Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
JKT iliwafanya watoto wengi wakishua wakache jeshi, sababu kama msoto upo kwenye majeshi yote tena kwa wananchi ndio zaidi, ila sasa wakishua kashazoea mkate na jibini anaambiwa anzia kwanza JKT halafu ukimaliza tu unaenda huku nakokupigania after all ni miezi mitatu tuBunge limepitisha azimio la kuondoa kigezo cha kupitia mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) pamoja na Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) kwa vijana wanaoomba nafasi za ajira katika vyombo vya ulinzi na usalama.
Sasa akishaonja mziki wa kule ndio anasusa mazima hataki kurudia makosa tena na kuishia jkt tu, kitu kinachowakera mabosi maana akiingia moja kwa moja ujedani hana ujanja atahenyeka weee ila akitoka ametoka na ajira yake, sasa huku kujenga taifa ambako unatoka halafu unarudi uraiani kusikilizia kwenda tena kwingine ndio kunawafanya wasuse wasirudie makosa