Bungeni: Bajeti Kuu ya Serikali Mwaka wa Fedha 2021/22

Bungeni: Bajeti Kuu ya Serikali Mwaka wa Fedha 2021/22

Mi naona bora bajeti ingesomwa kila baada ya miaka mi5 hii ya mwaka mmoja mmoja tunadanganyana tu! Hamna jipya 😂
 
Msitegemee jipya zaidi ya kodi za kukamuana na kuongeza ukubwa wa budget(makadirio), budget ambazo kila mwaka hawafikii malengo kwenye makusanyo.

Hawabuni wala hawatengenezi vyanzo vipya zaidi ya kucheza na vyanzo vile vile miaka yote( pombe, kodi za bandarimi, n.k).

Ubunifu wa miradi mipya hauendani na ongezeko la vyanzo vya mapato matokeo yake budget hazitekelezeki.

CCM imefeli sana katika swala zima la ubunifu wa vyanzo vya mapato.

Safari hii covid ndio itakuwa wimbo kwenye hii budget na kulalamika wahisani kutotekeleza ahadi zao.
Wewe mwenyewe umeshindwa kubuni vyanzo vipya vya mapato, kila siku unalialia humu serikali haiongezi mshahara🤣

Tena mwalimu ambaye una lundo la FREE TIME.

Kweli Nyani haoni kundule
 
Heri ya asubuhi wanajamvi wenzangu, ni matumaini yangu mu buheri wa afya na kwa wale wanaoumwa Mwenyezi Mungu awajalie nafuu ya haraka.

Bajeti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kuwasilishwa leo Juni 10, 2021 Bungeni katika Bunge la Tanzania jijini Dodoma saa 10:00 jioni na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba.​

Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Nchemba ameeleza kuwa Bajeti ya mwaka huu ni Bajeti ya kimkakati na ikumbukwe kwamba uwasilishaji wa leo utakuwa ni wa kwanza kwa Serikali ya awamu ya sita ambayo inaongozwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Moja ya watu waliopewa mwaliko maaalum wa kushuhudia uwasilishaji huu Bungeni ni wajumbe wa Kamati Kuu (KK) ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi.

Matangazo ya moja kwa moja ya uwasilishaji wa Bajeti Kuu kwa mwaka wa fedha 2021 - 2022 yatarushwa na televisheni ya Taifa (TBC) na vyombo vingine vya habari vya nchini Tanzania.
#BajetiYaKimkakati
#BajetiYetuMaendeleoYetu
#BajetiRafikiNaShirikishi
#KaziInaendelea​

IMG-20210610-WA0064.jpg

IMG-20210610-WA0002.jpg
 
R.I.P Magufuli

Ulikataa lock down kwa watanzania licha ya chadema kukimbia bunge na kwenda kukaa lockdown.
Sasa uchumi umekua.
 
We're constantly told that "cash is king". It's one of the most widely-repeated truisms of business, and with good reason: without readily available cash, even profitable businesses can suffer catastrophe.

The importance of liquid assets has been underscored by the COVID pandemic, with businesses of every size making Herculean efforts to meet payroll, pay suppliers, and (if they're lucky and well-positioned) seize the opportunities for post-COVID growth that are becoming apparent in many industries and verticals.

Where does Treasury fit in?

Treasury is synonymous with cash. The role and purpose of the Treasury Function within an organization are to manage cash and to ensure that there is enough of it on hand so that the organization can meet its obligations.

This is an absolutely crucial activity for any business - indeed, perhaps the most immediately important day-to-day priority. So surely Treasury is the most important part of the Finance Function?

Well, in most businesses, this doesn't seem to be the case. Rather, Treasury is often a very small, specialist corporate function that rarely interacts with other parts of the organization. It tends to be treated as part of the machinery of business - something that is expected to 'just work', allowing the other functions to operate smoothly.

This represents a huge missed opportunity. As the pandemic has demonstrated in businesses around the world, the role of the treasury function is naturally elevated in times of crisis, when there is a laser focus on the cash position. But Treasury has a more substantial role to play in almost every business, not only when a crisis hits but at every stage. It can help businesses protect themselves, identify and manage risk, and prepare themselves for growth.

So how can we elevate the role of Treasury, in good times and in bad?

Getting value from Treasury

The treatment of Treasury within most businesses mirrors how the Finance Function more generally has been traditionally viewed. It is seen as a cost center - an overhead to be minimized, and often one of the first budgets to be cut.

But Treasury, along with the Finance Function at large, can be transformed from a cost center to a profit driver. With some simple steps, every organization can get more from Treasury, and turn it into a value creator.

Build better reporting systems: In periods of crisis, CFOs turn to Treasury for vital information. They will want detailed and daily reports on the cash position, cash balances, and availability within individual credit lines. When times are tough, these reports are crucial - without them, businesses are flying blind. But comprehensive and useful reporting has a valuable role to play even when the going is good. By consulting with other functions within the business and by building sensible and well-honed reporting practices, Treasury can ensure that every part of the organization has full visibility of its vital signs, enabling leaders to properly position themselves whether they are bracing for a downturn or preparing for expansion.

Expand Treasury's remit: Reporting is, however, only part of the battle. In addition to providing information and conducting the nuts and bolts work of cash management, Treasury's remit should be expanded and Treasurers offered a 'seat at the table' amongst senior leadership. It's important to tackle the siloing of Treasury, just as it is important to generally tackle the Finance Function's siloing. They both work best and drive the most value when fully integrated within the business. Think of Finance, and Treasury, as an interdisciplinary function - one that should have a presence across every part of the business. For more on the changing nature of the Finance Function and its expanding remit, you can also read my series on Finance Function 4.0.

Be strategic by nature: To unlock Treasury's potential, there needs to be a shift in mindset amongst both Treasury professionals and leaders across other functions. The modern Treasurer should be able to take a bird's-eye view of the business and of the market in which it operates, understanding that their work has important strategic implications beyond simply making payroll. As Finance professionals, we need to equip ourselves with knowledge about business management and strategy and regularly 'zoom out' from the pure numbers and take a holistic view of the business. And, crucially, we need to be able to make a compelling case to other functions when we see risks or opportunities arise.

Embrace digital transformation: Digital transformation is the key that unlocks Treasury's potential. Automation, machine learning, and other associated technologies are now being used to reduce the burden of traditional Treasury work. Indeed, many technical accounting tasks can now be completed entirely by machines. As Finance and Treasury professionals, we must seize this opportunity to move up the value chain. By embracing digital transformation we can free up our time to create value with work that only humans can do: strategy, relationship building, and creative thinking.
 
Wewe ni mshenzi.
Nchi hii ni yetu sote. Ni jukumu letu kuhakikisha inaendelea na tunapata maendeo. Tunapaswa kueleze au kuonesha hivyo vyanzo vipya vya mapato ili basi tuendelee. Kuponda, kukejeli, matusi na kukatishana tamaa kwa nchi yako ni ujinga.
Wewe ni mpumbavu.
 
Yani hapa nacheka tu.

Waziri huyo amesema amepunguza kodi hiyo ili kuongeza wachezaji wengi na ili wengine wasicheze kwenye nchi ambazo hazitozi kodi hiyo.
 
Wanapunguza kodi ya makampuni ya kubet ili waongeze idadi ya makampuni hayo hivyo Watanzania kushiriki kwa wingi na kupoteza pesa zao!!!! Badala ya kupunguza kodi kwa Wafanyakazi. Mnaoshiriki kubet STUKENI muokoe pesa zenu.

Bajeti ni makadirio ya mapato na matumizi ya serikali

Leo Bungeni Dodoma, Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba anatarajiwa kuisoma bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha 2021/22

 
Back
Top Bottom