Mkuu la Mpango lile liko ki mwaka, kuleta uelewa mzuri tumelileta kimwezi baadhi ya wadau wapate mnyumbuliko kama ambavyo wameuliza hapo juu.
na je hiyo 30% inayokatwa ni baada ya kutoa Mchango wa hifadhi ya jamii na bima ya afya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu la Mpango lile liko ki mwaka, kuleta uelewa mzuri tumelileta kimwezi baadhi ya wadau wapate mnyumbuliko kama ambavyo wameuliza hapo juu.
Leta maoni yako huru tuyakague kama kweli yako huru na yanalenga kuboresha utekelezaji wa bajeti husika ili kuboresha uchumi wa watanzania.Bajeti imegeuzwa kuwa kampeni, matokeo yake hata humu mitandaoni hamna uchangiaji wowote wa maana. Ni kama vile bajeti imepuuzwa na watu wenye mitazamo huru.
Leta maoni yako huru tuyakague kama kweli yako huru na yanalenga kuboresha utekelezaji wa bajeti husika ili kuboresha uchumi wa watanzania.
Aisee....!! Sawa Mkuu nimekupata.Toka lini maoni yangu yakatumika kuboresha bajeti?
Hata mm nilidhani angefanya kama ulivyosema. Any way, ndio focus yake ilipo hapo.Wa Tanzania watu wa ajabu sana.
I thought Unge focus kwenye content ya hotuba ya Bajeti, eti uka concentrate kwa Waziri kusimama Muda Mrefu Bila kunywa Maji na kukunja goti.
Hii nchi tatizo lake kuu kabisa ni akili za Wananchi wake...
HahahaaaaaaaaWa Tanzania watu wa ajabu sana.
I thought Unge focus kwenye content ya hotuba ya Bajeti, eti uka concentrate kwa Waziri kusimama Muda Mrefu Bila kunywa Maji na kukunja goti.
Hii nchi tatizo lake kuu kabisa ni akili za Wananchi wake...
Ohoooo !!!kila mtanzania anadaiwa milioni 1.
chanzo: wasafi fm.
Kabla ya kuandika mkuu uwe unatafakari,unaweza kuthibitisha?Huyu jamaa mwisho wake mbaya sana. Licha ya deni mikono yake imetapakaa damu na uonevu. He is a notorious happiness snatcher
Wajinga ni wengi mkuuWa Tanzania watu wa ajabu sana.
I thought Unge focus kwenye content ya hotuba ya Bajeti, eti uka concentrate kwa Waziri kusimama Muda Mrefu Bila kunywa Maji na kukunja goti.
Hii nchi tatizo lake kuu kabisa ni akili za Wananchi wake...
Kweli bado tuna safari ndefu ya kupambana na ujinga.Kuthibitisha nini sasa wewee? Mbona unazidi kutuchefua roho zetu?
Nikuliombea mauti tuuu
Mnatuita wajinga ehee. Nyie werevu siyo kwa kumua Ben. Nyie wajanja siyo kwa kuiba matrilion. Nyie werevu kww kuiba rambirambi. Nyie werevu siyo kwa kuiba wake za watu na kuzaa nao kwasababu ya cheo kikuu. Pouwa bana. Si wajinga ila tunaliombea mauti tuuKweli bado tuna safari ndefu ya kupambana na ujinga.