Bunge na ubinafsishaji wa Bandari ya Dar es Salaam, huu ni ufisadi mkubwa

Bunge na ubinafsishaji wa Bandari ya Dar es Salaam, huu ni ufisadi mkubwa

Sisi Watanzania hatuwezi kujisimamia wenyewe ni WEZI, WABINAFSI, ROHO MBAYA na TUNAPENDA MILOLONGO MIREFU BILA SABABU.

Dunia ya sasa inakwenda spidi sana na bandari ni sehemu muhimu sana ya kuharakisha maendeleo, sasa sisi tunafikiria kujinufaisha binafsi.

Mimi naunga mkono wazo la Serikali la kubinafsisha bandari.
Gas ya Mtwara iko wapi?
 
Kwani watanzania hatuwezi kuendesha taasisi zetu hadi tumpe mwarabu, baada ya hapo tumpe na shirika la ndege halafu sisi tukae kijiweni kunywa gahawa na kashata, siyo?
Tunaweza tena juu na zaidi. Lakini itakua kazi ngumu, hasa mwanzoni.

Kwa nini haifanyiki? - Kufanya wenyewe kwa manufaa ya Taifa sio Nia ya Watawala.

  • Hawapendi kazi ngumu/zenye kutumia akili sana.
  • Watawala na makundi yao hunufaika sana ni hii Mikataba.
 
Ile ya bagamoyo itajengwa au ndio itasimama.
Kama vipi ni bora apewe fukwe ya bagamoyo ajenge upya.
 
Bunge letu ni taasisi na muhimili wa kidola usiopaswa kuegemea mihimili mingine ya kidola katika taifa.

Kwa nini Bunge la JMT lielekezwe kubariki badala ya kusimamia (dhibiti) na kutoa mwongozo (rule of procedure) kuhusu namna ya serikali kuingia mikataba kama huu wa TPA?

Wadau tunaamini Bunge halipaswi kuwa reduced to that level of a government department endorsing the latter's contracts deals already entered by parties.

We would rather have seen the parliament pushing for disclosure of the said contracts, not the contrary.

Kama mkataba haupo Bungeni/hadharani, Bunge linaridhia nini?

Pili, ni jambo la kushangaza kuona Tanzania inaendelea kuwa taifa lisilojifunza. Kama ilivyokuwa wakati wa ghiliba za ABSA kurubuni serikali (na watanzania kwa ujumla) kisha kupewa NBC (1997) bure, mtindo huu umejirudia miaka 26 baadaye, ukitumiwa na Falme (Emirate) ya Dubai ikishirikiana na Kampuni ya DP World (DPW) kuchukua mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA) kwa njia ya kuingia Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding/MoU).

Tujuavyo sisi, ni kwa njia hii ya MoU, kama ilivyokuwa kwa NBC, TPA inaondoka pasipo waarabu hawa kulipa hata senti moja.

Wengi wa watanzania waliolilia NBC, wakiongozwa na Mwl. Nyerere, wamekwishafariki, TPA italiliwa na nani yarabi?

Ushauri kwa Wabunge Utaalam na teknolojia ni variables zinazonunuliwa sokoni. Core economic value ya TPA ni proximity ya nchi (geoeconomic advantage) katika bahari ya Hindi na maziwa Makuu ya Afrika. Hiyo advantage ndio inaitofautisha Tanzania na nchi nyingine. Tukiisha kuipoteza thamani hii we are worthless.

Option bora ya kuimarisha ufanisi TPA inatakiwa kwanza, kubadirisha management recruitment approach ili key management positions zote zijazwe kwa kuzingatia vigezo vya umahiri na matokeo ya ushindani katika soko la kazi, bila kujali iwapo mtendaji mkuu na team yake ya menejimenti ni raia wa watanzania au wageni, provided wameshindana na kudhihirisha mahiri wa kusimamia uendeshaji wa kazi za TPA.

Pili, mfumo na muundo wa TPA uwekwe bayana kuwa CEO na team yake wawe na mamlaka ya kupendekeza, kwa mujibu wa sheria ya manunuzi, kununua na kutumia teknolojia na vifaa (machinery & equipment) vya kuendesha bandari kwa ufanisi pasipo kuingiliwa na mamlaka za serikali.

Aidha, kama serikali inaona kuna umuhimu wa kubinafsisha TPA basi iweke na kutangaza utaratibu wa kuuza hisa za TPA kwenye soko la mitaji la Dar es Salaam (DSE) - hata cross-floating of shares - ambapo serikali inaweza ku-retain 51% ya hisa, kisha 49% ya hisa za mtaji wa TPA zikawa floated through IPO.

We need transparency in the governance of our national assets, properties and resources not otherwise.
Kwa nini wafanyakazi wa bandari wamechanganyikiwa sana bandari kubinafsishwa? Kwani mlikuwa manaiba sana?
 
Sisi Watanzania hatuwezi kujisimamia wenyewe ni WEZI, WABINAFSI, ROHO MBAYA na TUNAPENDA MILOLONGO MIREFU BILA SABABU.

Dunia ya sasa inakwenda spidi sana na bandari ni sehemu muhimu sana ya kuharakisha maendeleo, sasa sisi tunafikiria kujinufaisha binafsi.

Mimi naunga mkono wazo la Serikali la kubinafsisha bandari.
Acha kupotosha acha kutukana watanzania hatakama sio mtanzania,mizigo yote ikifika badandari TRA ndio wakwanza kukusanya pesa zao Kisha wanawachia TPA nao wanakusanya pesa zao ukishindwa kulipa kodi au kalipa pesa ya TRA ukashindwa kulipa storge mzigo wako unanadishwq na pesa inangia kwenye account ya TPA sasa watanzania wameiba nini ebutu tueleweshe watanzania wanaibiaje bandari?
 
Bunge letu ni taasisi na muhimili wa kidola usiopaswa kuegemea mihimili mingine ya kidola katika taifa.

Kwa nini Bunge la JMT lielekezwe kubariki badala ya kusimamia (dhibiti) na kutoa mwongozo (rule of procedure) kuhusu namna ya serikali kuingia mikataba kama huu wa TPA?

Wadau tunaamini Bunge halipaswi kuwa reduced to that level of a government department endorsing the latter's contracts deals already entered by parties.

We would rather have seen the parliament pushing for disclosure of the said contracts, not the contrary.

Kama mkataba haupo Bungeni/hadharani, Bunge linaridhia nini?

Pili, ni jambo la kushangaza kuona Tanzania inaendelea kuwa taifa lisilojifunza. Kama ilivyokuwa wakati wa ghiliba za ABSA kurubuni serikali (na watanzania kwa ujumla) kisha kupewa NBC (1997) bure, mtindo huu umejirudia miaka 26 baadaye, ukitumiwa na Falme (Emirate) ya Dubai ikishirikiana na Kampuni ya DP World (DPW) kuchukua mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA) kwa njia ya kuingia Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding/MoU).

Tujuavyo sisi, ni kwa njia hii ya MoU, kama ilivyokuwa kwa NBC, TPA inaondoka pasipo waarabu hawa kulipa hata senti moja.

Wengi wa watanzania waliolilia NBC, wakiongozwa na Mwl. Nyerere, wamekwishafariki, TPA italiliwa na nani yarabi?

Ushauri kwa Wabunge Utaalam na teknolojia ni variables zinazonunuliwa sokoni. Core economic value ya TPA ni proximity ya nchi (geoeconomic advantage) katika bahari ya Hindi na maziwa Makuu ya Afrika. Hiyo advantage ndio inaitofautisha Tanzania na nchi nyingine. Tukiisha kuipoteza thamani hii we are worthless.

Option bora ya kuimarisha ufanisi TPA inatakiwa kwanza, kubadirisha management recruitment approach ili key management positions zote zijazwe kwa kuzingatia vigezo vya umahiri na matokeo ya ushindani katika soko la kazi, bila kujali iwapo mtendaji mkuu na team yake ya menejimenti ni raia wa watanzania au wageni, provided wameshindana na kudhihirisha mahiri wa kusimamia uendeshaji wa kazi za TPA.

Pili, mfumo na muundo wa TPA uwekwe bayana kuwa CEO na team yake wawe na mamlaka ya kupendekeza, kwa mujibu wa sheria ya manunuzi, kununua na kutumia teknolojia na vifaa (machinery & equipment) vya kuendesha bandari kwa ufanisi pasipo kuingiliwa na mamlaka za serikali.

Aidha, kama serikali inaona kuna umuhimu wa kubinafsisha TPA basi iweke na kutangaza utaratibu wa kuuza hisa za TPA kwenye soko la mitaji la Dar es Salaam (DSE) - hata cross-floating of shares - ambapo serikali inaweza ku-retain 51% ya hisa, kisha 49% ya hisa za mtaji wa TPA zikawa floated through IPO.

We need transparency in the governance of our national assets, properties and resources not otherwise.
Tanzania ya ulalamishi 🤣🤣

Ni aibu kubwa ,Libandari halina Ufanisi over years watu wanatumia kama Chimbo ila still.kuna watu wanaona inafaa kubakia hivihibi..

Hapa Kuna mawili aidha wanaonufaika wanatunga porojo za kisengerema Ili waendee kuchuma na pili Kuna wale wanaopinga hata hawaelewi wanaopinga nini hasa..

Serikali hakuna kurudi nyuma,Kuna miradi Mingi ya Umma imegeuzwa machimbo ya kunufaika watu wachache ,Bora twende Kwa staili hii hii.
 
Naona Tanzania imevamiwa na Wazanzibar,yule mwehu alisema mtanikumbuka.
Tanzania ya ulalamishi 🤣🤣

Ni aibu kubwa ,Libandari halina Ufanisi over years watu wanatumia kama Chimbo ila still.kuna watu wanaona inafaa kubakia hivihibi..

Hapa Kuna mawili aidha wanaonufaika wanatunga porojo za kisengerema Ili waendee kuchuma na pili Kuna wale wanaopinga hata hawaelewi wanaopinga nini hasa..

Serikali hakuna kurudi nyuma,Kuna miradi Mingi ya Umma imegeuzwa machimbo ya kunufaika watu wachache ,Bora twende Kwa staili hii hii.
 
Naona Tanzania imevamiwa na Wazanzibar,yule mwehu alisema mtanikumbuka.
Wewe ndio kamkumbuke mm sijawahi na haitokuja kutokea..

Bora Wazanzibar wavamie tuu kuliko nyie wapuuzi wachache mnaonufaika na Bandari yaani ni kama.mali ya urithi Kila mtu achukie chake
 
Hayo mashirika sahz yapo chini yetu Nini kinaendelea....Yale matangazo ya posta na simu yalipotea baada ya kutoka muwekazaji
Hayo yalirudi serikalini baada ya kufilisika na mwekezaji kuondoka. Hapo unapoona yanachechemea ni bora kuliko yalivyokua chini ya hao wawekezaji, sijui kama unakumbuka vizuri kilichoikumba trc, au atcl, au hata tanesco

Ttcl unasema ilikuaje? Sijakuelewa
 
Sasa ndo ipo hivyo kwenye huo mkataba wanao taka kusaini
Mimi sina shida kama mkataba utapitia Bungeni.
Mimi nilikuwa na shida na mikataba yote iliyokuwa haipitii Bungeni, especially wakati wa awamu ya tatu; awamu ambayo ndiyo hasa iliasisi ubinafsishaji
 
Bunge letu ni taasisi na muhimili wa kidola usiopaswa kuegemea mihimili mingine ya kidola katika taifa.

Kwa nini Bunge la JMT lielekezwe kubariki badala ya kusimamia (dhibiti) na kutoa mwongozo (rule of procedure) kuhusu namna ya serikali kuingia mikataba kama huu wa TPA?

Wadau tunaamini Bunge halipaswi kuwa reduced to that level of a government department endorsing the latter's contracts deals already entered by parties.

We would rather have seen the parliament pushing for disclosure of the said contracts, not the contrary.

Kama mkataba haupo Bungeni/hadharani, Bunge linaridhia nini?

Pili, ni jambo la kushangaza kuona Tanzania inaendelea kuwa taifa lisilojifunza. Kama ilivyokuwa wakati wa ghiliba za ABSA kurubuni serikali (na watanzania kwa ujumla) kisha kupewa NBC (1997) bure, mtindo huu umejirudia miaka 26 baadaye, ukitumiwa na Falme (Emirate) ya Dubai ikishirikiana na Kampuni ya DP World (DPW) kuchukua mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA) kwa njia ya kuingia Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding/MoU).

Tujuavyo sisi, ni kwa njia hii ya MoU, kama ilivyokuwa kwa NBC, TPA inaondoka pasipo waarabu hawa kulipa hata senti moja.

Wengi wa watanzania waliolilia NBC, wakiongozwa na Mwl. Nyerere, wamekwishafariki, TPA italiliwa na nani yarabi?

Ushauri kwa Wabunge Utaalam na teknolojia ni variables zinazonunuliwa sokoni. Core economic value ya TPA ni proximity ya nchi (geoeconomic advantage) katika bahari ya Hindi na maziwa Makuu ya Afrika. Hiyo advantage ndio inaitofautisha Tanzania na nchi nyingine. Tukiisha kuipoteza thamani hii we are worthless.

Option bora ya kuimarisha ufanisi TPA inatakiwa kwanza, kubadirisha management recruitment approach ili key management positions zote zijazwe kwa kuzingatia vigezo vya umahiri na matokeo ya ushindani katika soko la kazi, bila kujali iwapo mtendaji mkuu na team yake ya menejimenti ni raia wa watanzania au wageni, provided wameshindana na kudhihirisha mahiri wa kusimamia uendeshaji wa kazi za TPA.

Pili, mfumo na muundo wa TPA uwekwe bayana kuwa CEO na team yake wawe na mamlaka ya kupendekeza, kwa mujibu wa sheria ya manunuzi, kununua na kutumia teknolojia na vifaa (machinery & equipment) vya kuendesha bandari kwa ufanisi pasipo kuingiliwa na mamlaka za serikali.

Aidha, kama serikali inaona kuna umuhimu wa kubinafsisha TPA basi iweke na kutangaza utaratibu wa kuuza hisa za TPA kwenye soko la mitaji la Dar es Salaam (DSE) - hata cross-floating of shares - ambapo serikali inaweza ku-retain 51% ya hisa, kisha 49% ya hisa za mtaji wa TPA zikawa floated through IPO.

We need transparency in the governance of our national assets, properties and resources not otherwise.
Huyu Bibi alivyoanzaga safari zake za mara kwa mara kwenda kwa Wajomba zake Uarabuni,nikajua lazima tutakuja kupigwa na kitu Kizito kichwani.
Kuna kipindi niliona kawekwa picha yake kwenye lile jengo refu pale Dubai,nikajua hapa tayari tushauzwa!
 
"Bunge kuwa reduced to that level of a government department"

Ukweli ni kwamba, bunge letu hata sio kama department ya serikali, bunge letu ni chawa wa serikali, wanasesere, house boys and girls wa serikali.
Kwanza inakuaje Spika wa Bunge anakuwa Mjumbe wa kamati kuu ya CCM.Kwaiyo na yeye anapewa maagizo na Mwenyekiti wa CCM?
Lakini kitu kingine kinacho nishangaza, kwanini Katibu wa Bunge anateuliwa na Rais ambaye ni Mkuu wa Muhimili ambao unapaswa kusumamiwa na Bunge?
Hivi ni nini Mantiki ya kuwa na mfuko wa Jimbo ilihali tayari serikali imetenga bajeti ya kuendesha TAMISEMI na Halmashauri na Mikoa yote?
 
Unalinganisha nchi ya wanaojielewa na Tanzania huku ambako wizo na ufisadi ukitokea adhavu yake ni kuitwa stupid? US wanafanya hayo kwa kuwa wapo vizuri kila eneo na sheria zao ni ngumu kwa mtu kuhujumu au kuiba
Huwezi ukabakia na akili ile ile ya kulalama ukitegemea maendeleo ya aina yoyote. SSH amejaribu menejimenti mbili ndani ya miaka yake miwili ya urais, hajaona kipya chochote.

Ameona ni muda wa kuchukua risk kubwa kama kweli tunataka kufaidika na bandari yetu.
 
Back
Top Bottom