo vya habari haviwezi kuyaripoti ila kupitia kesi hii tutayajua mengi, si unaona hata wasiojulikana na mbinu zao tumeanza kuzijua. Ndiyo maana watu wengi wamepotea wakitafutwa hadi vituo vya Polisi hawapatikani kwa vile wanabadilishiwa majina,wakiwatesa wakifa mikononi mwao ndiyo wanawafunga kwenye sandarusi na kuwatupa mtoni au baharini. Yapo mengi saaana hatujayasikia bado lakini kupitia kesi hii tutayajua. Wacha mvua inyeshe tuone wapi panavuja. Kesi hii ni mpango wa Mungu kuimbua CCM na Serikali yake dhalim.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Umoja wa Ulaya(EU) wamwambia Rais wa Tanzania mama Samia Suluhu amwachie huru kutoka jela kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA mheshimiwa Freeman Mbowe.

============



Mwenyekiti wa kamati wa mambo ya nje kwenye Bunge la Ulaya, David James McAllister amesema anawasiliana na watu wengi nchini Tanzania ambapo amesema wapo kwenye hali ambayo viongozi, wanachama na wafuasi wa upinzani wanakumbana na udhalilishaji, kushikiliwa kinyume cha sheria na vitisho.

Kwa upande wake mkurugenzi wa mambo ya Afrika kutoka umoja wa Ulaya, Laranjinha Rita amesema kuna sababu za matumaini Tanzania ambapo miezi ya karibuni kumekuwa na mwanzo mzuri kwa Rais Samia nyumbani na kimataifa ambapo ametambulisha baadhi ya mabadiliko.

Laranjinha amemueleza Rais Samia kwenye uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa vyombo vya habari na mabadiliko hayo yamepokelewa vizuri na jamii ya kimataifa. Pia ameongelea ruhusa ya kurudi shuleni kwa wanafunzi waliopata ujauzito.

Laranjinha amesema pamoja na hatua zilizofikiwa kuna mapungufu machache ikiwemo demokrasia ya vyama vingi ambapo hakuna uwakilishi wa upinzani kwenye bunge, mwenyekiti wa chama cha upinzani kushikiliwa na umoja wa ulaya itaendelea kufatilia kwa karibu.


Inakufaa nini kutesa wanadamu wenzako kwa ajili tu ya madaraka au kufurahisha kundi lako!?

Kufumba na kufumbua utakuta hayo madaraka haunayo tena na utaanza kujuta kwa uliyoyafanya.

Samia muachie huru Mbowe na wafuasi wote wanaoonewa kisiasa,acha kiburi cha uzima. MWAKA HUU UKIPITA BADO WANASHIKIRIWA NITAINGIA CHUMBA CHA NDANI KUANZA KAZI NA MUNGU.

He created and He can destroy!
 
Back
Top Bottom