Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe

Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe

Nimesoma comment ..zinasema tuache uhuru wa mahakama.

Serikali chini ya DPP ndio imefungua Kesi...na DPP anaweza kuondoa hiyo Kesi


Hizo Sheria wazungu ndio wametufundisha...Waafrika tunajua tu Mila na desturi

Sasa Naona akili za kibumunda Zina mahakama haaingiliwi ...shame on you
 
Wasipomwachia watakula kichwa cha mama kama walivyokula cha Meko??
Serikali ndio imefungua Kesi...

DPP ndio imefungua Kesi

Serikali ifute Kesi

Enyi vilaza acheni kuspin maneno
 
Amwachie kwa Sheria ipi?,mahakama ni muhimili waache ufanye kazi zake kwa uhuru
Kipindi kilichopita waliachiwa vipi? Kwa kesi ya uhujumu uchumi ukilipa hela wanayotaka unaachiwa, je hiyo ilikuwa sheria ipi?
 
Tatizo mjadala kuvamiwa na mbumbumbu kama wewe. Kwani mahakama ndiyo imemfungulia kesi Mbowe? Na wao hawaiambii mahakama wanaiamnia Executive iliyo chini ya Rais kupitia DPP kuwa kesi yenu ni ya kijinga kwa nini mnaisumbua mahakama?
Toa kesi ya kijinga hiyo kama alivyotoa kesi zile za kina Rwegamalira za uhujumu wa kutunga.
Umeelewa wewe ngumbaru?
Mkuu hilo halijui kitu bora uliambie ukweli ni limbumbu fulani
 
Wana familia nimewawekea clip ya walivyosema wafadhili wetu juu ya hali ya demokrasia hapa nchini.

 
Wana familia nimewawekea clip ya walivyosema wafadhili wetu juu ya hali ya demokrasia hapa nchini.

View attachment 2030464
Acha akili za kitumwa wewe, Nyerere angekucharaza bakaora kali sana kichwani mwako unaaibisha kazi aliyoifanya 9/12/1961.

Kama unawapenda sana hao wazungu kalelewe na wewe kama Lisu na Lema.
Mbowe atawajibika kwa damu zinazomlilia.
 
Acha akili za kitumwa wewe, Nyerere angekucharaza bakaora kali sana kichwani mwako unaaibisha kazi aliyoifanya 9/12/1961.

Kama unawapenda sana hao wazungu kalelewe na wewe kama Lisu na Lema.
Hao hao ndiyo mnaenda kuwapigia magoti kuomba barakoa
 
Umoja wa Ulaya(EU) wamwambia Rais wa Tanzania mama Samia Suluhu amwachie huru kutoka jela kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA mheshimiwa Freeman Mbowe.

============


View attachment 2030182

Mwenyekiti wa kamati wa mambo ya nje kwenye Bunge la Ulaya, David James McAllister amesema anawasiliana na watu wengi nchini Tanzania ambapo amesema wapo kwenye hali ambayo viongozi, wanachama na wafuasi wa upinzani wanakumbana na udhalilishaji, kushikiliwa kinyume cha sheria na vitisho.

Kwa upande wake mkurugenzi wa mambo ya Afrika kutoka umoja wa Ulaya, Laranjinha Rita amesema kuna sababu za matumaini Tanzania ambapo miezi ya karibuni kumekuwa na mwanzo mzuri kwa Rais Samia nyumbani na kimataifa ambapo ametambulisha baadhi ya mabadiliko.

Laranjinha amemueleza Rais Samia kwenye uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa vyombo vya habari na mabadiliko hayo yamepokelewa vizuri na jamii ya kimataifa. Pia ameongelea ruhusa ya kurudi shuleni kwa wanafunzi waliopata ujauzito.

Laranjinha amesema pamoja na hatua zilizofikiwa kuna mapungufu machache ikiwemo demokrasia ya vyama vingi ambapo hakuna uwakilishi wa upinzani kwenye bunge, mwenyekiti wa chama cha upinzani kushikiliwa na umoja wa ulaya itaendelea kufatilia kwa karibu.


Tumeyataka wenyewe
 
Bunge la mashoga. Kwani hawajui kwamba tanzania ni nchi huru? Wajadili haki za binadamu ulaya ndio eneo lao. Wana mengi ya kujadili sio kujiingiza mambo ya nchi zingine.
Kwani wewe umewacha lini?
 
Tatizo mjadala kuvamiwa na mbumbumbu kama wewe. Kwani mahakama ndiyo imemfungulia kesi Mbowe? Na wao hawaiambii mahakama wanaiamnia Executive iliyo chini ya Rais kupitia DPP kuwa kesi yenu ni ya kijinga kwa nini mnaisumbua mahakama?
Toa kesi ya kijinga hiyo kama alivyotoa kesi zile za kina Rwegamalira za uhujumu wa kutunga.
Umeelewa wewe ngumbaru?
Huyo kazi yake ni kupiga zumari tu
 
Wasiofahamu Siasa za kimataifa wanaona jambo kubwa sana na wengine wanahisi Tayari wanachukua Nchi

Magharibi wameishambulia sana Saudia kwny kadhia ya Mwandishi Khashoghi alieuwawa Ubalozi wa Saudia kule Uturuki

Lakin biashara na mambo mengine yanaendelea kama kawaida na hao Wazungu

Wazungu wanakuwa serious na Wewe ukiwakazia kwny mambo yao hizi zingine ni kitchen Talks tu

Sie tunaminya Demokrasia kuliko Rwanda na Uganda?
Kwani Saudia wao ni watembeza bakuli kama nyinyi?
 
Back
Top Bottom