Leo hii ikiwa ni Alhamisi kama tulivyozoea kuwa ni siku ya wabunge kumuuliza kiongozi wa shughuli za bunge mh Waziri Mkuu.
Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson amesema,
leo Alhamisi kulikuwa na kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, lakini "hakuna mbunge aliyejiandikisha kwa ajili ya kumuuliza Waziri Mkuu."
Ktk hali ya kuangaza hakuna mbunge aliyekuwa tayari kujiandikisha ili amuulize mwaswali ya papo kwa papo mh waziri mkuu.
Bunge kukosa wabunge wa upinzani kunalifanya kulala usingizi wa pono.
Haya ndiyo madhara ambayo waliyo panga huu mpango wa kuwakwamisha wapinzani wasishinde basi yatawatafuna maishani mwao milele.