Bunge lichunguze mkataba wa Tsh bilioni 65 ilioingia Tanesco na kampuni ya Wahindi kuna harufu ya wizi

Bunge lichunguze mkataba wa Tsh bilioni 65 ilioingia Tanesco na kampuni ya Wahindi kuna harufu ya wizi

Kwa nini uongozi wote wa Tanesco ulifutwa kazi kuanzia Waziri Kalemani na Bodi yote na Mkurugenzi wake mkuu?!

Kwanini wakuu wa Idara wote walihamishiwa utumishi ili wapangiwe kazi zingine?!

Kwanini mara baada ya yote hayo kutendeka Tanesco kupitia safu mpya ya uongozi waliingia mkataba wa bilioni 65 Tsh kwa ghafla na kwa haraka isiyotarajiwa?!

Ni kweli mkataba ule wa mabilioni ya Tshs ulikuwa muhimu mno kuliko hizo pesa zingeelekezwa kwenye matumizi chanya ya kutatua changamoto lukuki zilikabiliao shirika hasa kwa kauli za Waziri husika kudai lipo tatizo la ukarabati wa miundombinu na zile fedha si zingeelekezwa kule?!

Kwa nini sasa huo mkataba na wahindi uingiwe ghafla namna ile na je Baraza la mawaziri lilitoa baraka za uingiwaji wake?!

Tunaomba Bunge letu liunde kamati maalum ya wabunge mahili kwenye kada hiyo ili iweze kuchunguza kwanza uhalali wa mkataba ule na nini faida zake.

Pia endapo ikabainika mkataba ule haukuwa na umuhimu wowote basi Bunge liiwajibishe Serikali kwalo.

Ndugai, kupitia uchunguzi wa Bunge kuhusu huo mkataba angalau kwa uchache wa imani wananchi wataanza kukuamini tena.
Naunga mkono hoja kwa nguvu zote hili lifanyike haraka sana iwezekanavyo
 
Wakat wa JPM uongoz wote wa tanesco ulifutwa kuanzia board, mkurugenz na management je uamuzi ulichungunzwa?
Bahati nzuri alisuka timu mzuri ndio maana baada ya kuondelewa matatizo ya kukatika hovyo umeme yamerudi
 
Kwanza wanaingiaje mikataba bila hii mikataba kujadiliwa bungeni hawa machoko hivi kwanini tunacheka nao sana mbwa hawa....?! [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]

Me napata hasira sana ujue....Maji hakuna, umeme mizinguo,, makodi na tozo ni juu halafu bado tunawachekea hawa nguruwe....
 
Kwa nini uongozi wote wa Tanesco ulifutwa kazi kuanzia Waziri Kalemani na Bodi yote na Mkurugenzi wake mkuu?!

Kwanini wakuu wa Idara wote walihamishiwa utumishi ili wapangiwe kazi zingine?!

Kwanini mara baada ya yote hayo kutendeka Tanesco kupitia safu mpya ya uongozi waliingia mkataba wa bilioni 65 Tsh kwa ghafla na kwa haraka isiyotarajiwa?!

Ni kweli mkataba ule wa mabilioni ya Tshs ulikuwa muhimu mno kuliko hizo pesa zingeelekezwa kwenye matumizi chanya ya kutatua changamoto lukuki zilikabiliao shirika hasa kwa kauli za Waziri husika kudai lipo tatizo la ukarabati wa miundombinu na zile fedha si zingeelekezwa kule?!

Kwa nini sasa huo mkataba na wahindi uingiwe ghafla namna ile na je Baraza la mawaziri lilitoa baraka za uingiwaji wake?!

Tunaomba Bunge letu liunde kamati maalum ya wabunge mahili kwenye kada hiyo ili iweze kuchunguza kwanza uhalali wa mkataba ule na nini faida zake.

Pia endapo ikabainika mkataba ule haukuwa na umuhimu wowote basi Bunge liiwajibishe Serikali kwalo.

Ndugai, kupitia uchunguzi wa Bunge kuhusu huo mkataba angalau kwa uchache wa imani wananchi wataanza kukuamini tena.
Naunga mkono hoja 100% mkuu!
 
Tanesco chini ya Waziri aliyepita walitangaza tender na kampuni zikaomba , Waziri wa Sasa amekuja kushuhudia utiaji sain na kazi ianze.Pesa imetoka Kwa ajili ya kuweka Sawa mifumo ya Tanesco so mlitaka naye aanze kutudanganya kama last phase? Sasa hapo mnamlaumu Kwa lipi?
Mkuu umetufungua macho, mleta hoja alitakiwa japo atupe sababu za kufikiria kuwa kuna harufu za rushwa.
Mimi nadhani angetulia akafanya fact findings ndio kujenga hoja komavu.
 
Kwa nini uongozi wote wa Tanesco ulifutwa kazi kuanzia Waziri Kalemani na Bodi yote na Mkurugenzi wake mkuu?!

Kwanini wakuu wa Idara wote walihamishiwa utumishi ili wapangiwe kazi zingine?!

Kwanini mara baada ya yote hayo kutendeka Tanesco kupitia safu mpya ya uongozi waliingia mkataba wa bilioni 65 Tsh kwa ghafla na kwa haraka isiyotarajiwa?!

Ni kweli mkataba ule wa mabilioni ya Tshs ulikuwa muhimu mno kuliko hizo pesa zingeelekezwa kwenye matumizi chanya ya kutatua changamoto lukuki zilikabiliao shirika hasa kwa kauli za Waziri husika kudai lipo tatizo la ukarabati wa miundombinu na zile fedha si zingeelekezwa kule?!

Kwa nini sasa huo mkataba na wahindi uingiwe ghafla namna ile na je Baraza la mawaziri lilitoa baraka za uingiwaji wake?!

Tunaomba Bunge letu liunde kamati maalum ya wabunge mahili kwenye kada hiyo ili iweze kuchunguza kwanza uhalali wa mkataba ule na nini faida zake.

Pia endapo ikabainika mkataba ule haukuwa na umuhimu wowote basi Bunge liiwajibishe Serikali kwalo.

Ndugai, kupitia uchunguzi wa Bunge kuhusu huo mkataba angalau kwa uchache wa imani wananchi wataanza kukuamini tena.
Kwani Tanzania kuna bunge ?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Makamba January ni tatizo linalojitegemea, huyu mtu hafai hata kuwa balozi wa serikali ya mtaa wowote nchi hii, hana sifa ya kuwa kiongozi wa serikali ni vile tu wanaangalia kujuana.

Hiyo bodi aliteua members ambao wanajuana, mostly wakiwa marafiki zake, akiamini fika uwepo wao hautakuwa kikwazo kwake kwenye kufanya ujanja wake, huyu mtu anatafuta pesa za kuwa rais wa kubebwa.
Makamba analipwa fadhira ya kufanya kazi na Kikwete, hakuna la maana hapo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Wafuatilie haraka kabla mafisadi hayajaota mizizi......
 
Tanesco chini ya Waziri aliyepita walitangaza tender na kampuni zikaomba , Waziri wa Sasa amekuja kushuhudia utiaji sain na kazi ianze.Pesa imetoka Kwa ajili ya kuweka Sawa mifumo ya Tanesco so mlitaka naye aanze kutudanganya kama last phase? Sasa hapo mnamlaumu Kwa lipi?
How do we know? Wekeni ushahidi wa tangazo la zabuni. Tangazo la Zabuni halijawahi kuwa siri.
 
Tanesco chini ya Waziri aliyepita walitangaza tender na kampuni zikaomba , Waziri wa Sasa amekuja kushuhudia utiaji sain na kazi ianze.Pesa imetoka Kwa ajili ya kuweka Sawa mifumo ya Tanesco so mlitaka naye aanze kutudanganya kama last phase? Sasa hapo mnamlaumu Kwa lipi?
Unayemtetea sasa kama vile ni mwasiasa mpya nchi hii. Acheni kufisadi nchi.
 
Kwa nini uongozi wote wa Tanesco ulifutwa kazi kuanzia Waziri Kalemani na Bodi yote na Mkurugenzi wake mkuu?!

Kwanini wakuu wa Idara wote walihamishiwa utumishi ili wapangiwe kazi zingine?!

Kwanini mara baada ya yote hayo kutendeka Tanesco kupitia safu mpya ya uongozi waliingia mkataba wa bilioni 65 Tsh kwa ghafla na kwa haraka isiyotarajiwa?!

Ni kweli mkataba ule wa mabilioni ya Tshs ulikuwa muhimu mno kuliko hizo pesa zingeelekezwa kwenye matumizi chanya ya kutatua changamoto lukuki zilikabiliao shirika hasa kwa kauli za Waziri husika kudai lipo tatizo la ukarabati wa miundombinu na zile fedha si zingeelekezwa kule?!

Kwa nini sasa huo mkataba na wahindi uingiwe ghafla namna ile na je Baraza la mawaziri lilitoa baraka za uingiwaji wake?!

Tunaomba Bunge letu liunde kamati maalum ya wabunge mahili kwenye kada hiyo ili iweze kuchunguza kwanza uhalali wa mkataba ule na nini faida zake.

Pia endapo ikabainika mkataba ule haukuwa na umuhimu wowote basi Bunge liiwajibishe Serikali kwalo.

Ndugai, kupitia uchunguzi wa Bunge kuhusu huo mkataba angalau kwa uchache wa imani wananchi wataanza kukuamini tena.
Bunge gani unazungumzia?
 
Sukuma gang kazini nyie buku ngapi mnajua ? Jirani Cheng na zama nimepita......mngetulia tu Mpare heshima ndogo iliobakia hiyo vita ya keyboard hutaweza
Na wewe umo nini kwenye hayo ma 10%
Kwani ikijulikana hakuna ufisadi shida iko wapi kama mnaemtetea mnajua hajaharibu?
 
Back
Top Bottom