Bungeni Dodoma: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akosa Mbunge wa kumuuliza swali la papo hapo

atapataje wa kumuuliza swali angali wabunge wote ni vilaza wanaowaza ni saa ngapi wakasaini ili wachukue posho zinazotokana na kodi za wananchi wakazile na kunya?
 
Ukiona hakuna swali ujue kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa.
 
Ukiona hakuna swali ujue kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa.
Hakuna wa kuuliza maswali
Sababu hao wabunge walipatikana kwa promotion,wanaogopa kuachwa kwenye uteuzi 2025 hivyo wamegeuka washangiliaji.
 
Bunge DHAIFU
 
Hakuna wa kuuliza maswali
Sababu hao wabunge walipatikana kwa promotion,wanaogopa kuachwa kwenye uteuzi 2025 hivyo wamegeuka washangiliaji.
Wanamuogopa nani?
 
Hicho ndicho ccm ilichopigania..... vilaza watupu.
 
Ndio maana Spika kila leo anamtaja Mbowe

Ukweli wanawamisi wanaowaita wapinzani, wanamisi challenge na mawazo yao wanapishi purukushani ndani ya mjengo.
 
Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson amesema, leo kulikuwa na kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, lakini hakuna mbunge hata mmoja aliyejiandikisha kwa ajili ya kumuuliza Waziri Mkuu.

Nchi yetu ina matatizo mengi kuanzia elimu, afya, maji, haki za binadamu, ajira nk. Haiwezekani wawakilishi wote wakose hata kitu kimoja cha kuihoji serikali.

Kama taifa tuna hasara kubwa lkn wabunge wataendelea kunufaika na posho za vikao na usishangae kesho wakasema siku za vikao vya bunge hazitoshi na posho iongezwe wakati hawana hata swali moja la kuihoji serikali, haya ni matumizi mabaya ya pesa ya mlipa kodi.

Kama wameishiwa maswali tusisikie wanataka muda wa bunge uongezwe kama kero zimekwisha warudi majimboni.
 
Kama taifa tuna hasara lakini wabunge wataendelea kunufaika na posho za kikao na usishangae kesho wakasema siku za kikao cha bunge hazitoshi na posho iongezwe wakati hawana hata swali moja la kuihoji serikali haya ni matumizi mabaya ya pesa ya mlipa kodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…