Wamepunguza kod nadham kwenye shair na kuongeza ile ya kuagizwa..wanataka waimarishe inayotengenezwa hapa....mambo mengne kuhusu pombe nilikua sina muda wa kuyaskiliza.si muhim sana kwanguVipi kuhusu Pombe?(Sio Jiwe)
Nini maoni yako kuhusu wigo mpya wa kodi kwenye bajeti 2021/22?Nimewahi leta mapendekezo mengi tu kupitia hapa JF hivyo usidhani sijawahi shauri.
Mifano ni hii:
Hivi vinaweza kuwa vyanzo mahususi vya mapato kwa ajili ya Bodi ya Mikopo
Katika kukabiliana na tatizo kubwa la wanafunzi wa vyuo vikuu kukosa mikopo,napendekeza zianzishwe tozo maalumu kwa ajili ya kutunisha mfuko wa Bodi ya Mikopo kwa lengo la kuwezesha watoto wa masikini kusoma vyuo vikuu bila kujali kozi wanazosoma au kiwango cha ufauli ili mradi mtu awe amepata...www.jamiiforums.com
Kuongeza wigo wa kodi na makusanyo: Serikali ibuni vyanzo vipya na Mkurugenzi Mkuu wa TRA na waajiriwa wapya wa TRA waajiriwe kwa mikataba
Binafsi naamini watu wenye kipato nchi hii na wanaoweza kulipa kodi ni wengi tu ila kinacholosekana ni ubunifu wa vyanzo vya mapato pamoja na watumishi wa TRA kutotaka kukimbizana na watu kukusanya kodi bali wanataka zaidi kukusanya kodi zisizo na usumbufu/changamoto kama PAYE, VAT na...www.jamiiforums.com
Serikali kupitia simu za mkononi, inaweza kukusanya fedha na kuanzisha Mfuko(Fund) wa kugharamia Bima ya Afya na Elimu ya Juu kwa Watanzania wote
Habari wadau, Leo nimekaa na kutafakari sana juu ya uwezekano wa laini za simu tunazotumia katika simu zetu kutumika kukusanya fedha zinazoweza kugharamia matibabu ya karibu kila mtanzania na pia kukusanya fedha zinazoweza kutumika kugharamia Elimu ya juu. Kwanini simu ya mkononi kupitia laini...www.jamiiforums.com
Wenye mamlaka, vyanzo hivi vinaweza kuwa suluhisho au sehemu ya suluhisho la upatikanaji wa fedha kwa ajili ya HESLB
Niliwahi leta mada hapa Jukwaa la Siasa nikipendekeza vyanzo maalumu kwa ajili ya kukusanya fedha za kupeleka Bodi ya Mikopo ili kupunguza au kuondoa kabisa tatizo la upatikani wa mikopo kwa ajili ya kugharamia elimu ya juu. Mada yenyewe ni hii hapa chini ingawa mods waliipeleka Jukwaa la Elimu...www.jamiiforums.com
Madalali wasajiliwe na walipee kodi
Wakati umefika tuwe na sheria ya kutaka madalali wasajiliwe na walipe kodi kwani licha ya kuingiza kipato kupitia udalali, wanaongezea watu gharama za maisha huko wao hawalipwi kodi. Dalali akikutafutia nyumba/chumba, unatakiwa umlipe kodi ya mwezi mmoja mbali na kodi unayopaswa kumlipa mwenye...www.jamiiforums.com
Ni kweli Serikali imeshindwa kuwa na sera ya kutoza kod wanaofanya biashara ya nyumba za kupangisha?
Hivi hii serikali kweli imeshindwa kubuni sera na kuweka mikakati ya kukusanya kodi kutoka kwa watu wanaofanya biashara ya nyumba na majumba ya kupangisha? Watu tumeshatoa mawazo yetu humu mara kadhaa ni namna gani TRA inaweza kukusanya kodi katika eneo hili kwa kuzishirikisha serikali za...www.jamiiforums.com
Ukitoza kodi biashara ya kupangisha na ukaboresha ukusanyaji kodi ya majengo,huhitaji fedha za MCC
Uamuzi wa wamerekani kutunyima misaada japo utatuathiri zaidi sisi wananchi wa kawaida,bado nauunga mkono kwani utasaidia kuwa-shape watawala wetu. Pia tutambue ili kuitoa CCCM madarakani, ni lazima tuwe tayari kulipa gharama ya mabadiliko maana hawa jamaa si rahisi kuachia madaraka...www.jamiiforums.com
Vile vile wapinzani Bungeni na nje ya Bunge wamekuwa walishauri mara nyingi tu jinsi serikali inayoweza kuongeza mapato ila serikali ni wagumu kushaurika.
Kodi zozote ambazo ni ndogo ndogo mimi sizipingi na hasa kama zinagusa watu wengi ila mradi zilenge kupunguza gharama za huduma ambazo ni ghali na ikiwezekana zipunguze city kama PAYE.Nini maoni yako kuhusu wigo mpya wa kodi kwenye bajeti 2021/22?
Yaani wizara yote wabunge wote pale ,wasomi wote wizarani na bungeni elimu darasa la saba mpaka PhD .ndio akili zao zimefikia kuamua kodi ya jengo ilipwe kupitia umeme,kweli unafikiria unaweza shauri vingenevyo ,sisi raia wakasikia !!??? Sana sana ni kugoma tuu,wavivu wakubwa hawa kufikiriMkuu Salary Slip katika ubora wako wa kunyooshea kidole CCM na Serikali yake wakati vilivyobaki vinasuta Chama ambacho unashabikia. Ili ujitokeze mwenye fikra pevu angalau uwe unatoa mapendekezo yako, km maeneo mengine ya kukusanya kodi.
Nachelea kuwa na mtazamo kama wako nikitoa mifano ya mapungufu makubwa ya kiSera ya hicho chama chako na mienendo ya viongozi wake