Bunge lasimama kujadili na kutoa azimio la kumpongeza Rais Samia kwa kuimarisha Demokrasia na Diplomasia ya Uchumi

Pesa zinaliwa wao wanapongeza.
 
Sawa, hata mm naunga mkono, ila wale wezi wa hela zetu za ndege washajiuzulu nafasi zao?
 
Wewe ni mwongo kabisa. Makamu wa Rais wa US hakuja kwa sababu ya hayo mambo yako unayoyapa kipaumbele.

Lengo la wazi ni kutengeneza US political influence to Africa. Lengo lillilofichika ni kutafuta uungwaji mkono dhidi ya Russia.
 
Hela zetu zinatumika kiboya sana

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni mwongo kabisa. Makamu wa Rais wa US hakuja kwa sababu ya hayo mambo yako unayoyapa kipaumbele.

Lengo la wazi ni kutengeneza US political influence to Africa. Lengo lillilofichika ni kutafuta uungwaji mkono dhidi ya Russia.
Lazima BAVICHA wapinge hata maridhiano ya kitaifa

USSR
 
Spika wa Bunge ameendesha azimio la Bunge la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan leo Aprili 4 2023 ambalo halipo kwenye orodha ya shughuli za Bunge za leo.

Matokeo yake baadhi ya wabunge wakamstukia Spika na kuamua kujadili madudu yaliyomo kwenye ripoti ya CAG...wakijificha kwenye kumpongeza Rais. Swali kubwa ni nini kilichomsukuma Spika kuendesha azimio hilo huku akitambua kuwa halikuwa sehemu ya shughuli za leo za Bunge?

Je Mh Rais asizipokee pongezi hizo za Spika hadi Spika atakapohojiwa na vyombo husika ni kwanini ameendesha zoezi ambalo halikuwemo kwenye orodha ya shughuli za leo.


Kwa mujibu wa Tovuti ya Bunge. nimeambatisha Document ya shughuli za Bunge siku ya leo..
 

Attachments

Nchi imejaa mastupidi wengi, SSH we kula mama ya Magogoni mastupidi ni next level huwawezi
 
90%+ ya wabunge ni kutoka chama chetu, haohao ndiyo walipinga kwa juhudi zote uwepo wa opp, na wengine wakahama opp kwenda ulaji camp, haohao leo wanazungumzia pongezi kwa demokrasia na mikutano
 
Siyo inatia aibu tuu, Bali inatugharimu saana.
 
Na siku ileee hao hao walimpongeza aliyezuia mikutano ya vyama vya siasa
 
Hatuli hivyo vitu jamaa democrasia gani isiyozingaitia maisha ya watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…