Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Mataga vipiJf sio pa kumalizia stress zako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mataga vipiJf sio pa kumalizia stress zako!
Nimepitia upya jedwali na maelezo yake kwenye bajeti yenyewe. Ni sahihi. 21 FebruaryNadhani kachanganya madesa na simbi au juche!?
Acha kukariri boss!Mataga vipi
We kweli karai, umemuelewa kweli?We unajielewa kweli? msamaha wa kodi utakuwa kwa watu wanaopata mshahara wa kima cha chini sio wote
Mataga ushalewa wanzuki sio?Acha kukariri boss!
We kweli karai, umemuelewa kweli?
Kwan mlevi wa taifa humjui?Mataga ushalewa wanzuki sio?
mfano mtu anapata 1m itakua kwenye kundi lipi hapo au ndio hakuna kodiNimepitia upya jedwali na maelezo yake kwenye bajeti yenyewe. Ni sahihi. 21 February
Mkuu ni hivi aliyenufaika ni anayepata below TZS 270,000/= kwa mwezi ndio hatakatwa kodi, Na wanaopata kuanzia TZS 271,000 hadi TZS 1000,000/= kwa mwezi ndio Kodi zao zimepungua sana. Wanaozidi TZS 1000,000/= kwa mwezi, ni kwamba kodi zimepungua kidogo sana.Mzee yawezekana sijaelewa vizuri hiyo document lakini unapotoa matusi badala ya kunielekeza nisipoelewa wewe ndio unakuwa hujielewi
Angalia hapa chini mkuu;kama sijalielewa hivi
Mfano mtu mwenye kipato cha 1m anadondokea wapi hapo, maana naona imeanzia 2m ambayo wamesema hakuna kodi
hii ndio yenyewe sasaAngalia hapa chini mkuu;
View attachment 1475417
Leo Taifa kupitia vyombo vya habari limeshuhudia usomwaji wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2020/2021 ambapo shilingi trilioni 34.88 zimependekezwa.
Pamoja na mengine mengi, uimara na umakini wa Waziri wa fedha Dkt. Mpango ni wakipekee sana ambapo ametumia saa 3 na dakika 20 akiwa amesimama bila kunywa maji wala kukunja goti akitekeleza jukumu hilo.
Kongole sana kwake.
Chanzo: Channel10
Kusomwa kwa bajeti bungeni kumegeuka kuwa sehemu ya kufanya kampeni na kupigiana debe kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Hivi kutokana na mila na desturi ya mabunge mengine ya nchi zilizopo ktk jumuiya ya madola haya mambo pia hufanyika!?
BTW, Mheshimiwa Mpango amenifurahisha sana alipoligusia goli la Morrison siku Yanga ilipowazamisha wazee wa utopolo kutoka Msimbazi. Naona bunge zima lilizizima kwa hoihoi, shangwe, nderemo na vifijo.
Kwa hiyo unampongeza kwa kusimama muda mrefu?Leo Taifa kupitia vyombo vya habari limeshuhudia usomwaji wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2020/2021 ambapo shilingi trilioni 34.88 zimependekezwa.
Pamoja na mengine mengi, uimara na umakini wa Waziri wa fedha Dkt. Mpango ni wakipekee sana ambapo ametumia saa 3 na dakika 20 akiwa amesimama bila kunywa maji wala kukunja goti akitekeleza jukumu hilo.
Kongole sana kwake.
Chanzo: Channel10