Bunge lingekuwa na akina Luhaga Mpina japo 50 tu, nchi ingepiga hatua kubwa sana

Bunge lingekuwa na akina Luhaga Mpina japo 50 tu, nchi ingepiga hatua kubwa sana

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Kinachotuponza sisi watanzania wengi ni unafiki na ukigeugeu

Nashukuru Mpina toka awe mbunge ana msimamo usiobadilika.

Huyu bwana anatimiza wajibu wa bunge kusimamia serikali. kwelikweli

Sijaanza kumsikia leo toka Enzo Za JK huyu bwana Yupo straight hamung'unyi maneno.

.Pamoja na Chuki na mizengwe ya wenzake hajatetereka Hata kidogo. Hongera Mpina wengine wamebaki watu wa ndio mzee na kulalamika pembeni.

UKWELI UTAKUWEKA HURU
 
Kinachotuponza sisi watanzania wengi ni unafiki na ukigeugeu

Nashukuru Mpina toka awe mbunge ana msimamo usiobadilika.

Huyu bwana anatimiza wajibu wa bunge kusimamia serikali. kwelikweli

Sijaanza kumsikia leo toka Enzo Za JK huyu bwana Yupo straight hamung'unyi maneno.

.Pamoja na Chuki na mizengwe ya wenzake hajatetereka Hata kidogo. Hongera Mpina wengine wamebaki watu wa ndio mzee na kulalamika pembeni.

UKWELI UTAKUWEKA HURU
Luhanga mpina una ID ngapi mzee baba?
 
Hivi sisi watanzania hatuwezi kuandamana kushinikiza serikali kuwachukulia atua viongoz wote waliotajwa kwenye Report ya CAG?
 
Kinachotuponza sisi watanzania wengi ni unafiki na ukigeugeu

Nashukuru Mpina toka awe mbunge ana msimamo usiobadilika.

Huyu bwana anatimiza wajibu wa bunge kusimamia serikali. kwelikweli

Sijaanza kumsikia leo toka Enzo Za JK huyu bwana Yupo straight hamung'unyi maneno.

.Pamoja na Chuki na mizengwe ya wenzake hajatetereka Hata kidogo. Hongera Mpina wengine wamebaki watu wa ndio mzee na kulalamika pembeni.

UKWELI UTAKUWEKA HURU
Talkers are never doers.

Porojo na vitendo ni vitu tofauti.
 
Mpina anapayuka tu. Akitaka kuvuka mstari huwa CCM ina namna ya kumweka sawa.
 
Back
Top Bottom