Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hujui usemalo! Ni nani aliyempa huo ubunge, tena kwa mizengwe ya waziwazi na kupora kura? Sema jini walilofuga wenyewe limewageuka na kuanza kuwameza wao wenyewe.Wanachuki Askofu kuwa mbunge na si lingine
Are you serious dude?!!!Wanachuki Askofu kuwa mbunge na si lingine
MagaidiKuna watu wana bahati zao, huyu angekua kiongozi wa dini ya wenzetu angekua analetwa na msafara wa magari na ving'ora ya sio pungua 10 askari wagetapaka kila kona......." all animals are equal but some animals are more equal than others" animal farm.
Huyu ni mgonjwa wa akili si bure
Wataanza na kufunga kanisa hapo watakuwa wamemmalizaMwakyembe kilimkuta nini!?
Usilinganishe bia na vitu vya ajabu.Kuna watu wanaogopa soda inamadhara kiafya ila wamakunywa pombe kali
Usalama wa mtu inategemea na mazingira
Animal farm umenikumbusha mengi hadi Mwl.Nyerere anakipiga marufuku .Kuna watu wana bahati zao, huyu angekua kiongozi wa dini ya wenzetu angekua analetwa na msafara wa magari na ving'ora ya sio pungua 10 askari wagetapaka kila kona......." all animals are equal but some animals are more equal than others" animal farm.
Homeboy wako [emoji2][emoji2]Huyu Ngosha ananifurahisha.
Hawa ni ndugu wanagombana wenyewe kwa wenyewe. Sisi tuchukue jembe tukalime, wakipatana tuchukue kapu tukavune! Natamani wangechomana na bisi-bisi, hatuna hamu nao.Baada ya kuingia kwenye kamati ya Haki Maadili Na Madaraka ya Bunge Gwajima amegoma kukaa kwenye kiti alichoandaliwa na kukisogeza pembeni.
Alipoulizwa na mwenyekiti Emanuel Mwakasaka kwanini hataki kukukaa alisema leo atasimama kwakuwa amezoea kusimama mara nyingi.
View attachment 1907812
View attachment 1907814
Hawawezi kumtafutia polonium mtu mdogo Kama huyu, Polonium wanapigwa ma Super spy wa huko KGB na watu wazito wazito.Nakumbuka mwaka 2015, Mzee wangu Prof ( Chuo kikuu fulani)
Anaingia Ofisin kwake, anakuta kiti kina kama vumbi la unga mweupe , anakaa, anaanguka na kupoteza fahamu.
Mwaka 2017, wakiwa kwenye kikao, anatoka kwenda kukojoa, hajui kilitokea nn, aliporudi, akanywa maji yake , palepale Tumbo likaanza, Alilazwa Hosp wiki mbili usheeee
Haya mambo mtu anaweza yashanga...kuna zile sumu za kijasusi za polonium , zinakuua taratibu taratibuu
Walimlea hovyo hovyo wao wenyewe,acha awadindie tu.Huyo mjinga wanamlea sana kwa hizi drama zake za Kikolomije