Bunge lingekuwa na akina Luhaga Mpina japo 50 tu, nchi ingepiga hatua kubwa sana

Bunge lingekuwa na akina Luhaga Mpina japo 50 tu, nchi ingepiga hatua kubwa sana

Kinachotuponza sisi watanzania wengi ni unafiki na ukigeugeu

Nashukuru Mpina toka awe mbunge ana msimamo usiobadilika.

Huyu bwana anatimiza wajibu wa bunge kusimamia serikali. kwelikweli

Sijaanza kumsikia leo toka Enzo Za JK huyu bwana Yupo straight hamung'unyi maneno.

.Pamoja na Chuki na mizengwe ya wenzake hajatetereka Hata kidogo. Hongera Mpina wengine wamebaki watu wa ndio mzee na kulalamika pembeni.

UKWELI UTAKUWEKA HURU
Amekosa kuramba Asali
 
Mpina huyu huyu ambae kipindi cha jiwe alikua anipima urefu wa samaki kwa rula jikoni au Mpina gani mpya, kama ni huyu ninae mjua Mimi hata umloweke kwenye pipa la mafuta atakua yule yule
 
Siku tukiacha kupambana na watu tukajikita kwenye hoja za watu, huenda tofaut ya kusoma na kutosoma ikaleta suluhu ya wapi tunataka kufika.
Tukubaliane tu, mpina anajua kujenga hoja!
Na ukweli ni kwamba ccm ina mtaji mkubwa wa wasomi, wataalam, wajuvi, wabobezi, wakongwe, wazoefu, aluwatani, n.k
LAKINI:
1. UZALENDO UMEKUFA KABSA!
2. NCHI IKO MIKONONI MWA GENGE DOGO IMARA.
 
Kinachotuponza sisi watanzania wengi ni unafiki na ukigeugeu

Nashukuru Mpina toka awe mbunge ana msimamo usiobadilika.

Huyu bwana anatimiza wajibu wa bunge kusimamia serikali. kwelikweli

Sijaanza kumsikia leo toka Enzo Za JK huyu bwana Yupo straight hamung'unyi maneno.

.Pamoja na Chuki na mizengwe ya wenzake hajatetereka Hata kidogo. Hongera Mpina wengine wamebaki watu wa ndio mzee na kulalamika pembeni.

UKWELI UTAKUWEKA HURU
Kwa hiyo unataka kusema kipenzi cha wanyonge, JPM, mtu makini alituinguzia magarasha tupu kule Bungeni?
 
Siku tukiacha kupambana na watu tukajikita kwenye hoja za watu, huenda tofaut ya kusoma na kutosoma ikaleta suluhu ya wapi tunataka kufika.
Tukubaliane tu, mpina anajua kujenga hoja!
Na ukweli ni kwamba ccm ina mtaji mkubwa wa wasomi, wataalam, wajuvi, wabobezi, wakongwe, wazoefu, aluwatani, n.k
LAKINI:
1. UZALENDO UMEKUFA KABSA!
2. NCHI IKO MIKONONI MWA GENGE DOGO IMARA.
Jiwe alituingiazia wanafiki na wachumia tumbo watupu kule Bungeni?
 
Back
Top Bottom