Daisy Llilies
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,017
- 2,158
Hakuna magunzi yote ni battery kama mwenda zake alivyo agiza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugaye kuruhusu bunge la bongo kuwa live atakuwa anajianika madhaifu yake man mwenyewe tayari ameyumba.Nilifuatilia Mhe. Raisi Mama SASHA akihutubia mabunge ya Kenya kwa uhodari mkubwa sana. Ni heshima kwa nchini yetu. Alichonifurahisha Mhe Raisi ni kuwa ni mpenzi wa mijadala ya mabunge ya Kenya kwa maana ya kupenda kuangalia TV za Kenya zinazorusha mubashara vipindi vya mabunge hayo. Hii inatuma ujumbe kwa bunge la Tanzania na hasa kwa Spika wa bunge letu kuruhusu mijadala yote ya bunge letu kurushwa LIVE kwenye TVS zote bila masharti yoyote.
Utakuwa shabiki wa timu hizi wewe:CHELSEA JANA WAMESHINDA ILA MPIRA HAUKUWA WA KUVUTIA SANA
KABURI linamsuta mbakaji wa demokrasia, kuna walokole bungeni wanapokea mishahara michafu kwakuwa wanajua kabisa hawakushinda, wakianza na AMFILILO, bi tukinao, mzee wa kiupiga rungu na wengine wengi.Wabunge wa CCM hawana maswali ya kumuuliza Waziri mkuu, wao wanajibiwa na David Silinde wa Tamisemi au Katambi wa ofisi ya waziri mkuu.
Maswali ya papo kwa hapo ni maalumu kwa ajili ya wabunge wa upinzani ambapo KUB hupewa fursa ya kuuliza swali la msingi.
Msema kweli mpenzi wa Mungu.
Kazi Iendelee!
hawa ndio waulize maswali? mmetuchoka aseee.View attachment 1775241wapo hawa watauliza! Kama wameushinda UVIKO kwa kuchanganya tangawizi , malimao , na nanasi unatarajia nini?
Hao si ndio wateule wa mfalme aliyeaminiwa hashindwi kitu hadi wakasema atawale hadi achoke sasa sisi tulionekana kama hatuna haki nchi ni ya mmoja tu!?hawa ndio waulize maswali? mmetuchoka aseee.
Bwashee naona kama vile unabadili gia angani!Wabunge wa CCM hawana maswali ya kumuuliza Waziri mkuu, wao wanajibiwa na David Silinde wa Tamisemi au Katambi wa ofisi ya waziri mkuu.
Maswali ya papo kwa hapo ni maalumu kwa ajili ya wabunge wa upinzani ambapo KUB hupewa fursa ya kuuliza swali la msingi.
Msema kweli mpenzi wa Mungu.
Kazi Iendelee!
Wanashindana ni yupi ana deree na yupi ana cheti cha std 7Vipi Bunge la CCM linasemaje kwani?
mzee baba unaua balaa, na alisema anawajua wote;Hao si ndio wateule wa mfalme aliyeaminiwa hashindwi kitu hadi wakasema atawale hadi achoke sasa sisi tulionekana kama hatuna haki nchi ni ya mmoja tu!?
Bingwa wao wanaye muamini kuuliza maswali ni Kibajaj na MsukumaWabunge wamekuwa kama wanafunzi wa santi kayumba, mwenye swali....wanatoa macho tu, mmeelewa? wanatoa macho tu, hamjaelewa? Wametoa macho tu...
Mataga wa AfrikaUnamdhalilisha shujaa wa Mataga,ngoja waje.
Nivigumu sana ndiyo maana wabunge wa cdm walikuwa wanajiamini .Utaanzaje na utaanzia wapi kumuuliza swali mtu ambae amekupa ubunge?