Bunge la Urusi limekubali maombi ya maeneo pendwa, sasa sheria kulinda eneo hilo

Bunge la Urusi limekubali maombi ya maeneo pendwa, sasa sheria kulinda eneo hilo

Subiri majira ya winter yaiingie kwanza, halafu uje ulete hoja zako - nina uhakika jibu litakuwa limepatikana,wakati huo si ajabu Zelensky na familia yake watakuwa wamekwisha kimbilia uhamishoni Miami Florida kwenye Mansion yake aliyo inunua kwa njia yenye utata sana - any way Zelensky hana shida is already stinking RICH through highly questionable arms/weapons deals, hana shida kifedha.
Sasa hiyo Winter kabla ya Gesi kwa karne nyingi wamesurvive vipi? Kumbuka kwasasa wanapambana na Ukraine pia ambae majira na hali ya hewa ya Winter ni sehemu ya maisha yao pia

Mnazungumzia Winter in advantage ya Urusi mnasahau kuwa ww2 Urusi alikuwa na sapoti kubwa sana ya Supa Power wa karne hiyo na pia logistic kubwa sababu akuvamia alivamiwa nyumbani. Na sasa anapigana akiwa kavamia
 
Acha uongo utaona sasa hao waukraine watakavyoangamizwa
Urusi ni utaona utaona tu until when?? Donbas ishaanguka uko kaangalie Television japo kwa jiran yako, putin jeshi hana wale watoto kawarejesha taaban nafsi yake

b228f43f-4f36-4df1-bcc1-d552005b45ddputin.jpg
 
Russia’s parliament fully ratifies unification treaties

The Federation Council has approved agreements with four former Ukrainian regions on accepting them as new Russian territories
Russia’s parliament fully ratifies unification treaties
The Federation Council in session. © Federation Council
The Federation Council, the upper house of the Russian parliament, has ratified unification treaties with Donetsk and Lugansk People’s Republics and Kherson and Zaporozhye Regions.

The treaties were signed by Russian President Vladimir Puting and the heads of the four former Ukrainian regions on Friday last week. They were certified as lawful by the Constitutional Court over the weekend and ratified by the State Duma, the lower house of the Parliament, on Monday.

The latest step in the process of accepting the four regions as new parts of Russia was approved in an unanimous vote. The Russian constitution will need to be amended for the accession to be finalized.

READ MORE: Russian State Duma ratifies accession treaties for former Ukrainian territories
The two Donbass regions split from Ukraine in 2014, after people there rejected an armed coup in Kiev that ousted the democratically elected government. An eight-year-long attempt by Russia and some European nations to reconcile Kiev with the rebellious regions failed.

Moscow accused the Ukrainian government of deliberately derailing the peace plan and opting to build up its military to ultimately resolve the issue by force. In February, Russia recognized Donetsk and Lugansk Republics as sovereign states and called on Kiev to pull back its troops, which it rejected.

Days later Russia launched a full-scale military operation against Ukraine, seizing large parts of Kherson and Zaporozhye Regions in the process. All four territories held referendums last month on joining Russia.

Kiev rejected the votes as a “sham” and accused Russia of annexing its territory. The Ukrainian government, which receives military assistance, training and intelligence from NATO nations on an unprecedented scale, says it is determined to beat Russia on the battlefield.

Moscow said the referendums were a legitimate way for people to exercise their right for self-determination and be protected from their former government.

NB : Putin ni smart sana baadaye alaumiwe yeye,atasema sheria ya Russia ndio imeangamiza ukraine
Sheria ya bunge haizuii kile kinachoendelea muda huu kule Donbas., ni makaratasi tu, mtalizana kwa aibu mara hii

b228f43f-4f36-4df1-bcc1-d552005b45ddputin.jpg
 
Watu watavurumishwa kule wanatolewa jasho daily unaleta mizaha hapa ya sheria sheria hizo ni za kwake yeye sio za dunia
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Na hicho ndicho Urusi inacho lenga,yaani NATO/US wajiingize kichwa kichwa kwenye majimbo ya kusini mashariki mwa Ukraine yaliyo kumbolewa na jeshi la Urusi pamoja na wanamgambo, binafsi naona Zelensky,mamuluki wake pamoja wanajeshi wa NATO walio valia uniform za jeshi la Ukraine kusaidia jeshi la Zelensky - watapa wakati mgumu jeshi la Russia likicharuka na kuacha kupigana vita kidugu ndugu, Urusi italazimika kutumia tactics za Kimerikani "Shock and awe" mbinu ambazo Ukraine haiwezi ku-survive regardless ya misaada lukuki ya kijeshi inayo pewa Ukraine kutoka mataifa ya magharibi.
Hivi una rank gani hapo FSB?
 
Na hicho ndicho Urusi inacho lenga,yaani NATO/US wajiingize kichwa kichwa kwenye majimbo ya kusini mashariki mwa Ukraine yaliyo kumbolewa na jeshi la Urusi pamoja na wanamgambo, binafsi naona Zelensky,mamuluki wake pamoja wanajeshi wa NATO walio valia uniform za jeshi la Ukraine kusaidia jeshi la Zelensky - watapa wakati mgumu jeshi la Russia likicharuka na kuacha kupigana vita kidugu ndugu, Urusi italazimika kutumia tactics za Kimerikani "Shock and awe" mbinu ambazo Ukraine haiwezi ku-survive regardless ya misaada lukuki ya kijeshi inayo pewa Ukraine kutoka mataifa ya magharibi.
hahaaaa unaongea kana kwamba Urusi ndo ilivamia na imetulia haijajibu mapigo , kumbe ni opposite , acharuke mara ngap wakat waliingia had kiev
 
iyo bado siyo total war ni SMO kwa wanaolijua vizuri jeshi la Russia awataki hata kutia pua zao kinachosubiriwa ni saini ya putini tu sheria zianze kufanya kazi .
wenzio sio vichaa kama Urusi , wanapigana huku maisha yanaendelea , Putin yupo bize anakimbiza vijana kuwapeleka Ukraine
 
Subiri majira ya winter yaiingie kwanza, halafu uje ulete hoja zako - nina uhakika jibu litakuwa limepatikana,wakati huo si ajabu Zelensky na familia yake watakuwa wamekwisha kimbilia uhamishoni Miami Florida kwenye Mansion yake aliyo inunua kwa njia yenye utata sana - any way Zelensky hana shida is already stinking RICH through highly questionable arms/weapons deals, hana shida kifedha.
kuwa ww unaevaa chupi made in chuna unajua kuliko wanaokupangia bajeti ?
 
hahaaaa unaongea kana kwamba Urusi ndo ilivamia na imetulia haijajibu mapigo , kumbe ni opposite , acharuke mara ngap wakat waliingia had kiev

Nilisha kwambia kwamba convoy ya kwenda Kiev ilikuwa designed maksudi kama DECOY ya kuzuga majeshi ya Ukraine ili yaondoke kusini mashariki mwa Ukraine kuja kuongeza ulizi kwenye jiji na viunga vya Kiev - a very clever ploy by Russian military, na kweli majeshi yalihamishwa fasta kutoka kusini kuja Kiev hivyo kusini pakabaki na wanajeshi wachache tu, mbinu hizo zilisaidia jeshi la Urusi kutotumia wanajeshi wengi na nguvu nyingi kuteka majimbo hayo ya kusini mashariki.
 
Sasa hiyo Winter kabla ya Gesi kwa karne nyingi wamesurvive vipi? Kumbuka kwasasa wanapambana na Ukraine pia ambae majira na hali ya hewa ya Winter ni sehemu ya maisha yao pia

Mnazungumzia Winter in advantage ya Urusi mnasahau kuwa ww2 Urusi alikuwa na sapoti kubwa sana ya Supa Power wa karne hiyo na pia logistic kubwa sababu akuvamia alivamiwa nyumbani. Na sasa anapigana akiwa kavamia

Msiwe mnarudia rudia propaganda za MSM,usanii tu masaa yote - kwa taarifa yako Urusi ingeshinda WW2 with or without USA help - yaani US inajisifia kwa kupeleka samaki na nyama za makopo, milipuko na ndege chache za kubeba mizigo basi - USA ilitoa misaada wakati Russia ilisha jitosheleza karibu katika kila nyanja zote za vita, contribution ya USA kwenye war effort in Russia mara zote huwa highly exaggerated.
 
Msiwe mnarudia rudia propaganda za MSM,usanii tu masaa yote - kwa taarifa yako Urusi ingeshinda WW2 with or without USA help - yaani US inajisifia kwa kupeleka samaki na nyama za makopo, milipuko na ndege chache za kubeba mizigo basi - USA ilitoa misaada wakati Russia ilisha jitosheleza karibu katika kila nyanja zote za vita, contribution ya USA kwenye war effort in Russia mara zote huwa highly exaggerated.
Tatizo lako huwa unadhani ni wewe peke yako ndiyo una access na kusoma taarifa mbali mbali na kwamba unatusomea sisi vipofu.Hapo tu ndipo unapofail Mkuu.
 
iyo bado siyo total war ni SMO kwa wanaolijua vizuri jeshi la Russia awataki hata kutia pua zao kinachosubiriwa ni saini ya putini tu sheria zianze kufanya kazi .
Ndicho nionacho hata mimi,ila ngoja tuendelee kubishana mkuu, mana kubishana kuna raha yake pia
 
Watu watavurumishwa kule wanatolewa jasho daily unaleta mizaha hapa ya sheria sheria hizo ni za kwake yeye sio za dunia
Pambana na hali zenu pamoja na mabeberu wale wa ulaya na Amerika
 
Back
Top Bottom