Bungeni, Dodoma: Askofu Gwajima agoma tena kukaa kwenye kiti wakati akihojiwa leo 25/08/2021. Asema amezoea kusimama

Bungeni, Dodoma: Askofu Gwajima agoma tena kukaa kwenye kiti wakati akihojiwa leo 25/08/2021. Asema amezoea kusimama

Nakumbuka mwaka 2015, Mzee wangu Prof (Chuo kikuu fulani)

Anaingia Ofisin kwake, anakuta kiti kina kama vumbi la unga mweupe, anakaa, anaanguka na kupoteza fahamu.

Mwaka 2017, wakiwa kwenye kikao, anatoka kwenda kukojoa, hajui kilitokea nn, aliporudi, akanywa maji yake , palepale Tumbo likaanza, Alilazwa Hosp wiki mbili usheeee

Haya mambo mtu anaweza yashanga...kuna zile sumu za kijasusi za polonium , zinakuua taratibu taratibuu
 
Kuna watu wana bahati zao, huyu angekua kiongozi wa dini ya wenzetu angekua analetwa na msafara wa magari na ving'ora ya sio pungua 10 askari wagetapaka kila kona......." all animals are equal but some animals are more equal than others" animal farm.
Magaidi
 
Kuna watu wana bahati zao, huyu angekua kiongozi wa dini ya wenzetu angekua analetwa na msafara wa magari na ving'ora ya sio pungua 10 askari wagetapaka kila kona......." all animals are equal but some animals are more equal than others" animal farm.
Animal farm umenikumbusha mengi hadi Mwl.Nyerere anakipiga marufuku .
 
Baada ya kuingia kwenye kamati ya Haki Maadili Na Madaraka ya Bunge Gwajima amegoma kukaa kwenye kiti alichoandaliwa na kukisogeza pembeni.

Alipoulizwa na mwenyekiti Emanuel Mwakasaka kwanini hataki kukukaa alisema leo atasimama kwakuwa amezoea kusimama mara nyingi.

View attachment 1907812
View attachment 1907814
Hawa ni ndugu wanagombana wenyewe kwa wenyewe. Sisi tuchukue jembe tukalime, wakipatana tuchukue kapu tukavune! Natamani wangechomana na bisi-bisi, hatuna hamu nao.
 
Nakumbuka mwaka 2015, Mzee wangu Prof ( Chuo kikuu fulani)

Anaingia Ofisin kwake, anakuta kiti kina kama vumbi la unga mweupe , anakaa, anaanguka na kupoteza fahamu.


Mwaka 2017, wakiwa kwenye kikao, anatoka kwenda kukojoa, hajui kilitokea nn, aliporudi, akanywa maji yake , palepale Tumbo likaanza, Alilazwa Hosp wiki mbili usheeee


Haya mambo mtu anaweza yashanga...kuna zile sumu za kijasusi za polonium , zinakuua taratibu taratibuu
Hawawezi kumtafutia polonium mtu mdogo Kama huyu, Polonium wanapigwa ma Super spy wa huko KGB na watu wazito wazito.
 
Back
Top Bottom