Bunge lajadili malori kukwama bandarini

Bunge lajadili malori kukwama bandarini

Ndugu zangu,

Wabunge wa CCM wanapiga kotekote

========

Bunge lajadili malori kukwama bandarini Dar​


Bunge la Tanzania limeahirisha mjadala wa Wizara ya Afya kwa takribani nusu saa ili kujadili sakata la malori kutoshusha wala kupakia mizigo kwa muda wa siku tano katika Bandari ya Dar es Salaam.

Dodoma. Bunge la Tanzania limeahirisha mjadala wa Wizara ya Afya kwa takribani nusu saa ili kujadili sakata la malori kutoshusha wala kupakia mizigo kwa muda wa siku tano katika Bandari ya Dar es Salaam.

Hoja ya kuahirishwa kwa mjadala imewasilishwa leo Jumatano Mei 12, 2021 na mbunge wa Mafinga Mjini (CCM), Cosato Chumi.
Chumi amesema Bandari hiyo ndio chanzo kikubwa cha kuendeleza nchi na kufanikisha miradi, “malori hayashushi wala kupakia mizigo kwa maana uchumi kwa namna fulani umesimama. Na tunazungumzia ushindani kati ya bandari yetu na nchi jirani.”

“Katika hali hii hatuwezi kukaa kimya na kuacha mambo ya namna hii yaendelee ndio maana ninajenga hoja tuahirishe mjadala ili tujadili jambo hili nyeti.”

Amesema kuna mizigo inayokwenda kwenye miradi mbalimbali ikiwemo wa uzalishaji wa umeme wa maji katika bwawa la mwalimu Nyerere na ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), lakini imekwama katika bandari hiyo.

Amesema mizigo inayokwenda nchi jirani imekwama wakati Taifa linatarajia bandari hiyo kuwa na ushindani.

Baada ya hoja hiyo, Naibu Spika Dk Tulia Ackson aliruhusu hoja hiyo ijadiliwe kwa muda wa dakika 20 ambapo wabunge saba walipata nafasi ya kuchangia.

Akijibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama amesema tayari Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekwenda Dar es Salaam kushughulikia suala hilo.

Chanzo: Mwananchi
Kuna uwezekano mkubwa watu wanaihujumu nchi kwa makusudi ili kutekeleza mradi wa Bgy
 
Umeiona hiyo tofauti? Halafu tunaambiwa ni kitu kimoja.
Na mimi nakazia maarifa, huyu mama asipokuwa na sikio na jicho la tatu, kuna watu wanamshauri vibaya kwasababi zao binafsi lakini yeye hajui, anatakiwa kujiongeza

1620815107908.png
 
Ndugu zangu,

Wabunge wa CCM wanapiga kotekote

========

Bunge lajadili malori kukwama bandarini Dar​


Bunge la Tanzania limeahirisha mjadala wa Wizara ya Afya kwa takribani nusu saa ili kujadili sakata la malori kutoshusha wala kupakia mizigo kwa muda wa siku tano katika Bandari ya Dar es Salaam.

Dodoma. Bunge la Tanzania limeahirisha mjadala wa Wizara ya Afya kwa takribani nusu saa ili kujadili sakata la malori kutoshusha wala kupakia mizigo kwa muda wa siku tano katika Bandari ya Dar es Salaam.

Hoja ya kuahirishwa kwa mjadala imewasilishwa leo Jumatano Mei 12, 2021 na mbunge wa Mafinga Mjini (CCM), Cosato Chumi.

Chumi amesema Bandari hiyo ndio chanzo kikubwa cha kuendeleza nchi na kufanikisha miradi, “malori hayashushi wala kupakia mizigo kwa maana uchumi kwa namna fulani umesimama. Na tunazungumzia ushindani kati ya bandari yetu na nchi jirani.”

“Katika hali hii hatuwezi kukaa kimya na kuacha mambo ya namna hii yaendelee ndio maana ninajenga hoja tuahirishe mjadala ili tujadili jambo hili nyeti.”

Amesema kuna mizigo inayokwenda kwenye miradi mbalimbali ikiwemo wa uzalishaji wa umeme wa maji katika bwawa la mwalimu Nyerere na ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), lakini imekwama katika bandari hiyo.

Amesema mizigo inayokwenda nchi jirani imekwama wakati Taifa linatarajia bandari hiyo kuwa na ushindani.

Baada ya hoja hiyo, Naibu Spika Dk Tulia Ackson aliruhusu hoja hiyo ijadiliwe kwa muda wa dakika 20 ambapo wabunge saba walipata nafasi ya kuchangia.

Akijibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama amesema tayari Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekwenda Dar es Salaam kushughulikia suala hilo.

Chanzo: Mwananchi
Bunge linaendea?
 
Malori kukwama bandarini ni furaha kubwa sana kwa Lema, Msigwa, Lisu na chadema kwa ujumla kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kuuwa legacy ya Magufuli.
Sasa hao uliowataja wanasababisha vipi Malori kukwama,?sio wabunge,sio mawaziri,hawapo serikalini,
Acheni bangi ccm,kama nchi imewashinda rudisheni Mpira kwa kipa.
Raisi wenu kaenda kurembua macho kwa Museveni.
 
Ndugu zangu,

Wabunge wa CCM wanapiga kotekote

========

Bunge lajadili malori kukwama bandarini Dar​


Bunge la Tanzania limeahirisha mjadala wa Wizara ya Afya kwa takribani nusu saa ili kujadili sakata la malori kutoshusha wala kupakia mizigo kwa muda wa siku tano katika Bandari ya Dar es Salaam.

Dodoma. Bunge la Tanzania limeahirisha mjadala wa Wizara ya Afya kwa takribani nusu saa ili kujadili sakata la malori kutoshusha wala kupakia mizigo kwa muda wa siku tano katika Bandari ya Dar es Salaam.

Hoja ya kuahirishwa kwa mjadala imewasilishwa leo Jumatano Mei 12, 2021 na mbunge wa Mafinga Mjini (CCM), Cosato Chumi.

Chumi amesema Bandari hiyo ndio chanzo kikubwa cha kuendeleza nchi na kufanikisha miradi, “malori hayashushi wala kupakia mizigo kwa maana uchumi kwa namna fulani umesimama. Na tunazungumzia ushindani kati ya bandari yetu na nchi jirani.”

“Katika hali hii hatuwezi kukaa kimya na kuacha mambo ya namna hii yaendelee ndio maana ninajenga hoja tuahirishe mjadala ili tujadili jambo hili nyeti.”

Amesema kuna mizigo inayokwenda kwenye miradi mbalimbali ikiwemo wa uzalishaji wa umeme wa maji katika bwawa la mwalimu Nyerere na ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), lakini imekwama katika bandari hiyo.

Amesema mizigo inayokwenda nchi jirani imekwama wakati Taifa linatarajia bandari hiyo kuwa na ushindani.

Baada ya hoja hiyo, Naibu Spika Dk Tulia Ackson aliruhusu hoja hiyo ijadiliwe kwa muda wa dakika 20 ambapo wabunge saba walipata nafasi ya kuchangia.

Akijibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama amesema tayari Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekwenda Dar es Salaam kushughulikia suala hilo.

Chanzo: Mwananchi
Ungekuja na sababu ya kuleta huo mkwamo ingekuwa poa sana
 
Majaliwa anaanza kushindwa kasi ya Mama. Kama Leo hatafukuza watu kazi basi hatoshi hata kidogo. Siku tano bandari! Magufuli aliharibu sana hii nchi akatengeneza mfumo wa kila mahali lazima aende yeye ndio pasonge

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini mizigo isipakiwe wala kushushwa kwa siku 5? Kuna tatizo gani kwani? Au ndio hujum za Kenya ili mizigo iende Mombasa?
Ni uhujumu wa ndani lengo ni kutaka kuonyesha kuwa bandari ya dar es salaam haina uwezo ili ijengwe ya bagamoyo!!!

Wananchi hatupingi ujenzi wa bandari ya bagamoyo tunachopinga ni mkataba mbovu jengeni hata bandari mia kama zinahitajika tunachokataa ni mkataba mbovu na hujuma na serikali kujihusisha kuingia mkataba mbovu

Kama wao wanakuja kama wawekezaji binafsi kama mangi au mpemba anavyoanzisha biashara yake bila mkono wa mkataba mbovu na serikali waje tu

Hili ni shinikizo la kihujumu kushinikiza wananchi wakubali mradi wa bandari ya bagamoyo kuwa oneni bandari ya Dar inavyoshindwa kazi!!!! mmmmm mbona Magufuli akiwepo hatukuona huo msururu wa malori wala malalamiko ya madereva?
 
Majaliwa anaanza kushindwa kasi ya Mama. Kama Leo hatafukuza watu kazi basi hatoshi hata kidogo. Siku tano bandari! Magufuli aliharibu sana hii nchi akatengeneza mfumo wa kila mahali lazima aende yeye ndio pasonge

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Tumekubaliana sasa ni utawala wa sheria.
au nasema uongo ndugu zangu.
 
Ni uhujumu wa ndani lengo ni kutaka kuonyesha kuwa bandarui ya dar es salaam haina uwezo ili ijengwe ya bagamoyo!!!

Wananchi hatupingi ujenzi wa bandari ya bagamoyo tunachopinga ni mkataba mbovi jengeni hata bandari mia tunachokataa ni mkataba mbovu na hujuma na serikali kujihusisha kuingia mkataba mbovu

Kama wao wanakuja kama wawqekezaji binafsi kama mangi au mpemba anavyoanzisha biashara yake bila mkono wa mkataba mbovu na serikali waje tu

Hili ni shinikizo la kihujumu kushinikiza wananchi wakubali mradi wa bandari ya bagamoyo kuwa oneni bandari ya Dar inavyoshindwa kazi!!!! mmmmm mbona Magufuli akiwepo hatukuona huo msururu wa malori wala malalamiko ya madereva?
Kwani hata tukisaini mikataba mibovu mtafanyaje???
 
Back
Top Bottom