Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Nitag kwenye huo uzi mkuu atauacha muda sio mrefuAnaingia kwa kuvizia sana, ila leo kuna uzi yupo na kasumbua sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitag kwenye huo uzi mkuu atauacha muda sio mrefuAnaingia kwa kuvizia sana, ila leo kuna uzi yupo na kasumbua sana
vipi wawakilishi wako kina babu tale na musukuma hawana maswali kwa Waziri Mkuu??Nyumbu wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.
Heheh! itakuwa wanajificha ficha ili angalau Nape awasahauHata Covid 19 Walikoswa cha kumuuliza Waziri?
mods wa humu sio dhaifu Kama bunge la Ndugaihebu jaribu wewe labda itakubali
Inakuuma?Nyumbu wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitag kwenye huo uzi mkuu atauacha muda sio mrefu
Kabisabunge dhaifu huzaa wabunge goigoi
Swadakta
Wamezoea Vibudu (Nyamafu)😅😃😂😁😀CCM wamezoea vya kunyonga
Sasa wamebaki aibu tupuWamezoea Vibudu (Nyamafu)[emoji28][emoji2][emoji23][emoji16][emoji3]
😄😄😄😄😄Wote MATAGA....
Umempata [emoji23][emoji23][emoji23]Swadakta
Utakuta kuna watu walishangilia sana kitendo cha kina Bashiru kuwawekea mtima nyongo wapinzani kuingia bungeni.nimeshasema bunge ambayo halina wapinzani ni sawa tu na chai bila sukari,maswali yatoke wpi? wakati wenye kuuliza hayo maswali hawapo bungeni.