Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Nimekuwa nikifuatilia kikao cha Bunge asubuhi hii live kupitia TBC, mara ghafla matangazo yakakatishwa ghafla, TBC kwanza wakaweka promos na baadaye documentary ya underwater.
Kwanza nilidhani ni technical problem ya TBC, nikahamia Star TV ili niendelee na Bunge maana na wao huwa wanarusha live, nikakuta nil.
Ndipo nilipododosa toka source fulani Bungeni akaniambia Bunge limeahirishwa ghafla for technical problem.
Vyombo vyetu vya habari lazima viwatendee haki wateja wake kwa kuwanotify something, the usual one ni ile excuse ya kawaida
" Tunawaomba radhi watazamaji wetu, hatutaweza kuendelea na matangazo haya kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu, asanteni"
Hii ingetosha, hili la kukatisha tuu matangazo, no excuse ni a bit rude!
KWA MSAADA WA BLOG YA MROKI
======================
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Karatu, Dr. Wilbroad Slaa kwenye ukumbi wa zamani wa Bunge wa Pius Msekwa mjini Dodoma jana. Bunge lilihamia katika ukumbi huo baada ya mfumo wa sauti katika ukumbi mpya wa Bunge kupata hitilafu.
Askari akihamisha joho la Spika kutoka kwenye ukumbi mpya wa Bunge kwenda kwenye ukumbi wa zamani wa Msekwa baada ya mfumo wa sauti katika ukumbi mpya leo.
Askari wakihamisha siwa kutoka kwenye ukumbi mpya wa Bunge kwenda kwenye ukumbi wa zamani wa Msekwa baada ya mfumo wa sauti katika ukumbi mpya leo.
Spika wa Bunge Samwel Sitta akiingia kwenye ukumbi wa zamani wa Bunge wa Msekwa baada ya mfumo wa sauti wa ukumbi mpya wa Bunge kupata hitilafu jana.
Nimekuwa nikifuatilia kikao cha Bunge asubuhi hii live kupitia TBC, mara ghafla matangazo yakakatishwa ghafla, TBC kwanza wakaweka promos na baadaye documentary ya underwater.
Kwanza nilidhani ni technical problem ya TBC, nikahamia Star TV ili niendelee na Bunge maana na wao huwa wanarusha live, nikakuta nil.
Ndipo nilipododosa toka source fulani Bungeni akaniambia Bunge limeahirishwa ghafla for technical problem.
Vyombo vyetu vya habari lazima viwatendee haki wateja wake kwa kuwanotify something, the usual one ni ile excuse ya kawaida
" Tunawaomba radhi watazamaji wetu, hatutaweza kuendelea na matangazo haya kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu, asanteni"
Hii ingetosha, hili la kukatisha tuu matangazo, no excuse ni a bit rude!
KWA MSAADA WA BLOG YA MROKI
======================
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Karatu, Dr. Wilbroad Slaa kwenye ukumbi wa zamani wa Bunge wa Pius Msekwa mjini Dodoma jana. Bunge lilihamia katika ukumbi huo baada ya mfumo wa sauti katika ukumbi mpya wa Bunge kupata hitilafu.
Askari akihamisha joho la Spika kutoka kwenye ukumbi mpya wa Bunge kwenda kwenye ukumbi wa zamani wa Msekwa baada ya mfumo wa sauti katika ukumbi mpya leo.
Askari wakihamisha siwa kutoka kwenye ukumbi mpya wa Bunge kwenda kwenye ukumbi wa zamani wa Msekwa baada ya mfumo wa sauti katika ukumbi mpya leo.
Spika wa Bunge Samwel Sitta akiingia kwenye ukumbi wa zamani wa Bunge wa Msekwa baada ya mfumo wa sauti wa ukumbi mpya wa Bunge kupata hitilafu jana.