Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Nakumbuka mwaka 2015, Mzee wangu Prof (Chuo kikuu fulani)
Anaingia Ofisin kwake, anakuta kiti kina kama vumbi la unga mweupe, anakaa, anaanguka na kupoteza fahamu.
Mwaka 2017, wakiwa kwenye kikao, anatoka kwenda kukojoa, hajui kilitokea nn, aliporudi, akanywa maji yake , palepale Tumbo likaanza, Alilazwa Hosp wiki mbili usheeee
Haya mambo mtu anaweza yashanga...kuna zile sumu za kijasusi za polonium , zinakuua taratibu taratibuu
Anaingia Ofisin kwake, anakuta kiti kina kama vumbi la unga mweupe, anakaa, anaanguka na kupoteza fahamu.
Mwaka 2017, wakiwa kwenye kikao, anatoka kwenda kukojoa, hajui kilitokea nn, aliporudi, akanywa maji yake , palepale Tumbo likaanza, Alilazwa Hosp wiki mbili usheeee
Haya mambo mtu anaweza yashanga...kuna zile sumu za kijasusi za polonium , zinakuua taratibu taratibuu