Etwege atabishaCCM wamezoea vya kunyonga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Etwege atabishaCCM wamezoea vya kunyonga
CCM yapo bungeni hayajui hata la kufanya kama watoto wadogo waliovaa pampasi!🐒🐒🐒😂😂😂😂😂😂😂
Utaanzaje na utaanzia wapi kumuuliza swali mtu ambae amekupa ubunge?Wameshindwa hata Kumuuliza Progress ya lile Igizo lake Pale Gerezani kwenye Kituo cha Mwendo kasi limeishia wapi. SMH
Hatari na nusuWanaongozwa na uoga wakati hiyo ni haki yao.
haahaaaha aiseee Hilo genge la Ndu guy linaniacha hoi sana mkuu yaani zero IQ halafu ndio watunga sheria wa nchiCCM yapo bungeni hayajui hata la kufanya kama watoto wadogo waliovaa pampasi!🐒🐒🐒
😀😀😀😀Utaanzaje na utaanzia wapi kumuuliza swali mtu ambae amekupa ubunge?
hao covid19 wote nao ni mbogamboga tuHata Covid 19 Walikoswa cha kumuuliza Waziri?
Unamdhalilisha shujaa wa Mataga,ngoja waje.Rubber stamp parliament.
Mwendazake anastahili viboko million moja kila siku
kwanini ukiandika nnduGAY inafutika?haahaaaha aiseee Hilo genge la Ndu guy linaniacha hoi sana mkuu yaani zero IQ halafu ndio watunga sheria wa nchi
Hiiiii bha nghosha
Full kudemkaaaaaa!
(in brother K voices)
😂😂😂
Vipi Bunge la CCM linasemaje kwani?Rais Samia amelisifu bunge la Kenya!
Nilifuatilia Mhe. Raisi Mama SASHA akihutubia mabunge ya Kenya kwa uhodari mkubwa sana. Ni heshima kwa nchini yetu. Alichonifurahisha Mhe Raisi ni kuwa ni mpenzi wa mijadala ya mabunge ya Kenya kwa maana ya kupenda kuangalia TV za Kenya zinazorusha mubashara vipindi vya mabunge hayo.Covid sasa hivi wanajiandaa kurudi makwao baada ya kumsikia mama Salma akilisifia bunge la kenya
Ivi wewe bado una muda tu wa kuangalia bunge la Wapendanao?Habari wanajukwaa, ni utaratibu wa kawaida wa kila Alhamisi Wabunge hupata nafasi ya kuuliza maswali kwa Waziri Mkuu na kupatiwa majibu ya moja kwa moja hasa kuhusu mambo nyeti yanayopaswa kupatiwa majibu ya haraka toka serikalini....