Bunge lajadili malori kukwama bandarini

Bunge lajadili malori kukwama bandarini

Lazima mtoa haja apewe muda ndipo baadaye majibu ya hoja
Hilo tukio hilo lilikuwa maigizo tu. Badala ya kupoteza dk 20 'kujadili' Jenista angeambiwa atoe taarifa yake yaishe. Kwani Tulia alikuwa hajui PM amekwenda Dar?
 
Na mimi nakazia maarifa, huyu mama asipokuwa na sikio na jicho la tatu, kuna watu wanamshauri vibaya kwasababi zao binafsi lakini yeye hajui, anatakiwa kujiongeza

View attachment 1781931
Mkuu fafanua kidogo, "wanamshauri vibaya"........ "Anatakiwa kujiongeza"

Upi ni ushauri mbaya?
Ajiongeze afanye nini ambacho hakiendi vizuri?
 
Kwani hata tukisaini mikataba mibovu mtafanyaje???
Si unajua kilichowakuta wengi waliosaini mikataba mibovu nyuma Magufuli alipoingia walivyoshughulikiwa? Kwani mtakaa madarakani milele? Atatokea mwehu tu atashughulika nanyi au vizazi vyenu hata kama mumeondoka

Ogopa kuingia mkataba mbovu hasa utakaoumiza vizazi vijavyo kizazi chako kitakuja kuwajibika kwa niaba yako

Life goes beyond you, usijifikirie wewe tu!!
 
Mama akuliona hili kabla kusafiri? Maana kuna mkurugenzi mpya aliyemteua mwenyewe.
 
Mkuu fafanua kidogo, "wanamshauri vibaya"........ "Anatakiwa kujiongeza"

Upi ni ushauri mbaya?
Ajiongeze afanye nini ambacho hakiendi vizuri?
kumwambia uongozi sio kuwa mkali au kufoka foka[emoji3].

nyumba zozote zenye wazazi makondoo tumeona matokeo yake wakati tunakua.
 
Si unajua kilichowakuta wengi waliosaini mikataba mibovu nyuma Magufuli alipoingia walivyoshughulikiwa? Kwani mtakaa madarakani milele? Atatokea mwehu tu atashughulika nanyi au vizazi vyenu hata kama mumeondoka

Ogopa kuingia mkataba mbovu hasa utaooumiza vizazi vijavyo kizazi chako kitakuja kuwajibika kwa niaba yako

Life goes beyond you usijifikirie wewe tu!!
sasa bimkubwa anapigwa 5:0 kwenye hili.

lilikiwa kosa kubwa sana kuwapunguza moto akina majaliwa nk.wale ndio wangekua kifua chake,kisha yeye endelee kubembeleza watu kama mama wa taifa.

wabishi wote wamezima moto,maana mama anacheza na jukwaa.
 
Majibu mepesi SANA, Kassim Majaliwa ameenda kushughulikia, kununua mashine za kupakulia mizigo??

Nilipita mitaa ya SeaCliff weekend, meli zilizopaki niliona ni nyingi lakini sikuelewa kama tatizo ni kubwa kwa kiasi hicho.

Waondoe na wafute storage charges kwa siku 5 hizi, siyo kosa la wateja, bali uzembe wa serikali, kufunga vifaa vipya vya kupakia na kupakulia mizigo.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Embu Jaribu kuitaja mkuu, halafu la lingine la nyongeza, wafanya kazi hasa wa Afya, tayari wamerudisha tena kule kuingia kazini kwenda kupiga soga bila kujali ratiba zao za kuingia mawodini kuhudumia wagonjwa!

Sasa ni kupiga soga Kwa kwenda Mbele, sjajua sehemu nyingine, sjui wewe hutaki kumkumbuka Jiwe Kwa lipi
 
Majibu mepesi SANA, Kassim Majaliwa ameenda kushughulikia, kununua mashine za kupakulia mizigo??

Nilipita mitaa ya SeaCliff weekend, meli zilizopaki niliona ni nyingi lakini sikuelewa kama tatizo ni kubwa kwa kiasi hicho.

Waondoe na wafute storage charges kwa siku 5 hizi, siyo kosa la wateja, bali uzembe wa serikali, kufunga vifaa vipya vya kupakia na kupakulia mizigo.

Everyday is Saturday............................... 😎
Dah huu ni ukosefu wa uzalendo aisee hii nchi ni yetu tukiamua kiejenga au kubomoa faida na hasara ni kwetu sisi sote. Watu wafanye kazi kwa kujituma
 
Mama achangamke. Asiwaze kufungua nchi huku ndani Kuna nyuki kibado.
 
Waondoe na wafute storage charges kwa siku 5 hizi, siyo kosa la wateja, bali uzembe wa serikali, kufunga vifaa vipya vya kupakia na kupakulia mizigo
Kulikuwa na genge fulani lilikuwa linaitwa TICKS sijui liliishia wapi
 
Kulikuwa na genge fulani lilikuwa linaitwa TICKS sijui liliishia wapi
Imekuwa TICKS siyo TICTS?! Haa haa haa!
Siasa buana!
Kwanini aende Waziri Mkuu wakati kuna waziri wa uchukuzi, biashara, uwekezaji??

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Sitaki kumkumbuka jiwe kwa sababu ya haya
1. Wale waliopotea na waliopotelewa na ndugu zao katika mazingira tata
2. Wale waliochukuliwa mali zao kidhalimu na ma-task force
3. Wale walipelekwa magerazani kwa miezi na miaka kwa kesi za kubumba
4. Walipoteza maisha katika chaguzi kama Akwilina
5. Waliopoteza biashara kama Kwanza TV na Mbowe
6. Walionyang'anywa passports kama Eyakuze
7. Waliochafuliwa wanafanya biashara za madawa na kipendwa chake Bashite
8. Waliopoteza kazi zao kwa mkono na nia ovu kama Fatma Karume
9. Wakulima Ambao hawakupewa pesa zao za korosho
10. Waliobomolewa nyumba zao Kimara
11.Wastaafu wanaopigwa na jua kutwa wakifuatilia mafao yao ya pensheni
12.Vyombo vya habari binafsi ambavyo viligeuzwa kwa nguvu kuwa state propoganda media.
13.Waliochafuliwa na Musiba pamoja na genge lake
Embu Jaribu kuitaja mkuu, halafu la lingine la nyongeza, wafanya kazi hasa wa Afya, tayari wamerudisha tena kule kuingia kazini kwenda kupiga soga bila kujali ratiba zao za kuingia mawodini kuhudumia wagonjwa!

Sasa ni kupiga soga Kwa kwenda Mbele, sjajua sehemu nyingine, sjui wewe hutaki kumkumbuka Jiwe Kwa lipi
 
Back
Top Bottom