A very strange take! Unafanya kama vile vifo vya wanadamu ni kitu kinachopangwa na mwanadamu yeyote. Umesahau kuwa matatizo yaliyoko katika mirathi ni pale mwenye mali kufa bila kuwepo na wosia. Mada ilikuwa ni serikali kuchukua mali za marehemu eti TU kwa kuwa hakukuwa na wosia. Do not pivot na kuleta mini topics. Sheria inayopendekezwa isaidie kwa kutambua madeni kwa watu na taasisi, madeni ya watu na taasisi kwa marehemu, haki ya wategemezi wake wa msingi (primary dependents) ili kumaliza matatizo. Hatuwezi kuwa na serikali inayomiliki mali za marehemu huku wanaostahili wako!