Bunge lampongeza waziri Ummy Mwalimu kwa kusimamia vizuri mapambano dhidi ya Corona na kuudhibiti

Bunge lampongeza waziri Ummy Mwalimu kwa kusimamia vizuri mapambano dhidi ya Corona na kuudhibiti

Naibu Spika Dr Tulia leo ametambulisha kurejea bungeni kwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu ambaye alikuwa mstari wa mbele kuongoza mapambano dhidi ya Corona hadi kuudhibiti ugonjwa huo.

Bunge zima limempigia makofi ya furaha na kumshukuru kwa namna alivyotoa mchango mkubwa kumsaidia Jemedari mkuu Rais Magufuli katika vita dhidi ya Corona.

Source Star tv!

Kwa Upumbavu uliopo na unaoendelea kuna wakati Mtu unafikia hatua ya hata Kuogopa Kujitambulisha kuwa Wewe ni Mtizedi.
 
Kwani wewe unaumwa corona?
Hii ni kufuru. Ndugu yangu yupo ICU kwa siku ya 3. Uwezekano mkubwa alipatwa na tatizo hili wakati anamuuguza ndugu yake ambaye naye alipatwa na tatizo hili wiki 2 zilizopita.

Tatizo bado lipo, tena kubwa. Wagonjwa wengi wanaugulia nyumbani maana hospitali za serikali hakuna huduma. Unalazimika kumpeleka mgonjwa wako hospitali za private pale tu hali ikiwa critical.

Tuendelee kujikinga, tusibebwe na maneno ya uwongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
duh, ndugu yake vp kapona or
Hii ni kufuru. Ndugu yangu yupo ICU kwa siku ya 3. Uwezekano mkubwa alipatwa na tatizo hili wakati anamuuguza ndugu yake ambaye naye alipatwa na tatizo hili wiki 2 zilizopita.

Tatizo bado lipo, tena kubwa. Wagonjwa wengi wanaugulia nyumbani maana hospitali za serikali hakuna huduma. Unalazimika kumpeleka mgonjwa wako hospitali za private pale tu hali ikiwa critical.

Tuendelee kujikinga, tusibebwe na maneno ya uwongo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu wakiitwa Bunge DHAIFU wanakunja NGUMI.

Mtaani bado gonjwa lipo na Watanzania wengi wanaugua na kufa. Wiki ya tatu hii hakuna mrejesho na ummy alidai maabara inafanyiwa marekebisho. Ripoti ya tume iliyoundwa na kuchunguza ripoti imefanywa siri kubwa halafu leo tunaambiwa utendaji wa ummy ni wa KUTUKUKA! 😳😷😳😷



Naibu Spika Dr Tulia leo ametambulisha kurejea bungeni kwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu ambaye alikuwa mstari wa mbele kuongoza mapambano dhidi ya Corona hadi kuudhibiti ugonjwa huo.

Bunge zima limempigia makofi ya furaha na kumshukuru kwa namna alivyotoa mchango mkubwa kumsaidia Jemedari mkuu Rais Magufuli katika vita dhidi ya Corona.

Source Star tv!
 
Naibu Spika Dr Tulia leo ametambulisha kurejea bungeni kwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu ambaye alikuwa mstari wa mbele kuongoza mapambano dhidi ya Corona hadi kuudhibiti ugonjwa huo.

Bunge zima limempigia makofi ya furaha na kumshukuru kwa namna alivyotoa mchango mkubwa kumsaidia Jemedari mkuu Rais Magufuli katika vita dhidi ya Corona.

Source Star tv!
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi...
 
Back
Top Bottom