Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
weka reg yako hapa mbona bhla bhla nyingi sasa!!
weka hoja za katiba, hatuko kwenye mashindano ya vyeti hapa umeishiwa hOja ndo mana unakazia mambo ya vyeti, kumbe we boya sana, khaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weka reg yako hapa mbona bhla bhla nyingi sasa!!
nilijua tu shule ni zero!! Hata kwa kuangalia tu reg umeshindwa kujua level!!
Hopeless
unadhani nlikuwa cjui ulichokifanya hapo, reg za tz haziko hivo, we umeenda google ukacopy ukaja kupaste huku, nyambafu weee.
nilijua tu shule ni zero!! Hata kwa kuangalia tu reg umeshindwa kujua level!!
Hopeless
Weka yako moja tu mkuu ubishi wa nn? Hiyo niyangu kweli nilisoma nje. Kama ukienda google ukaipata c yangu nisute cku yyote.
Haya twende kazi, zamu yako sasa
weka hoja za katiba, hatuko kwenye mashindano ya vyeti hapa umeishiwa hOja ndo mana unakazia mambo ya vyeti, kumbe we boya sana, khaaaa
weka yako moja tu mkuu ubishi wa nn? Hiyo niyangu kweli nilisoma nje. Kama ukienda google ukaipata c yangu nisute cku yyote.
Haya twende kazi, zamu yako sasa
kama umeishiwa hoja kubali ukweli kuwa umechemsha kujibu hoja zangu, subiri ugali hapo shemeji yako akupikie ule uingie tena jf ukiwa na nguvu na hoja zenye maana na zenye kuihusu katiba na sio mashindano ya kipuuzi.
katiba wala siasa wala nani sio hoja kila cku!!
Mfano, hivi unafahamu exchange rate ya dollar vs tshs ni ngapi kwa sasa?
ha ha ha m2 nduki!!!!
ha ha ha m2 nduki!!!!
hap utachemka wewe tu, hapa mwanzo mwisho dozi tuuuu!! Ukimbiwe we simba au chui?
kumbe wewe ndo yule yahaya ambaye jide anamzungumzia kila cku!! Khaaa eti nimesoma nje, nje utasoma wewe? Ndege yenyewe unaiona angani tu hata kuikaribia hujawahi? Hahahaha pole sana utaendelea kuota ndoto unasoma nje mpaka kufa kwako na hutoenda ng'ooooo!!
ngoja mm nikukimbie mkuu. Bona petite'
mada ya vyeti imeisha au?
sahivi unajifanya kuweka maneno ya kifaransa ili tujue kama kweli umesoma nje, hahahaha yahaya wewe huna seraaaaaaa huyoooooo kimbia tu hiki chuma cha pua bhana kajipange tena ili uje na shemeji yako huyo. Yahaya wewe!!
mada ya vyeti imeisha au?
reply uone kama hujakanyaga nyaya za dj!!
reply uone kama hujakanyaga nyaya za dj!!
umenikimbia eenh!! Hahaha nadhani utakuwa umetia adabu, next time jipange vizuri usikurupuke ovyo kama kuku.