Amekosa kuramba AsaliKinachotuponza sisi watanzania wengi ni unafiki na ukigeugeu
Nashukuru Mpina toka awe mbunge ana msimamo usiobadilika.
Huyu bwana anatimiza wajibu wa bunge kusimamia serikali. kwelikweli
Sijaanza kumsikia leo toka Enzo Za JK huyu bwana Yupo straight hamung'unyi maneno.
.Pamoja na Chuki na mizengwe ya wenzake hajatetereka Hata kidogo. Hongera Mpina wengine wamebaki watu wa ndio mzee na kulalamika pembeni.
UKWELI UTAKUWEKA HURU
Kwa hiyo unataka kusema kipenzi cha wanyonge, JPM, mtu makini alituinguzia magarasha tupu kule Bungeni?Kinachotuponza sisi watanzania wengi ni unafiki na ukigeugeu
Nashukuru Mpina toka awe mbunge ana msimamo usiobadilika.
Huyu bwana anatimiza wajibu wa bunge kusimamia serikali. kwelikweli
Sijaanza kumsikia leo toka Enzo Za JK huyu bwana Yupo straight hamung'unyi maneno.
.Pamoja na Chuki na mizengwe ya wenzake hajatetereka Hata kidogo. Hongera Mpina wengine wamebaki watu wa ndio mzee na kulalamika pembeni.
UKWELI UTAKUWEKA HURU
Jiwe alituingiazia wanafiki na wachumia tumbo watupu kule Bungeni?Siku tukiacha kupambana na watu tukajikita kwenye hoja za watu, huenda tofaut ya kusoma na kutosoma ikaleta suluhu ya wapi tunataka kufika.
Tukubaliane tu, mpina anajua kujenga hoja!
Na ukweli ni kwamba ccm ina mtaji mkubwa wa wasomi, wataalam, wajuvi, wabobezi, wakongwe, wazoefu, aluwatani, n.k
LAKINI:
1. UZALENDO UMEKUFA KABSA!
2. NCHI IKO MIKONONI MWA GENGE DOGO IMARA.
kwani kuna ID nyingine unazozijua? Kwa hiyo anajipigia promoLuhanga mpina una ID ngapi mzee baba?
Mahakama yanahusu nini tena? Jikite kwenye mada.Kauli zako hizi znaweza kuchukuliwa kama uthibutisho kamili mahakamani?
Sizihitaji.Itakuwa wamesahau kukupa zile dawa zako za masaa
Mahakama yanahusu nini tena? Jikite kwenye mada.
Ya mtu mmoja hawezi toa kibari.Unamuuliza nani, si uanze wewe?😂
kibari=kibali.Ya mtu mmoja hawezi toa kibari.