Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,891
Babel.jpg

towerofbabel_final.jpg

Hiyo hapo juu ni picha ya inayosadikiwa kuwa ya mnara wa babel ambao Nimrod kwa kushirikiana na watu wengine waliujenga kwasababu ambazo ni za kishetani kwa mujibu wa maandiko na Mungu alivuruga lugha

Tazama picha inayofuata hapa chini .....

img_0560.jpg


Hii ni picha ya jengo la bunge la Ulaya huko Ubelgiji ...

Majengo haya yanafanana kwa kiwango kikubwa sana,je ni kwanini?

Haya mambo ni ya bahati mbaya au ni kwa lengo maalum tu?

eu_tower_building-tower_of_babel.jpg



Wajameni mmeshajiuliza kuhusu haya waungwana?

Hiyo tisa kumi ni hii picha hapa chini ;

EuropaStatueEuropeanCouncilBrussels.jpg


Hii ni sanamu ya mwanamke akiwa juu ya mnyama kama ilivyoelezwa kwenye Ufunuo 17 na sanamu hii iko nje ya jengo la bunge la Ulaya,kwanini mambo haya yako hivi?

Ni bahati mbaya tu au yapo kwa malengo maalum?

Jamani hebu tusaidiane kufikiri waungwana ......

CC: Mkuu wa chuo , Ishmael juve2012 , Ntuzu , RGforever , MTAZAMO Mentor , Kaunga EMT , Lisa Valentine Tanzania Law @Schiendler charminglady , Basluma Original Otorong'ong'o na wengineo .....!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Eiyer kule chini kama tunavyoendelea katika lile jukwaa la dini kwenye ule uzi wetu, kama nilivyofikia pale, nilisema kwamba kuna majuma yale saba ambayo ni sawa na miaka saba yamegawanyika katika miaka mitatu na nusu, mitatu na nusu, ambazo ni siku 1260 kwa siku 1260 kuna sehemu haukunielewa ila kwa hapa nafikiri utanielewa nitarudi pia na kule chini...

Kabla kabisa ya Mpinga kristo kuanza kupiga kazi katika zile siku zake 1260 za mwisho zile katika dhiki kuu kwa sababu miaka yote ile saba itakuwa ya dhiki ila ile miaka mitatu ya mwisho itakuwa ya dhiki kuu atatangulia yule kahaba wa Ufunuo, Katika Ufunuo twasoma Mwanamke amelewa kwa danu ya watakatifu na kwa damu ya mashahidi wa Yesu Maana yake ni dini itakuja wakati wa mwisho litaongozwa na mpinga kristo ambaye hatawaruhusu watu wamuabudu Mungu katika roho na kweli, na unajua mkuu mambo ya kipindi kile Babeli...

kwa hiyo mkuu hicho kitu inawezekana ikawa ni maandalizi ya mpinga kristo kuna vitu vingine kama New World Order, kwa hiyo hapo mkuu unaweza ukawa unaanza kupata concept ngojea nikaendelee kule jukwaa la dini kwenye ule uzi wetu

Ufunuo 18:4 Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.

Hiyo Verse hapo juu inahusiana na Babeli, BABELI MKUU MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI, na Ufunuo 18 inaelezea kuanguka kwa Babeli
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Eiyer kule chini kama tunavyoendelea katika lile jukwaa la dini kwenye ule uzi wetu, kama nilivyofikia pale, nilisema kwamba kuna majuma yale saba ambayo ni sawa na miaka saba yamegawanyika katika miaka mitatu na nusu, mitatu na nusu, ambazo ni siku 1260 kwa siku 1260 kuna sehemu haukunielewa ila kwa hapa nafikiri utanielewa nitarudi pia na kule chini...

Kabla kabisa ya Mpinga kristo kuanza kupiga kazi katika zile siku zake 1260 za mwisho zile katika dhiki kuu kwa sababu miaka yote ile saba itakuwa ya dhiki ila ile miaka mitatu ya mwisho itakuwa ya dhiki kuu atatangulia yule kahaba wa Ufunuo, Katika Ufunuo twasoma Mwanamke amelewa kwa danu ya watakatifu na kwa damu ya mashahidi wa Yesu Maana yake ni dini itakuja wakati wa mwisho litaongozwa na mpinga kristo ambaye hatawaruhusu watu wamuabudu Mungu katika roho na kweli, na unajua mkuu mambo ya kipindi kile Babeli...

kwa hiyo mkuu hicho kitu inawezekana ikawa ni maandalizi ya mpinga kristo kuna vitu vingine kama New World Order, kwa hiyo hapo mkuu unaweza ukawa unaanza kupata concept ngojea nikaendelee kule jukwaa la dini kwenye ule uzi wetu

Ufunuo 18:4 Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.

Hiyo Verse hapo juu inahusiana na Babeli, BABELI MKUU MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI, na Ufunuo 18 inaelezea kuanguka kwa Babeli

Mkuu tunaweza kujadili hapa kwa kifupi ili wengine wapate hata mwanga na kujua haya mambo .....

Si unajua kuwa kule chini wachache wana access ....!!
 
Eiyer and Mkuu wa chuo , there is a very good information about European Parliament in this link EMPTY SEAT NUMBER 666 ,

Things are not by accident or chance.

Kwahiyo mkuu haya mambo yamepangwa kabisaaaaaaaa.....

Hawa watu ni hatari sana

Hiyo empty seat nilishawahi kuisikia,lakini kuna utata hapo,wengine wanasema kiti kina mkaaji wengine wanasema hakina ...!!
 
Huo ufunuo 17 unasemaje. Wengine hatujui. Tuambie Ili tuchangie vizuri

The E.U.'s chosen symbol is a Woman Riding the Beast...
woman_riding_beast-eu_brussels.jpg
[SIZE=+1]The above statue is located outside the EU office in Brussels - A WOMAN RIDING A BEAST![/SIZE]
"...and I saw a woman sit upon a scarlet coloured beast, full of names of blasphemy, having seven heads and ten horns." -Revelation 17:3
 
Wajinga ndio waliwao.

Hizo picha zinafanana? au hujuwi maana ya kufanana?

Na huyo ndio mnyama mwenye mapembe kumi?

Upunguani mwingine ni wa hali ya juu.
Pole sana mpiga debe tupu. Hii mada ipo juu ya uwezo wako ndio maana umeshindwa kuchangia cha maana zaidi ya kuonyesha inferiority complex ya hali ya juu sana. Kile kitabu chenu hakuna cha maana ndani yake ndio maana Mnatumia Biblia ku hakikishia kitabu chenu.
 
Kwahiyo mkuu haya mambo yamepangwa kabisaaaaaaaa.....

Hawa watu ni hatari sana

Hiyo empty seat nilishawahi kuisikia,lakini kuna utata hapo,wengine wanasema kiti kina mkaaji wengine wanasema hakina ...!!
The prophetic significance of the European Union has been revealed as the saga unfolds. First, the sign which it chose as its symbol was the Woman riding the Beast. This comes from a prophecy in Revelation 17, inter-alia, the depiction of the harlot woman was reproduced on the centenary stamp of the European Union, in a huge painting in the Parliament's new building in Brussels, and by a huge sculpture outside the new E.U. Council of Ministers Office in Brussels. The new European coinage, the Euro, bears the same insignia. The Tower of Babel has been used on the posters emanating from Europe – a truly suggestive prophetic sign.

About the Seat, r
emember a lot of Europe is Catholic and a Catholic would not sit in such a seat and nor would any Christian. So, still there is a lot of questions and may be we should learn more about Conspiracy behind the European Union. It could also be the simple fact that no one wants to sit their and it be rude to allocate to someone.
 
Wajinga ndio waliwao.

Hizo picha zinafanana? au hujuwi maana ya kufanana?

Na huyo ndio mnyama mwenye mapembe kumi?

Upunguani mwingine ni wa hali ya juu.
666_united_nations.jpg


Hayo majina utajisomea mwenyewe ...

Hii hapa chini ni stamp ya Europian union .....

europe-tower_of_babel.jpg


Hiyo hapo chini picha nyingine ulinganishe mwenyewe .....

eu_tower_building-tower_of_babel.jpg


Naona unaweza kuelewa japo hata kidogo ....!!
 
Msamehe bure mkuu ....!!
Mtumishi, wakati mwingine huwa nashindwa elewa kama huwa watu wanatumia intellect yao sawa sawa? Maswali mengine yanamuonyesha mtu ni wapi upeo wake unaishia na au labda yana lengo la ku incite religious hate. Such people needs to be rebuked immediately, personally huwa sina mswalie mtume na watu kama hao.

Hii mada nimepienda mkuu.
 
The prophetic significance of the European Union has been revealed as the saga unfolds. First, the sign which it chose as its symbol was the Woman riding the Beast. This comes from a prophecy in Revelation 17, inter-alia, the depiction of the harlot woman was reproduced on the centenary stamp of the European Union, in a huge painting in the Parliament's new building in Brussels, and by a huge sculpture outside the new E.U. Council of Ministers Office in Brussels. The new European coinage, the Euro, bears the same insignia. The Tower of Babel has been used on the posters emanating from Europe – a truly suggestive prophetic sign.

About the Seat, r
emember a lot of Europe is Catholic and a Catholic would not sit in such a seat and nor would any Christian. So, still there is a lot of questions and may be we should learn more about Conspiracy behind the European Union. It could also be the simple fact that no one wants to sit their and it be rude to allocate to someone.

This is not good ......

Nimekuwa nikijiuliza sana kama hawa watu wanajua wanachofanya au ni bahati mbaya,lakini nimekuja kugundua kuwa wanajua wanachofanya na wamedhamiria kabisa

Kile ambacho sisi tunakijua kuwa ni hatari kwao ni baraka hii ni hatari kuliko hatari yenyewe ilivyo ...!!
 
Back
Top Bottom