Bunge laondoa kigezo cha kupitia JKT na JKU kuajiriwa vyombo vya ulinzi

Bunge laondoa kigezo cha kupitia JKT na JKU kuajiriwa vyombo vya ulinzi

Kwa maslahi ya watoto wao wameondoa hicho kigezo.
Wameona iwe shortcut kwa vijana wao wanaotaka kuwa maafisa wa Majeshi yetu.
Kwa ufupi mmekwisha.
Hakuna mtoto wa maskini atakayeweza kuingiza pua huko majeshini.
Kwisha.
Mkuu,sisi akina Yakhe tulishamalizwa kitambo sana,sasa hivi tunaishi tu kwa neema ya Mungu.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Hili ni zuri.....kunawatu walikuwa na ndoto za kuingia Kwa vyombo vya ulinzi .....kisa kushindwa kwenda JKT

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kama ulishindwa kupata nafasi JKT ambako hakuna ajira direct, yaani ni kama kwenda kucheza kamari. Je huko ambako ni ajira direct 100% utaweza?
Uko tayari kubattle na watoto na wajomba wa;
DC
DED
DSO
DPO
OCD
DMO
n.k, n.k hapo ngazi ya wilaya huko mkoa kuna vigogo wakubwa zaidi.
 
Majeshi yameingiliwa na wanasiasa,na Bado hakuna rangi wataacha ona.
Kwa hiyo,na ile JKT majibu ifutwe Haina maana Tena Kwa mktadha huo wa Ujuha🙂.

Kweli Nchi Ina hasara kubwa.
Ccm janga la Taifa.

Tutegemee makamanda Shehe Rosa.

Kwisha habari yake.
CDF anasemaje jamani,mbona futuhi Bungeni.
Me naona Bora,Bunge liendeshwe na Kina Pembeni,Mkwele og,Joti,Na CHEKA TU.

CCM JANGA LA TAIFA,KATAA CCM KWA NGUVU ZOTE.KWA MSTAKABALI WA TAIFA LA LEO NA KESHO.

MAENDELEO HAYANA CHAMA
 
Ushauri:
Ajira zote za Jeshi, takukuru, UHAMIAJI, MAGEREZA, TISS na polisi zipitie Ajira portal.
 
Kwa maslahi ya watoto wao wameondoa hicho kigezo.
Wameona iwe shortcut kwa vijana wao wanaotaka kuwa maafisa wa Majeshi yetu.
Kwa ufupi mmekwisha.
Hakuna mtoto wa maskini atakayeweza kuingiza pua huko majeshini.
Kwisha.
Ni Bora wametoa mana wengine hatujawahi enda uko jeshini hata kwa mujibu wa Sheria Sasa na Kuna wengine wanapita diploma na wengine wanaenda form six, kwa hiyo ni sawa kuondoka huo upuuzi wa kwenda jkt au jku
 
Hii hoja ya kuondoa mafunzo ya JKT kama kigezo ni fikirishi kulingana na wakati. Ni majuzi tu hapa CDF anamwambia Rais kuwa kuna raia wakigeni wameingia ktk serikali na kushika nyazifa serikalini. Leo tunaona kigezo mojawapo Cha kupunguza mamluki ktk sekta nyeti za kiserikali kinaondolewa just a month.

Kwa kila mwenye akili timamu lazima afikirie kuwa inawezekana kunadhamira ovu ndani ya walewale waliolalamikiwa na jeshi. Sasa wameamua kumuonesha aliyesema hiyo kauli kuwa hawawezi. Na tukitaka kujua kuwa kuna dhamira ovu baada ya miaka fulani hiki kigezo kitarudi tena maana yake wenye dhamira ovu wataondoka au watakuwa washafanyikiwa malengo yao. Tunaomba kigezo hiki kijadiliwe kwa kina na kuwe na screening ya uraia wa kila anayeingia ktk kazi za majeshi.
 
Hii hoja ya kuondoa mafunzo ya JKT kama kigezo ni fikirishi kulingana na wakati. Ni majuzi tu hapa CDF anamwambia Rais kuwa kuna raia wakigeni wameingia ktk serikali na kushika nyazifa serikalini. Leo tunaona kigezo mojawapo Cha kupunguza mamluki ktk sekta nyeti za kiserikali kinaondolewa just a month.

Kwa kila mwenye akili timamu lazima afikirie kuwa inawezekana kunadhamira ovu ndani ya walewale waliolalamikiwa na jeshi. Sasa wameamua kumuonesha aliyesema hiyo kauli kuwa hawawezi. Na tukitaka kujua kuwa kuna dhamira ovu baada ya miaka fulani hiki kigezo kitarudi tena maana yake wenye dhamira ovu wataondoka au watakuwa washafanyikiwa malengo yao. Tunaomba kigezo hiki kijadiliwe kwa kina na kuwe na screening ya uraia wa kila anayeingia ktk kazi za majeshi.
Una uelewa finyu sana kichwani
 
Jeshini mazoezi ayajali wewe mtoto wa nani! Na ata huko JKT ndo principal (akuna kujuana) mazoezi na shuruba zote ni za wote. Kulikuwa na nafuu ya Wakufunzi wa vyombo vyetu vya usalama kwa vijana waliotoka JKT kwani basics za Jeshi wana kuwa tayari wanazijua so inawapunguzia kazi. Kwa sasa kitakachotokea 1. Wote kuanza upya wafikapo mafunzoni au kuwe na group mbili waliopitia JKT wafundishwe kivyao na hawa fresh from home wakumbane na mziki mnenne
Wataimba haleluya
 
Kwa maslahi ya watoto wao wameondoa hicho kigezo.
Wameona iwe shortcut kwa vijana wao wanaotaka kuwa maafisa wa Majeshi yetu.
Kwa ufupi mmekwisha.
Hakuna mtoto wa maskini atakayeweza kuingiza pua huko majeshini.
Kwisha.
Acha kukurupuka, naungana kabisa na maamuzi ya bunge, kwanza JKT ni kama imepoteza ile maana yake halisi ya mwanzo. Zamani ilikuwa ni lazima kwa vijana wote wanaomaliza form 6 kwenda JKT kwa mwaka mmoja. Sasa hivi wanaenda kwa mafungu mara wengine hawaendi, sasa matokeo yake ni kwamba vijana walioko mtaani (sekondari, chuo na wengine) wanaotafuta kazi ni wengi sana wakati hao waliopitia JKT ni wachache. Hivyo kuweka hicho kigezo ni ubaguzi mkubwa sana.
 
Mkitoka hapo mfute na kigezo cha cheti cha form 4 kwenye vyuo vya mafunzo ya ufundi stadi (VETA)mfano:
-- fork lift
--crane operator.
--ufundi stadi wa kazi mbali mbali ,,umeme nk

Kazi za ufundi stadi (VETA) kipengele cha elimu ya form 4 za nn?

Mnawanyima vijana fursa za kujifunza ujuzi mbalimbali (VETA) na kuweza kujikomboa kimaisha...

Kumrudisha kijana kusoma QT kwa ajili ya cheti cha form 4 ni kumpotezea kijana muda wake.
 
Back
Top Bottom