Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,013
laiti ungejua!! Khaaaa kumbe ndo maana hujielew, kumbe naongea na mfu!! Pole sana, darasa lako ulilokimbia huwezi linganisha na langu, ndo maana nakushinda kwenye hoja, unatapatapa kama mfa maji mpaka unaanza kuingiza mambo mara ya mpira, mara form ngapi, mara huku katiba, be in the right track, acha kutapatapa leo nakupa dozi mpaka uchanganyikiwe utembee uchi.
Weka hapa no za vyeti vyako mf S. 0777/ .... watu wagoogle.
Napenda kuchat na si uhasama. Daahh std 7 wana visa!! Ebu tupia ngeli kidogo?