Bungeni Dodoma: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akosa Mbunge wa kumuuliza swali la papo hapo

Bungeni Dodoma: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akosa Mbunge wa kumuuliza swali la papo hapo

Je wamemaliza kuwananga maprofesa, wasomi na elimu ya Tanzania kwa ujumla? Nilimsikia mmoja akipendekeza watoto wa shule wafundishwe kuchunga ng'ombe.
 
Je wamemaliza kuwananga maprofesa, wasomi na elimu ya Tanzania kwa ujumla? Nilimsikia mmoja akipendekeza watoto wa shule wafundishwe kuchunga ng'ombe.
Umeonaeeeeee?

Hayo ndiyo mamabo yanamfanya Ndugai asiruhusu bunge kuwa live
 
Bunge la safari hii lilitengenezwa kuharibu nchi kwa kumuabudu mtu. Ndio maana Muumba akafanya maamuzi magumu!
 
Hata covid-19 kimya? Wote wanalipa fadhila ya kuwezeshwa kuwa ndani ya mjengo. Safi sana.
 
Wapinzani walikuwa wanaleta maswali kwa kuibua mawazo mapya, Sasa mtu mmoja hayupo lakini akasema nileteeni huyu mtapata maendeleo,
Saizi Ni mwenda wa mawazo mgando tu mana wote Wana ilani moja, ambayo wameitengeneza wao .
Wakina mdee wakiuliza maswali wanajobolewa kwa sababu hawana chama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa, hili Bunge limekosa Wapinzani wa kweli hivyo hoja zenye uzito nazo zimekosa
 
Je nini kimepelekea kuwepo kwa hali hii?

Walasam.
Utaanzaje na utaanzia wapi kumuuliza swali mtu ambae amekupa ubunge?Unahitaji kuwa na PhD kujua kuwa hawa wabunge wa CCM wa sasa hivi waliingizwa bungeni kwa njia za magumashi na serikali ya Magufuli ambayo Majaliwa alikuwa ni waziri mkuu wa serikali hiyo na ndiye aliefacilitate kuhakikisha kuwa wabunge hawa wanaenda bungeni wananchi watake wasitake?
 
Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson amesema, leo Alhamisi kulikuwa na kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, lakini "hakuna mbunge aliyejiandikisha kwa ajili ya kumuuliza waziri mkuu." Hata hivyo, wakati akitoa kauli hii, waziri mkuu, hakuwepo ndani ya ukumbi wa Bunge.

1620302766999.png
 
Habari wanajukwaa, ni utaratibu wa kawaida wa kila Alhamisi Wabunge hupata nafasi ya kuuliza maswali kwa Waziri Mkuu na kupatiwa majibu ya moja kwa moja hasa kuhusu mambo nyeti yanayopaswa kupatiwa majibu ya haraka toka serikalini...
Sasa unajiandikishaje kuuliza swali kwa Mtu ambaye hayupo? Hii nchi ngumu sana wallah, yaani PM yupo zake kwenye kampeni huko kwa Mpango na ameacha majukumi yake ya Kiserikali pale Bungeni!

CCM, sasa hivi watanzania tutaanza kumuomba MUNGU na tutamuachia yeye afanye kwa niaba yetu hasa wabunge wanaokula Posho za makalio.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Utaanzaje na utaanzia wapi kumuuliza swali mtu ambae amekupa ubunge?Unahitaji kuwa na PhD kujua kuwa hawa wabunge wa CCM wa sasa hivi waliingizwa bungeni kwa njia za magumashi na serikali ya Magufuli ambayo Majaliwa alikuwa ni waziri mkuu wa serikali hiyo na ndiye aliefacilitate kuhakikisha kuwa wabunge hawa wanaenda bungeni wananchi watake wasitake?
Sawa hapo nimeelewa, kwa hiyo tusitegemee hoja nzito katika Bunge hili kama ndiyo hivyo
 
Back
Top Bottom