Bunge na ubinafsishaji wa Bandari ya Dar es Salaam, huu ni ufisadi mkubwa

Bunge na ubinafsishaji wa Bandari ya Dar es Salaam, huu ni ufisadi mkubwa

Bunge letu ni taasisi na muhimili wa kidola usiopaswa kuegemea mihimili mingine ya kidola katika taifa.

Kwa nini Bunge la JMT lielekezwe kubariki badala ya kusimamia (dhibiti) na kutoa mwongozo (rule of procedure) kuhusu namna ya serikali kuingia mikataba kama huu wa TPA?

Wadau tunaamini Bunge halipaswi kuwa reduced to that level of a government department endorsing the latter's contracts deals already entered by parties.

We would rather have seen the parliament pushing for disclosure of the said contracts, not the contrary.

Kama mkataba haupo Bungeni/hadharani, Bunge linaridhia nini?

Pili, ni jambo la kushangaza kuona Tanzania inaendelea kuwa taifa lisilojifunza. Kama ilivyokuwa wakati wa ghiliba za ABSA kurubuni serikali (na watanzania kwa ujumla) kisha kupewa NBC (1997) bure, mtindo huu umejirudia miaka 26 baadaye, ukitumiwa na Falme (Emirate) ya Dubai ikishirikiana na Kampuni ya DP World (DPW) kuchukua mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA) kwa njia ya kuingia Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding/MoU).

Tujuavyo sisi, ni kwa njia hii ya MoU, kama ilivyokuwa kwa NBC, TPA inaondoka pasipo waarabu hawa kulipa hata senti moja.

Wengi wa watanzania waliolilia NBC, wakiongozwa na Mwl. Nyerere, wamekwishafariki, TPA italiliwa na nani yarabi?

Ushauri kwa Wabunge Utaalam na teknolojia ni variables zinazonunuliwa sokoni. Core economic value ya TPA ni proximity ya nchi (geoeconomic advantage) katika bahari ya Hindi na maziwa Makuu ya Afrika. Hiyo advantage ndio inaitofautisha Tanzania na nchi nyingine. Tukiisha kuipoteza thamani hii we are worthless.

Option bora ya kuimarisha ufanisi TPA inatakiwa kwanza, kubadirisha management recruitment approach ili key management positions zote zijazwe kwa kuzingatia vigezo vya umahiri na matokeo ya ushindani katika soko la kazi, bila kujali iwapo mtendaji mkuu na team yake ya menejimenti ni raia wa watanzania au wageni, provided wameshindana na kudhihirisha mahiri wa kusimamia uendeshaji wa kazi za TPA.

Pili, mfumo na muundo wa TPA uwekwe bayana kuwa CEO na team yake wawe na mamlaka ya kupendekeza, kwa mujibu wa sheria ya manunuzi, kununua na kutumia teknolojia na vifaa (machinery & equipment) vya kuendesha bandari kwa ufanisi pasipo kuingiliwa na mamlaka za serikali.

Aidha, kama serikali inaona kuna umuhimu wa kubinafsisha TPA basi iweke na kutangaza utaratibu wa kuuza hisa za TPA kwenye soko la mitaji la Dar es Salaam (DSE) - hata cross-floating of shares - ambapo serikali inaweza ku-retain 51% ya hisa, kisha 49% ya hisa za mtaji wa TPA zikawa floated through IPO.

We need transparency in the governance of our national assets, properties and resources not otherwise.
Watanzania kamwe hawaimariki
 
Serikali yetu imejaa wezi na wapigaji wa kila aina pale Bandari. Kama suala la NBC lilikuja na majibu tofauti na matarajio yetu sio kigezo cha kuwanyima hawa jamaa wa Dubai wakaendesha bandari yetu.

Huko USA bandari nyingi tu zinaendeshwa na makampuni ya kukodisha, sisi tuna kipi chenye kuwazidi hao wamarekani kiuchumi na katika suala zima la tija itakayopatikana hapo bandarini?.

Kama mleta mada hatumiwi bila ya kujijua basi hana uwezo wa kutazama hasara tunayopata kama Taifa kwa bandari kuendelea kuendeshwa na kundi la wapigaji.

Maana uhalisia ni kwamba wapigaji huwa wanabadilishwa kadri ya awamu mpya ya uongozi inapoingia madarakani, madudu ni yale yale ya miaka yote.
Hii mkuu usimamizi na uthibiti wa Taifa La Marekani unaujuaa??
Tanzania Ina kipi Cha kujilinganisha na Taifa kubwa kama la Marekani wale jamaa hatu waliopiga siyo wa kujilinganisha nao,
Kingine unajua mikataba ya USA na hayo Makumpuni makubaliano yao ni yapi?
Ndo maan huwa nakubali wa Africa sisi wenyew ndo wachawi wa maendeleo kwa sababu ya tamaa zetu tu Leo mwarabu hata akiwekeza hapo akataoa Hela za maana au faida kubwa watakao nufaika ni hao hao waliopo serikarin kwa sababu faida ambayo itakua inazalishwa watakuwa wanakula wao kwa wao na kugawana pasipo kujali wananchi wa kipato Cha so ni it's better waiache bandari hata kma Kuna wezi humo lakini ipo siku vizazi vyetu vitakuja vitaisimamia na wez watakomeshwa kuliko kuiza Alfu tukaja tukarudi utumwani.

Hata Nyerere Kipindi tumepata uhuru wazungu walitaka kuchukua mali waondoke nazo lakin Nyerere aliwambia waziache mpka siku watanganyika watakapo PATA Elimu ya kuvitumia watafaidka so Kwann sisi tusivitunze kwa ajili ya kesho Leo unamkabidhi mwarabu bandari, umekabidhi madini kwa wazungu, umekabidhi mbuga kwa wazungu, kwa maana Halisi tunajitengenezea Hali ya Kuja Kuwa wakimbizia au watumwa hata kama siyo Leo lakin vizaz vyetu vitakuja huko mfano mzuri angalia Congo DRC.
 
Hii mkuu usimamizi na uthibiti wa Taifa La Marekani unaujuaa??
Tanzania Ina kipi Cha kujilinganisha na Taifa kubwa kama la Marekani wale jamaa hatu waliopiga siyo wa kujilinganisha nao,
Kingine unajua mikataba ya USA na hayo Makumpuni makubaliano yao ni yapi?
Ndo maan huwa nakubali wa Africa sisi wenyew ndo wachawi wa maendeleo kwa sababu ya tamaa zetu tu Leo mwarabu hata akiwekeza hapo akataoa Hela za maana au faida kubwa watakao nufaika ni hao hao waliopo serikarin kwa sababu faida ambayo itakua inazalishwa watakuwa wanakula wao kwa wao na kugawana pasipo kujali wananchi wa kipato Cha so ni it's better waiache bandari hata kma Kuna wezi humo lakini ipo siku vizazi vyetu vitakuja vitaisimamia na wez watakomeshwa kuliko kuiza Alfu tukaja tukarudi utumwani.

Hata Nyerere Kipindi tumepata uhuru wazungu walitaka kuchukua mali waondoke nazo lakin Nyerere aliwambia waziache mpka siku watanganyika watakapo PATA Elimu ya kuvitumia watafaidka so Kwann sisi tusivitunze kwa ajili ya kesho Leo unamkabidhi mwarabu bandari, umekabidhi madini kwa wazungu, umekabidhi mbuga kwa wazungu, kwa maana Halisi tunajitengenezea Hali ya Kuja Kuwa wakimbizia au watumwa hata kama siyo Leo lakin vizaz vyetu vitakuja huko mfano mzuri angalia Congo DRC.
Swala sio kuchukua mali zetu swala ni uzembe wetu sisi wenyewe, suala ni incompetence yetu wenyewe.

Hakuna mwenye nia ya kuchukua utajiri wako, cha muhimu ni huo utajiri unakufaidisha vipi wewe na wote wanaokuhusu.
 
Swala sio kuchukua mali zetu swala ni uzembe wetu sisi wenyewe, suala ni incompetence yetu wenyewe.

Hakuna mwenye nia ya kuchukua utajiri wako, cha muhimu ni huo utajiri unakufaidisha vipi wewe na wote wanaokuhusu.
Na ndo maana tunapiga kelele Kuwa hatutaki wachukue mali zetu hao wanaitaka kuziuza mali zetu tunawapinga kwa umoja tunaweza kulinda mali zetu na siyo kuunga mkono huo uporaji
 
Yani watanzania sijui tunashida gani kwenye bongo zetu yani mtu msomi kabisa unatoka na kulishauri bunge,hivi hawa wabunge wa ccm wanaweza kugomea alichopitisha mwenyekiti wao?
 
Back
Top Bottom