The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Yaani kama Bunge limedanganya kwenye hii basi Ndugai lazima ajiuzulu..!!Sijui tumuamini nani
All in all, hili jibu ni jepesi mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kama Bunge limedanganya kwenye hii basi Ndugai lazima ajiuzulu..!!Sijui tumuamini nani
All in all, hili jibu ni jepesi mno.
Sentensi yako ya kwanza sijakupata vema. Kwamba nimesema zikatwe? Mimi ninamaanisha kwamba hawa jamaa kwa kawaida hawapo fair. Watalipa hiyo kodi,kisha watakachofanya watapaisha mshahara na marupurupu.Yani izo milioni 12 zote zikatwe kodi mkuu! Mimi nimeona salary slip ya mtu wangu wa karibu yani basic inajumlishwa na posho nyingine ndo inakatwa kodi mkuu... Imagine na uyu ni mtumishi wa kawaida kabisa kwann wao basic tu ndo inakatwa kodi hii si sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hapa, kwanini kuna double standard? Wasiokuwa serikalini, paye inakatwa kwenye gross, walio serikalini paye inakatwa kwenye basic.Taxable income huwa ni kwenye basic kiongozi.. Gross ina allowances ambazo kwa wafanyakazi wa uma, huwa hawakatwi kodi kwenye allowancess..!!!
By the way, siyo unavyotaka wewe, bali inavyosema sheria..
Wanakatwa mkuu niamini! Huku huku serikalimi mimi mtu wangu wa karibu sana naona pay slip zake jamaa wanapita na kodi yani mshahara unajumlishwa na allowances alafu ndo wanatoa Paye,nhif,pspf... Kamshahara kenyewe kadogo na bado wanapita na pesa ndefu sana i wish ningekuwa na uwezo nikuwekee iyo salary slip hapa ungelia walahiTaxable income huwa ni kwenye basic kiongozi.. Gross ina allowances ambazo kwa wafanyakazi wa uma, huwa hawakatwi kodi kwenye allowancess..!!!
By the way, siyo unavyotaka wewe, bali inavyosema sheria..
Ina maana mbunge Jerry Slaa hajui kuwa anakatwa Kodi maana alisema wabunge wakatwe Kodi kwenye mapato yao yoteSijui tumuamini nani
All in all, hili jibu ni jepesi mno.
Taarifa kuhusu Waheshimiwa Wabunge kukatwa Kodi .
Ofisi ya Bunge la Tanzania imesema kama ilivyo kwa Watumishi wengine wa Umma pamoja na Viongozi wa Kisiasa, Wabunge wanakatwa Kodi ikiwemo ya Mapato (PAYE) inayokatwa kwenye Mishahara yao kwa mujibu wa Sheria.
Kauli hiyo imekuja baada ya taarifa zinazodai Wabunge hawalipi Kodi kwenye Mishahara kusambaa Mitandaoni.
Zaidi, soma: Jerry Silaa: Wabunge tuanze kukatwa kodi kwenye Mishahara yetu
MkuuUshawai kufanya kazi kampuni binafsi? Kitu gani kinafanya Kampuni A ikate NSSF/PPF kwenye Gross na B kwenye Basic?
Aambatanishe Pay Slip ya mbunge mmoja afute tu jina la mbunge huyo kwenye barua hiyo. Na sisi raia tutaridhika.Kauli hiyo imekuja baada ya taarifa zinazodai Wabunge hawalipi Kodi kwenye Mishahara kusambaa Mitandaoni.
Ndugai unamsikilizaga?Aambatanishe Pay Slip ya mbunge mmoja afute tu jina la mbunge huyo kwenye barua hiyo. Na sisi raia tutaridhika.
Hili naona kabisa limekutyoka moyoniWanakatwa NSSF na bima ya afya? Kwanini wao hawasubiri 60 years kuchukua mafao.
Unatakiwa ujumlishe kila kitu kwenye mshahara, bonuses na marupurupu.Mkuu
1. Tunaongelea kodi wewe unaleta mengine.
2. Per diem inakatwaje kodi
3. Kuna allowable allowances ambazo hazikatwi kodi kwa sababu ni mahsusi kwa ajili ya jambo fulani. Tuseme karo ya mwanao ni shs 1000- Mwajili anakupa 1000. Hiyo ikikatwa kodi inakaaje?
Mkuu
1. Tunaongelea kodi wewe unaleta mengine.
2. Per diem inakatwaje kodi
3. Kuna allowable allowances ambazo hazikatwi kodi kwa sababu ni mahsusi kwa ajili ya jambo fulani. Tuseme karo ya mwanao ni shs 1000- Mwajili anakupa 1000. Hiyo ikikatwa kodi inakaaje?