Bunge laondoa kigezo cha kupitia JKT na JKU kuajiriwa vyombo vya ulinzi

Bunge laondoa kigezo cha kupitia JKT na JKU kuajiriwa vyombo vya ulinzi


Wabunge hapa kama mtu huna akili au hufikirii vizuri unaweza kudhani wametoa hicho kigezo ili kumpigania mtoto wako wewe Khadija wa Kiwalani.

Hapa wamepiganiwa watoto wao wanono ambao hawataki shida za JKT.
Kupitia JKT ilikuwa vijana wanakuwa tayari kama wameshapitia Depo! So akuna tena drill za awali. Kwa sasa itakuwa kama kawa- wiki sita za Mwanzo ukiwa kambini kama una any tatizo la afya au mimba kwa dada zetu lazima uteme bungo😁nafikiri wale waliopita huko wanjua nini nnamaanisha
 
Kwa maslahi ya watoto wao wameondoa hicho kigezo.
Wameona iwe shortcut kwa vijana wao wanaotaka kuwa maafisa wa Majeshi yetu.
Kwa ufupi mmekwisha.
Hakuna mtoto wa maskini atakayeweza kuingiza pua huko majeshini.
Kwisha.

Hivi wabongo mfanyiwe nini ndio mridhike? wakifanya hivyo lawama wasipo fanya lawama
 
HICHO KIGEZO WANAKIONDOA ILI KUWARAHISISHIA WATOTO WAO KUINGIA KWENYE VYOMBO BILA KUENYEKA KWENYE MASHAMBA MKAKATI YA MTABILA, NACHINGWEA NK.

KAMA UNADHANI WANAKIONDOA KWA AJILI YAKO WEWE SAIDI MSAKANYOKA UNAFELI ASEEEH HAPO WATOTO WA MASAKI NA MBEZI WANARAHISISHIWA MIFUMO
 
Safi sana kuna wengine tulimaliza kabla ya hayo mambo ya kwenda sijui JKT ilikuwa shida sana
 
For my own perception since human beings we're so subjective and not objective in thinking process.
Ninasema wamefanya maamuzi ambayo sio sahihi kabisa.
Jeshi Ni Imani so lazima mtu aanzie madrasa kulishwa Imani, pia kuwapeleleza na kuwacheki Ni wapi ambao wako motivated intrinsically with army not just those seeking job opportunity.

Nb ,at the army no job but we need people who can die for her nation not otherwise that's no salary at it we only pay posho that's all. You can't pay human being life that he sacrifice just to defend her nation boundaries and peace.


Tumerudi enzi za msoga Kama hamjaona February akasaini mkataba wa hewa ya helium ama hewa baridi ambayo mpaka Putin alisema laiti ikitumika vizuri Tanzania tungeenda kuwa katika ulimwengu wa kwanza.
Pia March Kama sio February alisaini mktaba wa kukodi software ya kufuatilia kwa kukatika umeme katika Tanzania kwa gharama ya bilioni 70 TZS.
Mara mabwawa hayana maji kisa ukame ,Mara miezi sita ya ukabarati wa mitambo Mana watu walikuwa wanawasha hata ikiwa mibovu Mana waliogopa kutumbuliwa.
Saivi Mara mvua imeharibu miundombinu Tena, bwawa la NYERERE mashine ziko low kiwango.

Watanzania achanane nao kwanza waliwe mpaka makapi kabisa ndio watakuja kushtuka wajukuu zao watakapoanza kuwauliza maswali
 
Kwa hiyo hata kazi za TISS hakuna kigezo cha JKT?
 
ivo vyombo vya ulinzi na usalama ndo vyombo gani?

tuanzie kwanza apo
 
Uzalishaj wa jkt utafanywa na nani?
Hicho kigezo kinaweza ondolewa kwa vyombo vingine vya ulinzi. ILA KWA MASLAH YA KAMAND YA JKT, Wakubwa Jwtz lazima wakitumie.
 
Hisia zangu zipo tofauti kidogo. Pamoja na hayo mambo ya kubebana, ila nahisi wanataka kupunguza gharama za uendeshaji wa JKT.

Kwa sababu unapoondoa kigezo, automatikale umeiua JKT kwa sababu nani ataenda kulijenga taifa burebure!

Itakuwa wanataka kusevu hela iliyokuwa inatumika kuendeshea JKT, halafu mambo yakitulia watakirudisha hicho kigezo.

Wameona wakianzisha ada JKT watapigiwa kelele!
 
Hisia zangu zipo tofauti kidogo. Pamoja na hayo mambo ya kubebana, ila nahisi wanataka kupunguza gharama za uendeshaji wa JKT.

Kwa sababu unapoondoa kigezo, automatikale umeiua JKT kwa sababu nani ataenda kulijenga taifa burebure!

Itakuwa wanataka kusevu hela iliyokuwa inatumika kuendeshea JKT, halafu mambo yakitulia watakirudisha hicho kigezo.

Wameona wakianzisha ada JKT watapigiwa kelele!
Jkt inazalisha siyo powa madogo wanapiga jembe WANALIMA misosi ya kutosha mahindi, mpunga wa kutosha madogo WANASHIRIKI MIRADI ya ujenz ya kigharam jkt inawez jiendesh
 
HICHO KIGEZO WANAKIONDOA ILI KUWARAHISISHIA WATOTO WAO KUINGIA KWENYE VYOMBO BILA KUENYEKA KWENYE MASHAMBA MKAKATI YA MTABILA, NACHINGWEA NK.

KAMA UNADHANI WANAKIONDOA KWA AJILI YAKO WEWE SAIDI MSAKANYOKA UNAFELI ASEEEH HAPO WATOTO WA MASAKI NA MBEZI WANARAHISISHIWA MIFUMO
Jeshini mazoezi ayajali wewe mtoto wa nani! Na ata huko JKT ndo principal (akuna kujuana) mazoezi na shuruba zote ni za wote. Kulikuwa na nafuu ya Wakufunzi wa vyombo vyetu vya usalama kwa vijana waliotoka JKT kwani basics za Jeshi wana kuwa tayari wanazijua so inawapunguzia kazi. Kwa sasa kitakachotokea 1. Wote kuanza upya wafikapo mafunzoni au kuwe na group mbili waliopitia JKT wafundishwe kivyao na hawa fresh from home wakumbane na mziki mnenne
 
Back
Top Bottom