Bunge lajadili malori kukwama bandarini

Siyo kuijadili tu hata ujinga huu haungefanyika mama awe makini na hao ccm
 
Malori kukwama bandarini ni furaha kubwa sana kwa Lema, Msigwa, Lisu na chadema kwa ujumla kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kuuwa legacy ya Magufuli.
Kwani wewe bibi cdm ilikukosea nini!?
 
Which kind of managerial issues.we want to know it otherwise is a political issue
 
Hisia zangu zinanipeleka kufikiri tofauti kwamba, huu ni mpango wa makusudi kutibua upakiaji na ushushaji wa mizigo ili baadaye waje na sababu pamoja na suluhisho. Watasema kwamba, bandari ya sasa inachangamoto sana kwa sasa, suluhisho ni kujenga bandari ya Bagamoyo ili kuondokana na changamoto hizi.
 
Wakati wa mwendazake msingejadili chochote!
Mmekomaa kumponda mwendazake. Huyu ashafariki. Haisaidii. At the end of the day bado wananchi wata question perfomance ya serikali. Sasa kumpiga vita mwemdazake haisaidii. Hapa ni vita vya wananchi against umasikini ujinga na malazi. Sio vita ya mwendazake vs other group
 
Mkuu

Hiyo sababu haina nguvu kwa sababu bandari ya Dar Es Salaam imepanuliwa sana, suala hapo ni changamoto ya ujenzi wa barabara ya Kilwa-Mbagala kwa mwendo kasi pale makutano ya Uhasibu ni balaa usipime. Miundo mbinu ya ya barabara baada ya daraja la Nyerere nyembamba sana na hata mzani uliowekwa sambamba na barabara umeongeza ufinyu kiasi kinacho fanya mjongea wa kuingia na kutoka badarini kususua.

Upakiaji wa mizigo unafanyika TPA, TICTS na mizigo mingine inahamishiwa ICD hapo kurasini au kwingine hivyo mizunguko inakuwa mingi isiyonatija kwa ufanisi wa kazi.
 
Ahaa!
 
Mnaogopa. Mnahisi mda wowote mnaweza kua challenged. Tatizo mnakua sana paranoid, natamani sana lema, lissu na wanachadema waache kuongea tuone mtalaumu nani
 
Kwanini mizigo isipakiwe wala kushushwa kwa siku 5? Kuna tatizo gani kwani? Au ndio hujuma za Kenya ili mizigo iende Mombasa?
Muache Samia aendelee kucheka cheka huku akiwa busy kuwafurahisha hawa wajinga wachache wa humu mitandaoni.
 
Wambieni waziri mkuu asisahau kwenda na waandishi wa habari kama alivyoenda BRT ila mpaka sasa hivi ufanisi ni sifuri hakuna kilochobadilika alitusababishia tu foleni na mikelele kibao

Kwio
 
Nachukia sana kiongozi dhaifu dhaifu, tunarudi enzi za Mr. Dhaifu wa Msoga
Kuna mijitu inashangilia eti inasubiri hela zimwagike mtaani!

Hivi bandari ni sehemu ya malori kukaa siku 5 kweli?

Juzi juzi kuna meli ili block mlango bahari hapo mashariki ya kati na unaambiwa kila siku hasara ya bilioni kadhaa ilikuwa inatokea. Vipi sisi hapa kwa siku tano hizo kuna sh ngapi imepotea.

Utawala wa Kikwete na Magufuli umewapa mwanga sana watz juu ya uongozi.
Asijaribu kumridhisha kila mtu hasa hili genge dogo la huku mitandaoni akijaribu kuwafuata hawa atapotea
 
Tumekubaliana sasa ni utawala wa sheria.
au nasema uongo ndugu zangu.

Husemi uwongo ndugu yangu[emoji23]

sasa bimkubwa anapigwa 5:0 kwenye hili.

lilikiwa kosa kubwa sana kuwapunguza moto akina majaliwa nk.wale ndio wangekua kifua chake,kisha yeye endelee kubembeleza watu kama mama wa taifa.

wabishi wote wamezima moto,maana mama anacheza na jukwaa.

Bora mmeona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…