Bunge lapitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria za Ulinzi wa Mtoto

Ivi watoto wanawezaje kufanyiwa ukatili wa kingono mtandaoni pindi wanapotumia simu janja?
Mtu ambaye hamjuani Wala hamjawai kuonana unawezaje kumkatili kingono mtandaoni au ni Mimi sijalewa?
Na huwo muswada WA kuwalinda watoto kimtandao utajuaje anayetumia mitandao ya kijamii kwa wakati huo kwamba ni mtoto au mtu mzima Ili ludhibiti maudhui yake?
Mimi naona jukumu kubwa liko kwenye kutoa elimu zaidi kwa wazazi pengine ingesaidia zaidi.
Ili tuweze kujilinda na kuwalinda walengwa wa huu ukatili
 
Ivi watoto wanawezaje kufanyiwa ukatili wa kingono mtandaoni pindi wanapotumia simu janja?
POP-up ads unazijua hauzijui? Jibu alafu tuendelee kuna POP-up ads na POP-under ads sasa POP-up ads unazijua?

Mfano: Ime POP-up pornographers ads yupo kwenye browser eeh akibinya si unajua watoto wanavyopenda kubinyabinya akiona hiki anataka akione zaidi na zaidi na zaidi eeh sasa akibinya hapo kahama ndio ukatili unaanzia hapo

Wewe unajua mwanao kakodolea Simu anaangalia katuni YouTube kumbe kuna Wahuni wachache wasioelewa km hio Simu janja muda na wakati huo inatumiwa na mtoto mdogo washamwamisha anaangalia mambo mengine ya kingono ambayo hakupaswa kuangalia kwa umri alionao kwa hio anafanyiwa ukatili wa kingono

Hio ni 1 ukihitaji 2 useme nitakwambia wanafanyiwaje ukatili wa kingono mtandaoni na hio IPO wazi

Mfano: tiktok tiktok na mtandao X X X .com zamani twitter takataka za ajabu utazikuta huko sasa mtoto akibinyabinya akatumbukia huko atakayokumbana nayo ni ukatili wa kingono kwa umri wake

Hio ni 2 ukitaka na 3 useme nitakwambia tu bila shida yoyote
 
Hongera sana Mheshimiwa waziri, una heshima yetu hapa jukwaani maana unapambana na unajibu hoja Kwa wakati, tungepata mawaziri 7 wa aina yako maendeleo ingekua chap,
 
Malezi ya mtoto yanaanza na wwe mzazi, ukitegemea hizi sheria ndiyo zikulindiea mwanao utakuja kuula wa chuya ,wazazi tuwe serious sana na malezi bora ya watoto wetu kama sisi tulivyolelewa zamani na wazazi wetu!!
 
Malezi ya mtoto yanaanza na wwe mzazi, ukitegemea hizi sheria ndiyo zikulindiea mwanao utakuja kuula wa chuya ,wazazi tuwe serious sana na malezi bora ya watoto wetu kama sisi tulivyolelewa zamani na wazazi wetu!!
Simu janja weka mbali na mtoto atakutana na mambo ya wakubwa huo ni Ukatiri kwa mtoto
 

Kwa nini umpe Mtoto mdogo smartphone?
 
Hongera sana Mheshimiwa waziri, una heshima yetu hapa jukwaani maana unapambana na unajibu hoja Kwa wakati, tungepata mawaziri 7 wa aina yako maendeleo ingekua chap,
Hakika...

Kongole kwake [emoji7]
 
Kweli apo nakubali Kuna siku mama moja alinipa nimsetie simu yake anadai watoto wake wanachezeaga,,, notification nilizokutananazo ase awo watoto lazima wapagawe
 
Kweli apo nakubali Kuna siku mama moja alinipa nimsetie simu yake anadai watoto wake wanachezeaga,,, notification nilizokutananazo ase awo watoto lazima wapagawe
Eenh ilikuaje kuaje hapo Watoto kupagawa kutokana na ukatili wa kingono mtandaoni au kupagawa na nini? Au na Wewe ulikua unakutana nazo unabinyabinya tu?
 
Eenh ilikuaje kuaje hapo Watoto kupagawa kutokana na ukatili wa kingono mtandaoni au kupagawa na nini? Au na Wewe ulikua unakutana nazo unabinyabinya tu?
Izo notification Zina picha zenye maudhui ya kingono inaonyesha waliziaccept bila kujua wanachofanya mimi nilichofanya ni kuziblock na nikamwambia mwenye simu asiruhusu watoto wake wasihezee simu hasa kwenye mitandao ya kijamii maana inaonyesha ni tabia yao kudowload game mtandaoni na kuangalia video
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…